Wafahamu nyoka hatari Zaidi duniani

Wafahamu nyoka hatari Zaidi duniani

Unatuletea koboko wa kwenye wikipedia..haah!!? Mtu yoyote anaweza kuweka upuuzi wake!!..sisi tunakupa facts..kutoka mapori makubwa hapa hapa afrika.
Nani wa Wikipedia kamleta kama sio huyo nwenzako mnaosapotiana kaleta source ya Wikipedia ndio nimemdadavulia .

Huwezi kunipa facts wakati tumeishi nao na kuwakamata ,..


Facts mnazotoa ni porojo tu hakuna fact yeyote niliyoona tangu jana
 
Unatuletea koboko wa kwenye wikipedia..haah!!? Mtu yoyote anaweza kuweka upuuzi wake!!..sisi tunakupa facts..kutoka mapori makubwa hapa hapa afrika.
Huyu nyoka anasumu Kali kweli lakini ukutana nae akukimbiezi tu bila kumchoku sio maana mm nilisha kutana nae anakajiondokea zake na wala sio mara moja
 
Huyu nyoka anasumu Kali kweli lakini ukutana nae akukimbiezi tu bila kumchoku sio maana mm nilisha kutana nae anakajiondokea zake na wala sio mara moja
Halafu kuna mtu anashinda mitandaoni haja experience anaanza kubisha na kuleta porojo

Na hizi porojo za koboko zimejaa sana mitandaoni ,hakuna aliyewahi kukimbizwa na koboko bora ulivyosaidia kumuelewesha jamaa
 
Kakoboko kadogo saana hako,tena wamekachagua kwa ajili kaliwe na baja..anyway nasema hivii nitumie link ya koboko aliyekomaa akiliwa na baja.
Hivi kweli unamjuwa koboko kweli au unaleta ligi ? Nimekupa link mara unasema eti kadogo! Koboko analiwa kama kitumbua. Awe aliyekomaa kama unavyodai wewe au vyovyote vile. Ndiyo muumba maulana alivyouumba kuwa hawa nyoka ni chakula cha honey badger. Nature hiyo mjomba. Sumu ya koboko haina madhara kwa mdudu huyu.
 
Nasema hivii niwekee link ya baja akimla koboko aliyekomaaa.
Wewe jamaa una matatizo sana kama hata ya nyegere kumla koboko unabisha wallahi sirudii tena kusumbuka kuelewesha na kuandika

Halafu wajitia mjuaji wakati maisha ya nyoka na koboko huyajui upo empty


Kwa kukusaidia tu achana na nyegere ,nguchiro anamla koboko na popote alipo nguchiro koboko hukimbia

Duh salale


Si comment tena
 
View attachment 724786


Umenipa source ya wikiedia nimepitia maelezo humu na machache umeotodhesha hapo juu.

Wikipedia kwenye tishio mamba anafungua mdomo wake na kutoa sauti na mamba ana uwezo wa kugonga kwa idadi kubwa kwa mafanikio..sumu yake ina neurotoxins nk nk...licha ya tabia yake ya kuwa aggressivr ,mamba huwa anakimbia anaondoka akiona watu unless mpaka awe ametishiwa au cornered amezingirwa ,kabanwa hana pakutoka


Nb:sasa mkuu haya maelezo ya Wikipedia k na hoja zangu zinatofauti gani?...comments zangu zote nimesema hakuna mamba anayekimbiza watu kama mnavyodai nikasema mamba akiniona namfuata atajiondokea zake na hata nikimkimbilia atatafuta njia ya kusepa nikimbana kulia atageuza kushoto huku kichwa chake akikisimamisha na kurudisha nyuma na akiwa kabanwa anatulia ila shingo anairudisha nyuma akisubiria time akugonge na hata akikufuata haizidi mita 3 tena kwa tahadhari huku akirudisha kichwa nyuma ndivyo nilivyosema mm hivi

Kipitia hoja hizi za Wikipedia wanakubaliana na mimi na hakuna mamba au nyoka anayekimbiza watu hakuna

Na hio ya kubanwa kuwa cornered kila nyoka kuanzia king cobra,mozambique cobra,viper,nk huwa wanakaa in defence mode kujilinda kwa kukaa mkao wa kugonga kasoro spitting cobra huwa hakubali asogelewe mita 10 huwa anatunisha shingo na kuanza kutema

Mjadala umefungwa

Koboko mnayemzungumzia humu jamii forum hayupo duniani link ya wikipedia uliyoitoa ina support hoja zangu.
Mkuu mbona una ligi hivyo? Wapi nimeandika huwa anakimbiza watu, nisome vizuri, nilisema ni aina ya nyoka ambae hujaribu kuepusha shari msikutane, Ila ukiingia kwenye anga zake ndio utamjua yeye ni nani, acha kukariri, unasema hana sifa ninazompa unataka kusema Koboko ni nyoka mpole? Acha zako, kawaulize vizuri wasukuma wafugaji watakwambia
 
Mimi binafsi simba mdogo hanisumbui halikadhalika kakoboko kadogo,lakini koboko aliyekomaa,nikimuona lazima nikimbie katika direction niliyotoka mambo ya wataalam wa wikipedia siyafuati hata kidogo.
 
Wewe jamaa una matatizo sana kama hata ya nyegere kumla koboko unabisha wallahi sirudii tena kusumbuka kuelewesha na kuandika

Halafu wajitia mjuaji wakati maisha ya nyoka na koboko huyajui upo empty


Kwa kukusaidia tu achana na nyegere ,nguchiro anamla koboko na popote alipo nguchiro koboko hukimbia

Duh salale


Si comment tena

https://www.google.com/url?sa=t&sou...CRAB&usg=AOvVaw2Qg-vECFh0z28OoyTmqK0-&ampcf=1

Embu soma hiyo source sasa uone unachokibisha, Koboko huwa unajitahidi kuepusha shari anapohisi hatari, Ila ukiingia anga zake huponi kirahisi kama unavyokebehi.

Hiyo source ni incredible, binadamu zaidi ya 20,000 hupoteza maisha kwa mwaka kutoka na kugongwa na koboko, sasa wewe uliekulia Dar unasimamisha shingo kwa ubishi. Ukiwaondoa Mongoose(Nguchiro) na Komodo dragon, Koboko predator wake mkubwa ni uharibifu wa mazingira tu
 
Kuna gereza moja lipo iramba linaitwa ushora huyo koboko alishawah kuua sero nzima kasoro jamaa mmoja tu ndio alipona baada ya kumfunika na blanket halafu akamng'atang'ata
 
Back
Top Bottom