Wadada na nguo fupi!!!

Wadada na nguo fupi!!!

hebu watuwache tupumuwe kila siku women this, women that utafikiri wao ni malaika. kwani hizo nguo tunazitengeneza sisi.basi viwanda vya nguo vifungwe turudie magome ya miti.

utavaa magome ya miti wewe binti wa kileo! Ishu ni kubadilika kitabia tu,.
 
honestly speaking mi roho yangu hua inafurahi sana pindi ninapoona mdada kavaa nguo fupi.. yaani nafurahi sana, ila all in all sipendi atakae kuja kuwa mke wangu avae akiwa anaaingia mtaani.. napenda anivalie mim tuu, ila wake wa wenzangu ruksa kuvaaaaaaaaaaaaa
 
Mwanamke kimini babu hasa ukiwa na guu chalanga laficha ukurutu

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
utavaa magome ya miti wewe binti wa kileo! Ishu ni kubadilika kitabia tu,.

basi nenda kwenye rasimu ya katiba mpya ukatoe maoni. na ujue huwezi kulazimisha watu wafanye kitu unachokitaka wewe. ukiona unashindwa kuvumilia hamia falme za kiarabu huko labda utaweza ishi bila kaona vimini.
 
Kina dada mkitutega tukinasa msirushe ngumi mtulie ili mambo yaende sawa.
 
basi nenda kwenye rasimu ya katiba mpya ukatoe maoni. na ujue huwezi kulazimisha watu wafanye kitu unachokitaka wewe. ukiona unashindwa kuvumilia hamia falme za kiarabu huko labda utaweza ishi bila kaona vimini.

nikishahamia nitakuambia usijali,.
 
Tz tuna uhuru wa kuvaa kivazi tukitakacho. uvae kimini au nguo ndefu kama zangu bado utapendwa tuu. upendo ni bahati ya mtu
 
Kama kuna kitu madada zetu hawapendi kuambiwa ni suala hili yani linaingilia kulia na kutokea kushoto,saa hizi wanapigia hesabu kuvaa chupi tu watoke nazo we unawaambia kuhusu vimini kwenye hili na huu utandawazi hili halitofanikiwa nianavyo lakini?
 
angalia avatar yangu!?!
Duh nimekubali...."unaita" si kidogo!
profilepic172682_9.gif
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom