Wafahamu nyoka hatari Zaidi duniani

Wafahamu nyoka hatari Zaidi duniani

images-9.jpg

Njia pekee ya kupambana na koboko alyekomaa ni mbio.
 
Atakifikia wapi kichwa cha koboko aliekomaa kiko hewani kinagonga tena na tena .
Mkuu, unadhan utendaj wako wa kazi unafanana na wawanyama sio? nenda kaangalie anavyoliwa, Hao wanyama wana reflex action za speed ajabu

Any attempt ya nyoka kujaribu kumshambulia Honey badger au Mangoose, huo ni kifo cha nyoka, manake mara nyingi kama sio zote, mdomo wa nyoka hua unaangukia kwenye either miguu ya mbele(mikono ya honey badger) au moja kwa moja kwenye mdogo wa honey badger, Ni ujinga ambao hata NYOKA mwenyewe hathubutu UFANYA, wako speed sana kwenye maamuzi hao viumbe asikwambie mtu, ni nadra sana wao kugongwa na nyoka, nyoka kujaribu kuwagonga n sehemu ya mtego wao, yan nyoka akipeleka tu kichwa amekwisha... ndio maana nyoka akikutana nao anachojaribu kufanya n kukimbia au mwenye kupata miti anapanda, na huko huko juu anafuatwa... deadly mistake ni nyoka kujaribu kumgonga honey, viko sharp kama umeme
 
deadly mistake ni nyoka kujaribu kumgonga honey, viko sharp kama umeme
Koboko aliyekomaa yuko fasta kuliko huyo nyegere na huwa anagonga mara nyingi na anasumu nyingi,huyo mongoose huwa anapima akiona kitu kimekomaa hua anakimbia .
 

Wewe unaleta porojo mimi nakupa facts nguchiro huwa anapima ukubwa wa koboko kama ni mdogo anapambana akiona koboko sio size yake anaepusha shari.
 
Koboko aliyekomaa yuko fasta kuliko huyo nyegere na huwa anagonga mara nyingi na anasumu nyingi,huyo mongoose huwa anapima akiona kitu kimekoma hua anakimbia .
Thubutu, thubutu, hakuna nyoka ataweza mgonga mara mbili tatu alafu huyo nyoka aendelee kubaki salama... ukiangalia video, mara nying sana yani ile first attempt tu hua ni hiyo hiyo hesabu limekwisha, mda mwingi unapoteaga kwenye kukimbizana sio kupigana

Kundi la nyuki linashindwa mkimbiza ndio nyoka amkimbize??? anaingia kwenye mzinga anakula nyuki wote wanamvamia yeye yupo tu anakula hadi anashiba humo humo ndani,
 
Unashauriwa kama umeamua kuingia pori basi vaa viatu virefu dizaini hii
images-11.jpg

Au risk ukutane na wadudu watambaawo
snake-bite-result-620x350.jpg
 
images-26.jpg

Baadhi ya nyoka wasipokuuwa wanakuachia ulemavu wa kudumu.haswa jamii ya vipers.
 
attachment-1.jpg

Huyu koboko ambaye hajakomaa akivuka barabara huko akagera national park.
 
Nasikia panapo mziki unapolindima au kwa Radio wanasema inamliwaza kama yupo juu ya mti Anaweza kuanguka kwa kusilizia milindimo ni kweli kwa Aina ya nyoka?
 
Nasikia panapo mziki unapolindima au kwa Radio wanasema inamliwaza kama yupo juu ya mti Anaweza kuanguka kwa kusilizia milindimo ni kweli kwa Aina ya nyoka?
Kwanza nyoka huwa hawasikii kama sisi kwasababu hawana masikio ya nje kama sisi,ni sawasawa na wewe ukiziba masikio,ila vibrations huwa wanasikia ila muziki hauwezi kuwavutia mpaka adondoke kutoka juu ya mti kama mziki utakuwa ni mkubwa ataangushwa na vibrations.
 
maxresdefault.jpg

Huyu jamaa sijui alikuwa anafikiria nini kasawaka kadogo tu ndio kamemfanya aone kuzimu hahahaa
 
Back
Top Bottom