miss strong
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 7,011
- 3,708
halafu wewe nikikutia machoni , nikakuta haupo hivyo nitakupiga fine walah tena.........
Kwann untie machon???nipo hivyo sasa kwan sarikoki hukumuelewa???
Last edited by a moderator:
halafu wewe nikikutia machoni , nikakuta haupo hivyo nitakupiga fine walah tena.........
Hebu tupia picha nikuone!vimini navipenda sana na vinanitoa balaa!!!! maajariwa lazima niyaonyeshe anakereka ashushie tindikali!!!!
Wacha hiyo maneno, zamani ilikuwa kuona makalio unayanatafutwa kweny chu...pi, siku hizi unatafuta ch.pi kwenye makalio, huwiiiiiiii! dada zetu acheni mambo hayo eti, mtakuwa mnaachika kila kukicha lol!Nina mashaka kama huwa unavaa chu.pi
anatumia finger print maana dushelele yake ni workless!!
Tunaangalia upande mwingine wa maadili na siyo kero tu
jimwageni tu mamaaaaaa , nyie ndiyo mapambo yenyewe ya macho humu mjini.................
Jamani hebu tuwekane sawa, utamaduni wetu ni upi? kama kuwaiga wenzetu naona hata hayo mavazi tumeiga.
kama mnalipa , endeleeni kuvaa jamani ............... wengine tunapenda ajabu mkivaa hivyo.
vimini ndo habari ya mjini mkuu asakuta same
Dah aise kitu kimesimama gafla