imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 61,236
- 98,405
Puff adderblack adder)
Puff adderblack adder)
Mmmh! Hawa mbona huwa ni wapole sana na uogopa sana binadamu?
Mwanza mji au mkoani Mwanza?Kwetu mwanza awapo
Kilichonivutia hapa GERMAN SHEPHARD hawa dog nawapenda balaa...lkn awe pureKuna siku moja kifutu wangu (black adder) alijificha chini ya cage yake baada ya tai kuja kujaribu kumchomoa for lunch. Sikuamini kama tai ana nguvu ya hajabu, yaani yule tai aliikunja fence (hizi za kawaida za dirishani si ya kuzuia mbu) utafikiri ni mtu aliyefanya vile. Mbwa walikuwa wanapiga sana kelele kwenye cage yao, kutoka kuchungulia nikakutana na bonge la tai liko bize kukata ile fence, kuchungulia sikumuona nyoka wangu....wacha nimrushie bunduki (bird gun) yule tai, sikumpata lakini. Kuchungulia vizuri nikakuta yule black adder kajificha chini kabisa ya cage kuogopa kuliwa live. Shamba (ranch) langu liko Msanga, Pwani....tafadhali msije kwa shari nina ulinzi wa kutosha....(mbwa boerboel 6, na wa kawaida 4, German Shephard 2, ni kwa ajili ya ranch tu na siwauzi pia hawazaliani (wamehasiwa wote kasoro wanaume 2 tu ambao wapo just in case kwa ajili ya mbegu hapo baadaye).
Kilichonivutia hapa GERMAN SHEPHARD hawa dog nawapenda balaa...lkn awe pure
Dah sijui ntapataje mawasiliano ya huyo jamaa mkuuWangu wako pure, kuna jamaa Uganda anawauza hata Karagwe wanapatikana, ndipo nilipopata wangu kuna mtu alikwenda kunichukulia Mutukula (Uganda).
Ntashukuru mkuuNitaku-PM
Wangu wako pure, kuna jamaa Uganda anawauza hata Karagwe wanapatikana, ndipo nilipopata wangu kuna mtu alikwenda kunichukulia Mutukula (Uganda).
Ntashukuru mkuu
Kwema bossMkuu kwema?
Kwema boss
Sawa mkuu, japo nimepata kwingine, kuna jamaa alitoa NairobiNashkuru mkuu. Mbongo halisi akiku-pm nitag aise..namimi pia nahitaji shepherd.
labda wale wenye makengeza