Hatari kubwa ! Lakini Sidhani Kama Magufuli ana chuki na wachaga hawezi kuwakomoa hivyo.Sasa hivi zamu Yao kwenda ofisi nyingine ya serikali ambayo ni Sega rea
Hatari kubwa ! Lakini Sidhani Kama Magufuli ana chuki na wachaga hawezi kuwakomoa hivyo.Sasa hivi zamu Yao kwenda ofisi nyingine ya serikali ambayo ni Sega rea
kweli ni wachache,lakini zipo sekta na nafasi ambazo hazihitaji uwe mbunge ndo upewe hicho cheo,embu nikuulize,ni watu wangap wa kanda ya ziwa wapo wamechaguliwa?then tafuta rate ya illiteracy kati ya mkoa wa kilimanjaro na arusha ukompee na level ya iiliteracy kwa kanda ya ziwa ndo utapata jibu.watu hawateuliwi kwa kabila bali uwezo na kutumikia wananchi bila unafiki. Hivi uchagani wabunge wa ccm ni wangapi vile??
WACHAGA WANAJIONA SANA. WACHA WAISOME NAMBA. WAENDE WAKACHUKUE VYEO WALIVYOAHIDIWA NA FISADI
UKITAFUTA MAMBO SANA UTAONA KAMA WACHAGA WALISHAANZA KUOGOPWA HATA HAPO MAGOGON TANGIA SERIKALI ILIYOPITA.YANI UKIWA MCHAGA WW NI CHADEMA TU HATA KAMA UMEVAA SHAT YA KIJANHatari kubwa ! Lakini Sidhani Kama Magufuli ana chuki na wachaga hawezi kuwakomoa hivyo.
Unafikiri kwa kichwa au makalio…!!!wachaga wapo wengi sana in numbers,na wasomi wapo wengi pia,sitaki kuamini kama maguful hajaona hata msomi mmoja mchaga,mbona sehem nyingine kachukua watu mara mbili mbili?kama hawataki wachaga basi waseme.Tunafaham wanasiasa wapinzani wapo wengi kasikazini,lakini watu wa ccm pia wapo huko huko kaskazin,wapo wachaga ambao ni ccm pia-wawekwe hao,
JINA LAKO TU LINASADIFU KICHWA CHAKO KIPO VIPI.BY THE WAY TUFANYE KAZI,MIMI AWEKE MCHAGA,AWEKE MMASAI AU MKWERE,HAWANISAIDII KITU PERSONALLY-SO WHATEVER HE'S GOING TO ACT-LET HIM ACT,MBONA ALIKUWA YEYE NA PM MAMBO YAKAENDA NA HAKUNA ALIYELALAMIKA?TUFANYE KAZI .THATS ALLUnafikiri kwa kichwa au makalio…!!!
Shemeji @kiwatengu Happy new year ndugu
Nafikiri kuna watu wanatakiwa kujua kuwa Hakuna mtu wa Kaskazini anayeisoma namba ....asilimia kubwa wanaishi Maisha juu ya Kiwango cha umaskini ( poverty line ) .....ratio ya nyumba bora na za kudumu ni Kati ya bora kwa Afrika mashariki .......Kiwango cha elimu kwa Kaya Kiko juu .....na Uchumi wa familia kwa ujumla ...yote hayo wameyafanya kwa kujitegemea Kama Kulima ngano, Mahindi,miwa,Kahawa ,ufugaji ,na biashara ...SASA HIYO NAMBA WANAISOMAJE??
Nakuunga mkono mkuu...ila binafsi mimeshtushwa sana..jaribu pia kufanya simple research utaniambia
CRDB kama wewe sio mchaga kupata kazi nafasi ni finyu, TRA Mramba na Mgonja walishamaliza kazi wamejaa Kilimanjaro, Bandarini nk. Hawa watu kila wizi wa hii nchi huwakosi. Nasema hata awe Mchungaji, Shekhe au padre akiwa mchaga lazima awe na vinasaba vya wizi kwa asilimia zaidi ya hamsini na wabaguzi wakubwa.
wapumzike wengine waendeshe nchi tuone bhana..!
Sio tatizo tabia YAO ya wizi ndo shidaTumeshituka wachaga wote ni upinzani tena bila aibu hata muweserikalini hamjifichi sasa subirini wote mtatoka tumeanza waziri sasa makatibu tunakuja huko mlipo tunawatowa wote