Wadada na nguo fupi!!!

Wadada na nguo fupi!!!

Sina ukurutu acha nipumue na min skirt yangu......ukiona unakereka bas taga yai kama la mbuni ndo ntaacha!!!

sasa nimekuelewa, kumbe wenye ukurutu ndiyo wanaojistahi eeh,
 
Mtuwache tupumue jamani.
Dar kuna joto kali.
Mwili wangu hauna ukurutu, mguu wangu mtamu.
Kwanini nisivae nguo fupi.
 
Hakuna jipya mbona enzi za mabibi zetu walikuwa wanavaa hizo mini na mababu zetu walikuwa wanaona kawaida, hizo mila zenu vijana wa kileo mnazitoa wapi, tamaa zenu zinawasumbua mnasingizia eti mila na desturi. Usinitukane mimi sivaagi mini mchana mpaka usiku natoka out nilishajaribu kuvaa mchana nikasababisha ajali, ila wadada wanapendeza na fashion zao. Acheni tamaa hivi wanaume wapo afrika peke yake kwingine kuna wanawake peke yao?
 
hapana mkuu, tunaelimishana tu kistaarabu, mbona wengine wamebadilika bhana
Ninyi mnapovaa zile surali zenu za kuacha ncha za ma.ta.ko nje mbona hatuwasemi kwamba mnakera? Waelimishe wenzako kwanza mbadilike ndiyo upate mfadhaiko kwa kuangalia mapaja yetu.
 
Hakuna jipya mbona enzi za mabibi zetu walikuwa wanavaa hizo mini na mababu zetu walikuwa wanaona kawaida, hizo mila zenu vijana wa kileo mnazitoa wapi, tamaa zenu zinawasumbua mnasingizia eti mila na desturi. Usinitukane mimi sivaagi mini mchana mpaka usiku natoka out nilishajaribu kuvaa mchana nikasababisha ajali, ila wadada wanapendeza na fashion zao. Acheni tamaa hivi wanaume wapo afrika peke yake kwingine kuna wanawake peke yao?

umeona majanga hayo sasa miss wa kinyaru
 
Last edited by a moderator:
jamani eeeh msituchoshee. nyie wanaume wa miaka hii sijui mna nini mbona zamani wanawake walikuwa wanaficha papuchi tu kwa magome ya miti lakini wanaume walivumilia tu na hawakuwa na tatizo kabisa.

sema wewe DEMBA Nkisema mimi Munkari naambiwa nina munkari! Loh!
 
Last edited by a moderator:
Ninyi mnapovaa zile surali zenu za kuacha ncha za ma.ta.ko nje mbona hatuwasemi kwamba mnakera? Waelimishe wenzako kwanza mbadilike ndiyo upate mfadhaiko kwa kuangalia mapaja yetu.

hao wameshapoteza sifa za kuitwa wanaume,. Kwani nawe una kapaja pia,...
 
fahari ya macho hyo wewe...kama vp rudi kijijini... Wenzako tunaoshaaaa.
 
Hivi utamaduni w kitanzania ni upi? ni huu tulioletewa na wazungu wa kuvaa nguo? Hivi umeenda nchi nyingine za kiafrika kusini mwa jangwa la Sahara uone wanavyovaa.Wakivaa suruali tabu, wakivaa magauni tabu.
Tanzania ni nchi huru kila mtu ana haki kuvaa anachokipenda
 
Mfikiri nabonyeza "report post" huwez amsha akili yangu asubuh hivi.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom