Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 12,939
- 36,319
- Thread starter
- #61
Hit and runNatafuta Ajira demu ana miliki Iphone 13 pro alafu anaomba buku ya bando na Hana mishemishe yoyote mjini
Hit and runNatafuta Ajira demu ana miliki Iphone 13 pro alafu anaomba buku ya bando na Hana mishemishe yoyote mjini
kama ndo hao naunga mkono hoja, tena apo ni kukimbia ata peku !Hapa niliowazungumzia ni wale pisi njaa kali na hawataki kujishughulisha kufanya kazi yeyote ya kuwaingizia kipato.
Zaidi hutumia mapenzi kama kitega uchumi na sehemu ya kupooza njaa zao, huwa hawanaga nidhamu ya pesa hawa wanaomba mnoo yani ni kero sana ukiwa karibu na pisi aina hii.
Na kazi hawataki kufanya, alafu ukiwanyima wanakuona mwanaume huna pesa. Wanasahu wamekuwa ombaomba mnoo!
#Hallelujah!!!
Pesa haimbadilishi mtu, isipokua inafichua uhalisia wakeAngekuwa na pesa basi angekuwa ni mtu tofauti kabisa. Hakuna mtu anazaliwa akiwa mtu tayari, mapito ya duniani ndio hutupa utu. Moja kati ya mapito ni pesa.
Suala la wanawake ku-prefer mwanaume wa daraja la juu zaidi sio individual cases. Hilo ni suala ambalo linaenda ndani mpaka kwenye nature yao.Kwahiyo hapa unamhukumu mtu mmoja kwa tabia za mtu mwingine tofauti(ambaye pia umekisia sana tabia zake kwasababu hayupo na humjui).
Ofcourse ninachokiandika sio sheria, na ninatambua kuna wenye mawazo mbadala. Mwisho wa siku kika mtu atafanya maamuzi yake binafsiLicha ya hayo yote, mahusiano/ndoa ndio jambo lenye risk kubwa zaidi kwenye maisha na hiyo risk haikwepeki. Mada kama hii haiwezi kuwa na hitimisho kwasababu mahusiano ni fumbo. Hakuna jibu sahihi, kuna machaguo tu.
Kwakutumia kigezo chako hiko hiko vipi wanawake nao wakisema hawawezi kumvumilia mwanaume ambaye bado hajajipata watakuwa wanakosea?Umasikini kwenye mahusiano ni liability kwaiyo hauwezi kusema sio tatizo. Wewe ungekua masikini halafu mwanamke yupo kwenye nafasi nzuri kiuchumi unafikiri angekubali kuwa na mahusiano na wewe?
Unachotaka kusema tuangalie potential ya mwanamke, lakini kumbuka not everyone fulfill his/her potential. Vilevile hakuna guarantee kwamba akiifikia hiyo potential yake atakua loyal kwako kwa sababu you elevated her from beginning. So it's better to prioritize results, insteady of potential.
Natambua hilo na nimetilia mkazo kwenye results zaidi ya potential, because results is a tangible measure for her smartness. Exception is everyshere, but dating a broke woman the outcome is rarely favourableMkuu smart ladies wako haijalishi wako kwenye hali gani. Na ukipata mmoja ume-win
Hata usipopigwa mizinga kuna namna unajiona unawajibika ku-elevate maisha yake. Hapo sasa kama bado upo kwenye building stage unajikuta unachelewesha safari yako.Mtoa mada, umeandika kweli tupu. Mizinga inaumiza.
Kwanini wanawake waliopo kwenye nafasi nzuri kiuchumi hawatumii hiyo hiyo logic kuingia kwenye mahusiano na wanaume masikini. Hapo juu kuna mstari nimesema "Mwanaume daima yaangalie mahusiano kwa jicho la kibiashara kama wafanyavyo wanawake". Masikini wa kutoka kwenye familia nyingine hakuhusu.
Maskini wa level zetu huyuCha ajabu unaweza kuona hata huyu anayetuchamba ni maskini mwenzetu
Kuombaomba ni suala jingine na umasikini ni suala jingine. Jaribu kuelewa vizuri msingi wa hoja.
Kusema hawezi kumvumilia mwanaume ambae hajajipata hapo anakosea, kwa sababu hakuna mwanaume aliekuja hapa duniani kwa ajiri ya kuboresha maisha ya mwanamke. No man owe her better life.Kwakutumia kigezo chako hiko hiko vipi wanawake nao wakisema hawawezi kumvumilia mwanaume ambaye bado hajajipata watakuwa wanakosea?
Nawataka hao wanawake maskini.Mwanamke masikini ni liability. Kaa nae mbali kama bado unajenga maisha yako. Hakuna chochote chenye thamani anachoweza kuchangia kwenye mahusiano. Hawezi kukupa hela, connections za michongo wala kukusuluhishia tatizo lako lolote.
Hata ukiwa kwenye mahusiano na mwanamke masikini. Ukapata mwanamke mwingine mwenye tabia nzuri na anajimudu mahitaji yake au anatokea kwenye familia yenye connections(za kisiasa, biashara n.k), basi achana na yule masikini. Kwa sababu masikini ni liability, na yule mwenye hela/connections ni asset. Mwanaume daima yaangalie mahusiano kwa jicho la kibiashara kama wafanyavyo wanawake
Usijifanye shujaa kwenye maisha ya mwanamke masikini. Hauhusiki na umasikini wa mwanamke Umasikini wa mwanamke sio tatizo lako, ni tatizo lake na familia yake. You don't owe any woman the life her parents failed to give her.
Mwanamke masikini ana njaa, ana bill za kulipa, na anajua mahusiano ndio nafasi rahisi kutua mzigo wake. Kumbuka yeye anapotua mzigo wake, mzigo huo utaubeba wewe kwa sababu utataka kudhihirisha upendo na uanaume wako kwa kubeba jukumu la kumtimizia mahitaji yake.
Hapa sio lazima akuombe hela,kwa sababu tayari yupo kwenye maisha yako utajiona una wajibu wa kumpa hela. Hivyo vielfu 10 utaona sio chochote. Ghafla utashangaa hela yako haikai na kuanza kujiuliza sijaenda club, sijanunua nguo, hela imeenda wapi? Jibu ni rahisi, kuna liability umeiongeza kwenye maisha yako.
Tupo kwenye dunia ya usawa wa kijinsia. Mwanamke kapewa fursa zote alizopewa mwanaume. Hakuna kisingizio chochote cha mwanamke kuingia kwenye mahusiano akiwa masikini na kutaka atimiziwe mahitaji yake na mwanaume. Mwanamke masikini apambane kwanza kutengeneza maisha yake ndio aingie kwenye mahusiano, vinginevyo atumike kama chombo cha starehe.
Brozos, broke women don't date for love, they date to survive. You saw a future she saw an opportunity, and temporary bonding grease called "love" blinded you because you never questioned the uncertainty.
Brozo, a broke woman will slow you down and still leave you in the end when she see no significant progress.
Don’t be a simp.
Wapo ila tatizo hawana alama.Mkuu smart ladies wako haijalishi wako kwenye hali gani. Na ukipata mmoja ume-win
Uwezi ukamjua kwa siku moja, ila wako kila mahali, wengine wagum hawaingiliki, wasumbufu sababu wanangukia kwa mapimbi wanapigwa matukioWapo ila tatizo hawana alama.
Na hiyo ndio inatoa nafasi kubwa ya kuangukia kwa vishoka.