Wafahamu nyoka hatari Zaidi duniani

Wafahamu nyoka hatari Zaidi duniani

Namzungumzia Koboko (Black Mamba) the most aggressive snake in the world. Turns out ni nyoka ambaye hana makuu na ndio maana anapenda kakaa sehemu tulivu, mbali kabisa na makazi ya watu.

Nipo huku mpakani mwa Kigoma na Tabora, mzee mmoja anasema kuwa ukiona Koboko ana-attack watu/vitu hovyo basi nyoka huyo either amekuwa kichaa (nadra sana koboko huweza kurukwa na akili) au amechokozwa na ameponea chupuchupu kuuawa, au itokee umkute ana/amekula chakula chake pendwa (Bangi) hapo ni vigumu kutoka salama.
Na huku wanasema ukitaka umuone panda Bangi.
Yaani ni kweli huyu mhuni anakula bange???
 
Mamba sehemu anayokaa hata videge vidogo uwa na wasi wasi panya ndo kabisa huwezi kuona anakatiza hiyo ni nyoka ambae kwanza hapendi kelele yeye na kelele tofauti kwasababu kunakipindi huyu nyoka anapata ukichaa kabisa sasa ukimkuta amedata ndo utajua na hao mnaowaita king cobra mamba ni zaidi ya Tatizo
Bange huu mmea mbaya sana!
 
Yaani ni kweli huyu mhuni anakula bange???
Ndio chakula chake special hicho, akishakula anakuwa kama teja anahitaji utulivu wa hali ya juu, sasa Ole wako utokee ni kama vile unamtoa kwenye stim zake, hapo hakuachi maana anakuwa kama kawehuka flani.
 
Koboko ni nyoka mpole sana

Hua anatembea asubuhi sana na jioni kwenda usiku

Ni mpole ata ukiwa mita moja hakudhuru unaweza katiza ukamluka hana shida

Tatizo lake umguse tu hata kidogo hapo umekwisha,,tena ukimgusa mkiani ndo hatari

Koboko mpaka akudhuru labda umkanyage au awe kajeruhiwa ndo hufanya maafa

Akijeruhiwa hua anatabia ya kukaa njiani na kujitega anakatiza barabara kwa yoyote atakaekatiza anammaliza

Ni nyoka mwenye speed sana na anapotembea hua kanyooka kichwa kipo juu hata majani yakiwa marefu kichwa lazima kivuke majani aone mbele

Hua hajikunji kunji,koboko aliekomaa hua anawika kama jogoo

Hawa nyoka tumewazoea sana
 
Ndio chakula chake special hicho, akishakula anakuwa kama teja anahitaji utulivu wa hali ya juu, sasa Ole wako utokee ni kama vile unamtoa kwenye stim zake, hapo hakuachi maana anakuwa kama kawehuka flani.
Kumbe jamaa ni hatari kama ni hivyo.
 
Hapana, wakati nachukua Masters (US), nilikuwa fascinated sana na nyoka haswa nyoka hatari....there's something about them that fascinates me. Sichezi nao, wanakaa kwenye special cage....furaha yangu ni kuwaona wanavyotembea na kujaribu kukamata vijusi na wadudu wengine.
It is good then if you have a reason to keep them
 
Kwa kuongezea tu, black mamba ni nyoka mtulivu sana ila ukimchokoza ndio utaona balaa lake!!

Kabla hajakushambua atakupa warning kwa kujikunja na kufungua kinywa chake chenye rangi nyeusi, ukiendelea kumsumbua baada ya hiyo warnng kinachofwata hapo ni kifo chako!!

Ukifika hatua hiyo jua una choices mbili tu either umshambulie afe tena bila kumkosa, au ukimkosa basi jua shambulio lake ni moja tu na baada ya hapo unadakika 20 za kusali na kuandika wosia kabla hujafa!!
He! Yaani hutajitetea? Mimi nadhani na ninashauri ungejaribu First Aid au hata dawa za kienyeji kwa mfanoTumia jiwe jeusi n.k. Aisee, Hofu yako inaweza ikaharakisha kifo chako badala ya sumu. WAHI HOSPITALI HARAKA. Usiridhike kwamba utakufa tu.
 

