Wadada na nguo fupi!!!

Wadada na nguo fupi!!!

Usituzinguo, umeona picha za mabibi wa zamani wewe?umeena nguo wanazovaa?au unaongelea utamaduni wa mwarabu/kama ni utamaduni wa mwarabu takuelewa.
habari zenu wanammu,.

Leo niko na nyie dada zangu ninaowaheshimu na kuwapa heshima mnayostahili!!

Back to the topic,.

Ninakereka sana na vijivazi vyenu mnavyovivaa siku hizi kwa kuwa haviendani kabisa na utamaduni wetu wa kitanzania na unapoteza maadili kabisa katika jamii husika, siyo wakina dada wala akina mama, wote wamejisahau kabisa, unamkuta mdada/mama amekuvalia mini-skirt kiasi kwamba nusu kama siyo robo tatu ya maumbile yake anayaacha wazi,.

Sijui mnafanya makusudi ama vipi maana bado sijapata jibu mpaka sasa, wengine wanasema mnawatega wanaume ili waingie kingi, wengine wanasema ndiyo kuendana na wakati hivyo yaani ni taabu tupu dada zangu, kwanini msivivae hivi vijivazi mkiwa na mabwana zenu humo vyumbani kwenu muwaonyeshe neema mlizojaaliwa ili wawafurahie maana ndiyo wanaostahili kuyaona maumbile yenu?.

Badilikeni ili jamii iwarejeshee heshima yenu tafadhali!!!
 
Kuna utamaduni wa Kitanzania? hebu acha maua yapendeze....wenye miguu yao na wavae vimini nafsi zetu zipate faraja...wenye toothpick zao kuna yapo magauni na suruali kwa ajili yao....
 
2638436828_1798_too_short_mini_skirts_answer_2_xlarge.jpeg
 
Acha wavae hata vichupi mkuu..ila wewe mtafute wako anayevaa stara. Full stop.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom