Waepuke wanawake masikini

Waepuke wanawake masikini

Kwahiyo
unatafuta dating au kusaidiwa pesa?
kama dating yako tafuta msichana Mrembo ufurahie maisha yako:
kama unatafuta unafuu wa maisha Kuna wanawake watakupa pesa ili wakudeti wewe;
Jinga sana wewe
tafuta hela ili uweze kutongoza Mwanamke unayempenda wewe:
Kama hula hela utatongozwa wewe na ukubali kumfurahisha Mwanamke:
Jinga kabisa wewe
Tafuta hela
Umejidhalilisha sana
Kwanini usideti na hizo pesa zako kichele?
Tulia, vuta pumzi ndefu, kunywa maji. Presha ishuke halafu tuendelee na mjadala. Huwa sipendi kujadiliana kitu chochote na mtu ambaye hana utulivu wa akili kwa muda huo.
 
Kutongoza na kumpa hela Mwanamke ndio furaha yetu sisi wanamume jasiri:
Tafuta pesa wewe Dogo
furaha ya Dunia kwa wanamume
ni
Wine
Women
Wife
and
Money
WWWM
Kama huna uwezo wa kuvipata hivyo, jihesabie kuwa wewe ni maskini wa kutupwa yaana ni kapuku na huna Audacity ya kuongea mbele ya wababe wa Dunia hii:
Kunywa maji ukalale:
Hela ya kuishi maisha ya standard nzuri ipo mdogo angu. Hivyo ulivyovitaja vyote ni cheap sana kwa hatua ya maisha niliyopo kwa sasa. Chuma cha mjerumani ninachosukuma barabarani service yake moja tu ni hela yako ya kula sio chini ya miezi 6,kweli ndio nianze kufikiria wine and pussy.
 

Sisi pamoja na kupata elimu tunarudi nyumbani kijijini na kuwaona wasichana warembo haswaaa na wameishia dalasa la 7 au form 4 au 6:
Na tunaamua kuwaoa kwa kuwa tunawapenda sisi na sio kupendwa na wao:
Na tunawaleta mjini na kufurahia ndoa zetu:

Mwanamke hata awe na pesa ni yake na familia yake iliyo msomesha;
Na hakupi ng'oo zaidi kama ana njaa ili anunue chakula chake:
Au kwenu mnalipiwa mahali na wanawake ili wawaowe?

Tafuta pesa umhonge Mwanamke mrembo Hadi afurahi na ufurahie maisha yako:.
Mwanamke aliumbwa ili amfurahishe mwanamume na sio vise-Velsal
Wanye visu vikali ndio wanaopendwa na wanawake
wewe utaishia kunawa tu na kutapeliwa na wanawake warembo:
Cha msingi mtafute Binamu yako ili umwoe Bure:
Kinywaji ulichokunywa leo usirudie tena kunywa siku nyingine
 
Umaskini ni hali ya kiuchumi. Kuombaomba, kudanga, kunachochewa na umaskini lakini zaidi ni tabia tu. Wadada maskini wawajibikaji na waelewa wapo wengi tu. Halafu mwanamke maskini akikupiga vizinga na wewe ukapigika vizinga mbona sasa hapo na wewe mwenyewe unakua umekosea. Ndo u simp wenyewe huo. Mwambie ukweli. Kama siyo muelewa basi hiyo iwe ndo sababu ya kuachana. Easy.
 
Haya maisha ya Tanzania ya kulala na mitungi ya gesi ndani ili usiibiwe,kupanda boda boda na bajaji au kutumia madumu ya njano kuwekea maji ya matumizi majumbani bado tunaendelea kuchekana kwamba yupo Tajiri na masikini mimi binafsi naona % kubwa ya Watanzania ni masikini hata wanaofanya kazi wapo kwenye mzunguko wa umasikini tu..
Mtu anapiga kazi ila hawezi kutatua tatizo la Tsh 2m ghafla si umasikini huo mshahara ukichelewa siku moja tu analala na njaa daah au anaruka duka la kukopa kwa Mangi maana duka la kwanza ajarejesha pesa aliyohaidi..
Muwe mnaelewa mada jamani. Substitution ya masikini sio tajiri. Hakuna popote nilipoandika watu waingie kwenye mahusiano sakiwa matajiri. Mtu aweze tu hata kumudu mahitaji yake ya msingi, ni sawa
 
Umaskini ni hali ya kiuchumi. Kuombaomba, kudanga, kunachochewa na umaskini lakini zaidi ni tabia tu. Wadada maskini wawajibikaji na waelewa wapo wengi tu. Halafu mwanamke maskini akikupiga vizinga na wewe ukapigika vizinga mbona sasa hapo na wewe mwenyewe unakua umekosea. Ndo u simp wenyewe huo. Mwambie ukweli. Kama siyo muelewa basi hiyo iwe ndo sababu ya kuachana. Easy.
Unajua suala sio kukupiga vizinga tu, suala ni kwa sababu tayari yupo kwenye maisha yako utajiona unawajibika kubadilisha hali yake. Hapo ndipo unakua umeongeza liability kwenye maisha yako especially kama bado upo kwenye building stage. Mwanamke masikini atakupunguzia kasi.

