Hawezi
Anamtaka aliyemzidi pesa tu na sio elimu:
Wanatukubali ili pamoja na mengine tuwahakikishie tuta waghalamia mambo Yao:
Ndio maana Karubandika alikataliwa:
Hata akiwa na pesa, hiyo ni kwa ajiri ya familia yake yaani Ndugu zake na mapambo yake:
Atakapo kukuzidi kipato au pesa atakumwaga fasta:
Hivi ulisha wahi kuona Mwanamke kamaliza chuo na kapata kazi na kaenda kijijini kwake na akaolewa na mkulima wa jembe la mkono wa dalasa la saba?
Na akamleta kazini kwake mjini waishi kama Mume na mke ?
Never on Earth