Santi
JF-Expert Member
- Oct 30, 2016
- 555
- 1,214
Yaani ni kweli huyu mhuni anakula bange???Namzungumzia Koboko (Black Mamba) the most aggressive snake in the world. Turns out ni nyoka ambaye hana makuu na ndio maana anapenda kakaa sehemu tulivu, mbali kabisa na makazi ya watu.
Nipo huku mpakani mwa Kigoma na Tabora, mzee mmoja anasema kuwa ukiona Koboko ana-attack watu/vitu hovyo basi nyoka huyo either amekuwa kichaa (nadra sana koboko huweza kurukwa na akili) au amechokozwa na ameponea chupuchupu kuuawa, au itokee umkute ana/amekula chakula chake pendwa (Bangi) hapo ni vigumu kutoka salama.
Na huku wanasema ukitaka umuone panda Bangi.