Unajua familia za matajiri sio wajinga kuzingatia hali za kiuchumi upande wa wenza wa watoto kwanza kabla ya kutoa ruhusa watoto wao kuoana. Hauwezi kuona tajiri anakubali mtoto wake kuoa au kuolewa kwenye familia masikini

Kwa hali ya sasa suala la ku-elevate maisha ya mwanamke libebwe tu na wazazi wake au ndugu zake. Vinginevyo awe mke rasmi kwanza.
 
Ndiyo hapo tunashindwa kuelewana ,kati ya masikini na ombaomba...Wewe unazunzumzia tusidate na masikini lakini context ni ya ombaomba.

Ndiyo maana nikasema hapo awali hata hao unaowaona siyo masikini(wenye vipato vyao either kuajiriwa /kujiajiri) ni ombaomba wa kutupwa.

Kama tegemezi ,hakuna binadamu ambaye si tegemezi ,hata wewe ni tegemezi either kama umeajiriwa unategemea huruma ya HR/mwajiri au kama umejiajiri unategemea wateja ,hivyo hivyo kwa hao unaosema broke pia wana michango yao katika uhusiano.

Hizo tabia za broke ladies hata hao ladies walijipata wanazo ,na kama issue ni masikini wapo pia broke ladies hawapigi mizinga.
Utata kwenye uzi wake upo kwenye matumizi ya neno maskini. Kumbe anayezungumziwa ni aina ya mwanamke maskini. Ukitafakari zaidi pia unaona kwamba kinachozungumziwa hapa ni tabia. Ambazo hizo tabia wanazo women wanaojiweza pia.
 
Utata kwenye uzi wake upo kwenye matumizi ya neno maskini. Kumbe anayezungumziwa ni aina ya mwanamke maskini. Ukitafakari zaidi pia unaona kwamba kinachozungumziwa hapa ni tabia. Ambazo hizo tabia wanazo women wanaojiweza pia.
Nimezungumzia umasikini kama umasikini hakuna popote nilipotaja tabia zingine. Point yangu ni kwamba masikini hana tangible output anayokuja kuchangia kwenye mahusiano. Yeye anakuja ku-consume tu. That is liability.

Masuala mengine mengine kama peace of mind, emotional support n.k ni subjective. Hakuna guarantee kwamba utayapata kwa masikini au mwenye kipato
 
Hakuna popote nilipoandika neno tajiri kwenye post. Umasikini niliomaanisha ni kushindwa hata kumudu mahitaji ya msingi bila kuwa na sababu yoyote ambayo ipo nje ya uwezo wako
Point yangu ni kwamba masikini hana tangible output anayokuja kuchangia kwenye mahusiano.
Sema maskini asiye muwajibikaji ndo hana "tangible output" ya kuchangia kwenye mahusiano. Wapo maskini wengi ambao ni productive, Ila bado unaweza ukawaita maskini kwa vigezo vingine vya umaskini. Umefafanua kwamba unapozungumzia umaskini unazungumzia uwezo wa mwanamke kumudu mahitaji yake ya msingi. Sasa mwanamke wa namna hiyo mbona bado ni maskini na anytime atahitaji msaada kwa mambo mengi sana tu.
 
mambo mengine bhana, >68% ya watanzagiza ni masikini, halafu wewe unasema waepuke wanawake masikini, chances are that kwenye familia yako masikini wapo na ni wengi tu kwa maana zaidi ya nusu watazagiza ni masikini i.e ktk kila watu 2 mmojawapo 1 ni maskini, sasa hiyo theory yako ita-work vipi? ...
Kabisaaa
 
Sema maskini asiye muwajibikaji ndo hana "tangible output" ya kuchangia kwenye mahusiano. Wapo maskini wengi ambao ni productive, Ila bado unaweza ukawaita maskini kwa vigezo vingine vya umaskini. Umefafanua kwamba unapozungumzia umaskini unazungumzia uwezo wa mwanamke kumudu mahitaji yake ya msingi. Sasa mwanamke wa namna hiyo mbona bado ni maskini na anytime atahitaji msaada kwa mambo mengi sana tu.
Mkuu hata tajiri anaweza kuhitaji msaada. Mwenye kipato tayari anajiweza kwa mahitaji ya muhimu. Haimaanishi kwamba hastaili kusaidiwa. Lakini huyu msaada unaompa ni kumsogeza mbele. Tofauti na asiye na kipato huyu hata kusimama tu hawezi kwaiyo unamnyanyua. Huo ni mzigo mkubwa zaidi.