Angalia koboko huyu mdogo alivyomtia adabu simba.na bado amaendelea kugonga mpaka simba amekufa bado anagonga tu.akikomaa huyu hata tembo anashika adabu.

Nyoko umemaliza mb
Zangu bure mbona hajamnyandua diamond huyo koboko
 
Namzungumzia Koboko (Black Mamba) the most aggressive snake in the world. Turns out ni nyoka ambaye hana makuu na ndio maana anapenda kakaa sehemu tulivu, mbali kabisa na makazi ya watu.

Nipo huku mpakani mwa Kigoma na Tabora, mzee mmoja anasema kuwa ukiona Koboko ana-attack watu/vitu hovyo basi nyoka huyo either amekuwa kichaa (nadra sana koboko huweza kurukwa na akili) au amechokozwa na ameponea chupuchupu kuuawa, au itokee umkute ana/amekula chakula chake pendwa (Bangi) hapo ni vigumu kutoka salama. Anayeweza kukukimbiza ni yule tu aliyetumwa kuja kukudhuru, zaidi ya hapo hakuna.
Na huku wanasema ukitaka umuone panda Bangi.
Teh teh teh! Hii ya kula ganja nilikuwa siijui, kumbe nae wamo
 
Waswahili wanasema Ujinga ni zigo la mavi

Kwahiyo wewe akili yako inakutuma kwamba Honey burger atauwawa na koboko kwasababu ya UKUBWA AU UKOMAVU WA KOBOKO??? hiyo smart phone yako unatumia kuangalia porn tu au???

Silaha ya huyu nyoka sio Size, ni sumu yake, hiyo sumu haimdhuru honey burger, hata amgonge mara ngapi, simu inachofanikiwa kufanya ni kumchosha honey burger ila haina madhara yeyote kwake... Wakati huo huo single bite ya honey kwenye kichwa cha nyoka ni kifo
Una maelezo smart sana
 
Hata Mongoose sijui wanaitwaje kwa kiswahili.. Wanamuua black mamba fresh tu... Huyo honey barger ndo komeshaa yani anamkimbizia black mamba kabisa
 
Nilikoswakoswa na huyo koboko, nilitaka kuumua kwa fimbo niliposhusha fimbo nikamkosa kanirukia kaanza kupanda kwenye fimbo kwa kasi, nikaiachia fimbo akawawa anakuja kunigonga nikaruka pembeni,nashukuru jamaa yangu alikua na fyekeo kamkata ndo salimika yangu .siku nyingine king cobra alikuwa amelala anaotea jua la asubuhi,kunamama mmoja alikuwa anakatiza maeneo hayo maana yalikuwa ni Maeneo ya mashamba, mala kamuona king cobra kalala.ikabidi atuite kwani tulikuwa karibu.kwa vile ni wanaume tukaenda tulikuwa wawili ,pia alikuwepo mzee mmoja alikuwa analima eneo hilohilo akaja naye, ko tukawa watatu. Yule mzee alikuwa mganga wa kienyeji, ko nyoka kama hao ni lulu kwake.kufika pale tukamuona king cobra kalala mkubwa balaa. Jamaa yangu kachukua jembe amlime kwa nguvu akiwa amelala, jamaa kamlima kwa nguvu, kwa bahati mbaya kamkosa, akaamka kwa hasira ikabidi tuanze kuchanja mbuga. Kwa bahati nzuri kulikuwa na shimo la kichuguu pembeni kaingia humo.yule mzee akatuomba tumsaidie kuua yule nyoka. Mimi nilisita sana lkn jamaa yangu kanisihi tuende. Tukafika kwenye lile shimo ,tukaziba matundu mengine ili asije kutoka jupitia matundu hayo. Tuchungulia kwa mbali tukamuona, ikabidi mzee aingize fyekeo mule ndani. Kaanza kumkata yule nyoka ,nyoka alitoka mle ndani kwa hasira tukatoka nduki, yule mzee alikuwa anasumbuliwa na mguu ko badala ya kukimbia angaanguka palepale, kwa bahati nzuri yule mzee alikuwa mganga ikabidi autumie uganga wake vizuri kwa kumtemea mate yule nyoka ko akashindwa kumdhuru. Ikabidi aingie tena kwenye shimo .yule mzee hakukoma akaamka na Kuingiza fyekeo kuanza kumkata yule nyoka. Kamkataa wee katuita njoo tusaidiane kumtoa ameshakufa, tukafika pale tukaanza kumvuta, kumbe hajafa walanini, akatoa kichwa ili atufanye kazi, lkn alikuwa amebanwa .nyoka bwana wana akili Sana. Pale ikabidi aturushie mate mengi. Mimi yakanipata kifuani, jamaa yakampata usoni yule mzee akamdhibiti kwa kumkata shingo. Pale ndo ikawa furaha ya yule Mzee. Tukapewa dawa ya ile sumu kwani hatukuwa mbali na nyumbani kwake, .king cobra na black mamba sio wa kuwachezea kabisa.
 
Koboko ni nyoka mpole sana

Hua anatembea asubuhi sana na jioni kwenda usiku

Ni mpole ata ukiwa mita moja hakudhuru unaweza katiza ukamluka hana shida

Tatizo lake umguse tu hata kidogo hapo umekwisha,,tena ukimgusa mkiani ndo hatari

Koboko mpaka akudhuru labda umkanyage au awe kajeruhiwa ndo hufanya maafa

Akijeruhiwa hua anatabia ya kukaa njiani na kujitega anakatiza barabara kwa yoyote atakaekatiza anammaliza

Ni nyoka mwenye speed sana na anapotembea hua kanyooka kichwa kipo juu hata majani yakiwa marefu kichwa lazima kivuke majani aone mbele

Hua hajikunji kunji,koboko aliekomaa hua anawika kama jogoo

Hawa nyoka tumewazoea sana
Asante Mkuu kumbe una mfahamu vizuri huyu kiumbe cyo

Watu sometimes wanamchukulia tofauti kabisa na uhalisia wake. Huyu nyoka siyo mkorofi ni mpole ila ukorofi wake unasababishwa na factors mbali mbali kama ulivyotaja hapo.

Kuna baadhi ya myth nyingi sana za ki-africa kumhusu koboko. Mfano wengine husema ikifika usiku koboko hatakiwi kutajwa kwa jina lake maana akitajwa tu anatokea, n.k n.k

Uhalisia ni kwamba bila kuchokozwa koboko hana shida kabisa na kiumbe anayeitwa binadamu...... Ila ukimchokoza ndio utamjua vizuri shughuli yake. Untouchable and most deadliest snake in Africa.
 
downloadfile-5.jpg
Huyu amekasirika mpaka pua imekaa upande?!!au macho yangu tu.
 
... Angalizo:... Black mamba si nyoka mweusi kama jina lake linavvyotanabaisha.. Actually ni kama kahawia-brown hivi, au khaki. Huitwa hivyo sababu ya rangi ya ndani ya kinywa chake. Ni wengi sana Africa, including Tanzania.... Ukimuona anza na 100km/h. La sivyo utaishia kwa Ngai.
 
It is good then if you have a reason to keep them


Kuna siku moja kifutu wangu (puff adder) alijificha chini ya cage yake baada ya tai kuja kujaribu kumchomoa for lunch. Sikuamini kama tai ana nguvu ya hajabu, yaani yule tai aliikunja fence (hizi za kawaida za dirishani si ya kuzuia mbu) utafikiri ni mtu aliyefanya vile. Mbwa walikuwa wanapiga sana kelele kwenye cage yao, kutoka kuchungulia nikakutana na bonge la tai liko bize kukata ile fence, kuchungulia sikumuona nyoka wangu....wacha nimrushie bunduki (bird gun) yule tai, sikumpata lakini. Kuchungulia vizuri nikakuta yule puff adder kajificha chini kabisa ya cage kuogopa kuliwa live. Shamba (ranch) langu liko Msanga, Pwani....tafadhali msije kwa shari nina ulinzi wa kutosha....(mbwa boerboel 6, na wa kawaida 4, German Shephard 2, ni kwa ajili ya ranch tu na siwauzi pia hawazaliani (wamehasiwa wote kasoro wanaume 2 tu ambao wapo just in case kwa ajili ya mbegu hapo baadaye).
 
Back
Top Bottom