Ndugu yangu
JF-Expert Member
- Aug 3, 2013
- 680
- 365
Jooto babu wee!!!
Nenda arusha kipindi cha baridi utakuta wengine wanavaa kama wewe je na wao wanahis joto
Jooto babu wee!!!
Duh nimekubali...."unaita" si kidogo!
![]()
Duh nimekubali...."unaita" si kidogo!
![]()
Sina ukurutu acha nipumue na min skirt yangu......ukiona unakereka bas taga yai kama la mbuni ndo ntaacha!!!
Aisee yaani huyu tinna cute ana vionjo vyangu vyote!:A S 39:Hamna kitu hapo. Milonjo mitupu.
Mtuwache tupumue jamani.
Dar kuna joto kali.
Mwili wangu hauna ukurutu, mguu wangu mtamu.
Kwanini nisivae nguo fupi.
achana nae huyo....mi naomba uzipunguze zaidi iwe kama umevaa belt badala ya skirt.......
vimini navipenda sana na vinanitoa balaa!!!! maajariwa lazima niyaonyeshe anakereka ashushie tindikali!!!!
Miili yetu ni mnato, inavutia.
Kwanini tusivae nguo fupi mdogo wangu!
Watuache tuvae miss strong...
Kama wanaona wivu, wamwambie Paw awapige Ban.
Watoto tumeumbika.
Mwili nyoronyoro.
Hahahah........maelezo tafadhari hapo kwenye MNATO Mama Mtumishi.
Tatizo si mavazi naona tatizo ni wanapendeza sana...
Hujaona picha moja juzi kati Michuzi amepiga na wanawake wa ukweli toka Namibia...wamekaa katikati ya mji wanauza vitu vya asili huku maziwa yako wazi....Hayo ndio mavazi asili ya muafrika...nguo ni za wazungu na waarabu
wewe kama hupendi masharti yaishie kwa mke au girlfriend (maana hata dada yako huna mamlaka nae)
Aisee yaani huyu tinna cute ana vionjo vyangu vyote!:A S 39: