Wadada na nguo fupi!!!

Wadada na nguo fupi!!!

Habari zenu wanaMMU,.

Leo niko na nyie dada zangu ninaowaheshimu na kuwapa heshima mnayostahili!!

Back to the topic,.

Ninakereka sana na vijivazi vyenu mnavyovivaa siku hizi kwa kuwa haviendani kabisa na utamaduni wetu wa kitanzania na unapoteza maadili kabisa katika jamii husika, siyo wakina dada wala akina mama, wote wamejisahau kabisa, unamkuta mdada/mama amekuvalia mini-skirt kiasi kwamba nusu kama siyo robo tatu ya maumbile yake anayaacha wazi,.

Sijui mnafanya makusudi ama vipi maana bado sijapata jibu mpaka sasa, wengine wanasema mnawatega wanaume ili waingie kingi, wengine wanasema ndiyo kuendana na wakati hivyo yaani ni taabu tupu dada zangu, kwanini msivivae hivi vijivazi mkiwa na mabwana zenu humo vyumbani kwenu muwaonyeshe neema mlizojaaliwa ili wawafurahie maana ndiyo wanaostahili kuyaona maumbile yenu?.

Badilikeni ili jamii iwarejeshee heshima yenu tafadhali!!!

Naomba kuuliza hapo unapodai vivazi "haviendani kabisa na utamaduni wetu wa kitanzania." Je, mavazi ya kitamaduni ya mtanzania ni yapi?
 
Mtuwache tupumue jamani.
Dar kuna joto kali.
Mwili wangu hauna ukurutu, mguu wangu mtamu.
Kwanini nisivae nguo fupi.

jamani eeeh msituchoshee. nyie wanaume wa miaka hii sijui mna nini mbona zamani wanawake walikuwa wanaficha papuchi tu kwa magome ya miti lakini wanaume walivumilia tu na hawakuwa na tatizo kabisa.

Sina ukurutu acha nipumue na min skirt yangu......ukiona unakereka bas taga yai kama la mbuni ndo ntaacha!!!


kama mnalipa , endeleeni kuvaa jamani ............... wengine tunapenda ajabu mkivaa hivyo.
 
Habari zenu wanaMMU,.

Leo niko na nyie dada zangu ninaowaheshimu na kuwapa heshima mnayostahili!!

Back to the topic,.

Ninakereka sana na vijivazi vyenu mnavyovivaa siku hizi kwa kuwa haviendani kabisa na utamaduni wetu wa kitanzania na unapoteza maadili kabisa katika jamii husika, siyo wakina dada wala akina mama, wote wamejisahau kabisa, unamkuta mdada/mama amekuvalia mini-skirt kiasi kwamba nusu kama siyo robo tatu ya maumbile yake anayaacha wazi,.

Sijui mnafanya makusudi ama vipi maana bado sijapata jibu mpaka sasa, wengine wanasema mnawatega wanaume ili waingie kingi, wengine wanasema ndiyo kuendana na wakati hivyo yaani ni taabu tupu dada zangu, kwanini msivivae hivi vijivazi mkiwa na mabwana zenu humo vyumbani kwenu muwaonyeshe neema mlizojaaliwa ili wawafurahie maana ndiyo wanaostahili kuyaona maumbile yenu?.

Badilikeni ili jamii iwarejeshee heshima yenu tafadhali!!!

Biashara ni matangazo
 
kama anamiguu mizuri ya kike , laini imewiva kwa mafuta , iliyobeba shepu nzuri ya kike.......... sina tatizo nao.

wananivutia sana...........

Kwahiyo umemaanisha ni haki kuyaonyesha?
 
Naomba kuuliza hapo unapodai vivazi "haviendani kabisa na utamaduni wetu wa kitanzania." Je, mavazi ya kitamaduni ya mtanzania ni yapi?

kama bado una bibi jaribu kuangalia nguo alizokuwa akizivaa miaka hiyo,.. Kama ni kabibi ka mjini basi hutapata jibu maana kashaingia tatizoni
 
Sio kama tunalipa......kuanzia hapo juu ni sista yetu Madame B, DEMBA ni pacha.Wote tunalipa ile mbaya!!!

Miili yetu ni mnato, inavutia.
Kwanini tusivae nguo fupi mdogo wangu!
Watuache tuvae miss strong...
Kama wanaona wivu, wamwambie Paw awapige Ban.
Watoto tumeumbika.
Mwili nyoronyoro.
 
Last edited by a moderator:
kama bado una bibi jaribu kuangalia nguo alizokuwa akizivaa miaka hiyo,.. Kama ni kabibi ka mjini basi hutapata jibu maana kashaingia tatizoni

Nauliza utamaduni wa mtanzania. Tusijekuwa sote twalaumiana kwa utamaduni wa kuiga. Tofauti ikawa nani kaiga nini na wapi. Tujue mavazi ya kitamaduni ya mtanzania.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom