Waepuke wanawake masikini

Umasikini wa kushindwa hata kujitafutia mahitaji binafsi katika mahali unapoishi haufiki hiyo 80%.
Kwani maana ya umasikini ni nini.

Kwenye swala la mahusiano kila mtu ana vipaumbele vyake wewe kama kipaumbele chako ni mwanamke kujiweza kiuchumi ni vizuri. Ila wengine vipaumbele vyao ni maumbile sura tabia etc.
 
Kwani maana ya umasikini ni nini.

Kwenye swala la mahusiano kila mtu ana vipaumbele vyake wewe kama kipaumbele chako ni mwanamke kujiweza kiuchumi ni vizuri. Ila wengine vipaumbele vyao ni maumbile sura tabia etc.
Umasikini niliouongelea ni mtu mzima kushindwa kumudu mahitaji yake muhimu ikiwa hakuna sababu inayomzuia kushindwa kufanya hivyo.

Ofcourse kila mmoja ana vipaumbele vyake. Kinachotokea tunabadilishana mawazo. Hata wewe ukiandika uzi wa kuelezea hivyo vipaumbele vingine tutakuja kutoa mawazo yetu. Lakini hatuwezi kufungamanisha vioaumbele vyote kwenye tread moja
 
Hapa mie nilikuwa nazungumzia mke, sio girlfriend...
Mke ni kesi nyingine. Ukifatilia madogo mtaani moja ya sababu inayowarudisha nyuma au kuwapunguzia kasi ni kujihusisha katika mahusiano na wanawake masikini wasiokua na mpango wowote kwenye maisha yao. Hii inapelekea kubeba majukumu yasiyowahusu. Kwa sasa ni expensive zaidi kuwa boyfriend kuliko kuwa mzazi

Wakati fulani kuna dogo alinifata kuniomba nimwazime hela kwa ahadi kwamba atanirudishia boom likitoka. Nilivyouliza hiyo hela ni ya nini akaniambia anataka kumwongezea demu wake amalizie ada maana hataweza kufanya mitihani ya mwisho wa semesta. Nilishangaa sana. Huyo binti ana wazazi/walezi na wewe bado unasoma how comes ubebe jukumu la kumlipia ada! Sikumpa hiyo hela aliyoomba nikamwabie akamwambie huyo binti aongee na watu wa nyumbani kwao kuhusu hiyo changamoto
 
Sahihi kila mtu abaki na vipaumbele vyake.
Maana unawaza kudhani unajiweza kiuchumi ukaenda kwenye familia nyingine ukaonekana takataka hujiwezi
 
Madini kabisaaa 💯
 
HUjaelewa chochote rudi kwenye 10k ?
 
Hawezi kukuelewa
 
Mwanangu kabisa
 
Short and clear ,kabla mwanaume hajaingia kwenye mahusiano hakikisha kiuchumi uko stable la sivyo ukikutana na ombaomba utakuwa unapiga hatua 6 nyuma 3 mbele hutapiga hatua full stop
 
Hahaha, Sasa itakuaje kama option ni mwanamke tajiri single mother au masikini bikira?
 
Sahihi kila mtu abaki na vipaumbele vyake.
Maana unawaza kudhani unajiweza kiuchumi ukaenda kwenye familia nyingine ukaonekana takataka hujiwezi
Mimi mkwe wangu sio lazima awe tajiri, angalao tu awe na kitu anakifanya kusogea kimaisha. Kijana wangu wa kiume akija kunitambulisha mpenzi wake ambae hasomi, hana kipato wala chochote cha maana kinachoendelea kwenye maisha yake, mbaya zaidi awe anatoka kwenye absolutely poverty family. Hapo lazima nimpe taadhari kijana wangu kwa sababu najua mzigo anaoenda kuubeba ni mkubwa sana na uta-slow down mipango yake
 
Fumbo gani na unaona mtu ni ombaomba kila siku na ukikosa siku moja malalamiko kibao anasahau yote so mwanamke wa aina hii kuendelea sahau
 
Sahihi ukikosea kuoa Obviously lazima cha moto ukione either way tajiri/masikini
 
Humwambii chochote
 
Hahaha, Sasa itakuaje kama option ni mwanamke tajiri single mother au masikini bikira?
Hakuna popote nilipoelekeza kwamba target iwe mwanamke tajiri. Hao matajiri hata wanaume tuwapo wachache sana. Substitution ya masikini sio tajiri. Mwanamke awe tu na kitu anafanya kusogea kimsisha ni sawa. Kwanini mmashindwa kuelewa kitu kidogo sana kama hicho maana naelezea tamgu page ya kwanza.

Na suala la bikira halina mfungamano wa moja kwa moja na uchumi wa mwanamke. Anaweza kuwa na direction ya maisha akawa bikira and vice versa
 
Reactions: Tsh
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…