Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 2,556
- 2,994
Vikao vingi vya harusi, misiba na michango mengine hautaweza kuona mwenye pesa kuwa na busara ya kuongoza kikao au hata kawaida kumshuhudia mwenye pesa awe na busara. Nadhani sijawahi kushuduia unajua kwanini? Je, ulishawahi kushuhudia combination hii?
Unamkumbuka Rais wa Yanga alivyowaita wana Yanga wala Mihogo? Hii ndiyo maana halisi ninayokusudia, pesa na busara haviwezi kukaa pamoja sijui kama nimekosea.
Unamkumbuka Rais wa Yanga alivyowaita wana Yanga wala Mihogo? Hii ndiyo maana halisi ninayokusudia, pesa na busara haviwezi kukaa pamoja sijui kama nimekosea.