Mfano umekutana na mwanamke let say ana miaka 25. Hasomi, hana kipato wala chochote kinachoendelea kwenye maisha yake. Huyu anawezaje kuwa productive kwako
 
Mkuu kuna watu ambao hawapendi wanawake wao wawe na hekaheka zozote, wanataka mke akae nyumbani na mwanaume apambane alete.

Nafikiri Mwanaume ndio anapaswa kwanza awe na uwezo kiuchumi ndipo sasa aweze kuingia kwenye Mahusiano. Kwasababu mwanaume ndio anatongoza (anawinda), so kabla hajaingia mawindoni ni lazima ahakikishe ana tools.

Hoja ya mwanamke masikini haifa kupuuzwa pia kwa karne ya sasa, kutokana na 50/50. BUT under normal circumstance, Mwanaume jijenge kiuchumi ndipo uingie kwenye mahusiano, mengine ni preference za mtu binafsi.

Kama mwanaume huwezi kumtunza, kumlinda na kumuongoza mwanamke, achana na mapenzi maana malalamiko yatakuwa kwako hayaishi.

Hupaswi kuteseka kwenye mchezo uliochagua mwenyewe.
Comment bora kabisa hii na ya kufungia uzi.
📍
 
Kuna tofauti ya masikini na ombaomba ,wewe naona umemlenga zaidi mwanamke ombaomba.

Sisi tuliopita sehemu nyingi nyingi tumekutana na hao wanawake unaowaona wewe wanajiweza ila waulize mabwana zao ndiyo watakwambia ngondoigwa zao.

Wanawake wanaojiweza mizinga yao ni nina milioni 10 niongezee 15 nikanunue TAKO LA NYANI....oh baby nimepungukiwa "MLIO" nataka ninunue Lace Wig ila hawa wa kwetu omba omba ni sisi ndiyo hatujiongezi unataka mwanamke akuombe hadi hela ya kwenda kusuka maana yake hautimizi majukumu yako vizuri.

Hivi huyo unayemwita masikini ukiwa unampa bajeti ya laki 2 ya kujikimu kwa mwezi utafikiri atakuwa anakuomba omba? Wanawake wanajua sana kupangilia bajeti/matumizi...hatoishiwa akijua kwamba hatopata tena.

Mimi bora nimchukue mwanamke omba omba maana ana unafuu kwa 100% kuliko hao wanaojifanya wana kazi au biashara kubwa maaana "Vizinga" vyao ni mara elfu10 ya ombaomba.

Ombaomba atakupiga kizinga cha laki2 ila huyo anayefanyakazi/mfanyabiashara atakupiga mzinga wa milioni 10.
Nakubalii umepita sehemu nyingi na umeona mengi.
Em wasanue hawa wadogo na watoto zako hapa jamviniii.
🔥🔥🔥
 
usichokijua ukiwa na mpenz anae kudai bill kila siku na ukawa unampenda mbinu za kutafta pesa huongezeka hivyo ata kusapot utoboe mapema zaid.

huwez kunielewa kama ww ni mdangaji ila kama unakuaga na mapenz ya kweli huyo mwanamke anae kuomba msaada daily na ukawa unajitafuta na uwe unampenda unatoboa fasta sana.

hii mbinu wajanja wanaijua nyinyi vilaza mwendelee kuwataka matajir tuone.
Shuhuda tu humu, Aloooh.
 
Siku hizi maisha tunaviziana sana; wanaume wanataka wanawake wanaojiweza ili wawalee, wanawake wanataka wanaume matajiri ili watajirike. 😊

Wanawake wanatakiwa kupambana sana siku hizi; game imebadirika sana. Unaolewa sababu ya kitu flani. Hatari sana!
Ukiangalia siku hizi; mwanamke akipata kazi au akiwa anajiweza ndio anaolewa. Kazi ipo.
😂😂😂 zama zimebadilikaa.
 
Ndiyo hapo tunashindwa kuelewana ,kati ya masikini na ombaomba...Wewe unazunzumzia tusidate na masikini lakini context ni ya ombaomba.

Ndiyo maana nikasema hapo awali hata hao unaowaona siyo masikini(wenye vipato vyao either kuajiriwa /kujiajiri) ni ombaomba wa kutupwa.

Kama tegemezi ,hakuna binadamu ambaye si tegemezi ,hata wewe ni tegemezi either kama umeajiriwa unategemea huruma ya HR/mwajiri au kama umejiajiri unategemea wateja ,hivyo hivyo kwa hao unaosema broke pia wana michango yao katika uhusiano.

Hizo tabia za broke ladies hata hao ladies walijipata wanazo ,na kama issue ni masikini wapo pia broke ladies hawapigi mizinga.
📍📍📍
 
Back
Top Bottom