Wewe mratibu sema huyo uliyeenda naye na sio wote! Hilo la huyo lisemee as si wewe uko naye (sijui cheo chako pale kazini kwake) ila naskia wachaga siku hizi nomaa zaidi ya wakinga! Sina ukakika mangi usinihukumu! Lol
Heeeeeeeehhhh...????
sawa.......
kumbe hadi mimi ni chasaka, hahaahaha
naomba kirefu cha hili neno
wewe mratibu sema huyo uliyeenda naye na sio wote! Hilo la huyo lisemee as si wewe uko naye (sijui cheo chako pale kazini kwake) ila naskia wachaga siku hizi nomaa zaidi ya wakinga! Sina ukakika mangi usinihukumu! Lol
dah huko kote nakupata mkuu, viwanja vya kula bata ndio usiseme hapo Marangu mtoni Hosea drive inn, kwa Clara, kwa mama Sia, kwa Mato.
kwa nini umempa ?
utakufa na chuki zako
mkuu i wish ungejua! Unataka ujue nini? Hawanibabaishi hao kaka/dada i can change cars as i wish ingawa sio mkwasi kihivyo ila hao wala hawanibabaishi! Wangapi tunawajazia mafuta kama sio kuwakopesha nauli! Nakwambia hivi waombe mungu wasipate ajali as utawasikia wanavyoweweseka!
Hahahahaha mkuu marangu patamuuu, Big up sana nimewakubali, kama vipi tutafutane kesho mkuu sio mbaya wana'jf tukijumuika marangu kwa mama sia kupata safari lager za baridiii
hao wakiona mambo ayaendi wako lazi kushika bunduki wala awaaminiki
bana wengine mnamajina ya kisharishari mi staki kujibizana na wewe. Ila si kweli kuwa siku hizi hamlali manzojenga huku kijijini mnalala hotelini?
nathubili kuwathikia "baba dhao na mama dhao wa thame "
umekuja na ....dume ama unajipongeza tu! Shauri yako!
Shemeji bana haya! Karibi shemeji mi niko makao makuu ya KilimanjaroKaka hawa watu huwa wana'hustle sana yani damu na jasho kutengeneza pesa mingi sasa ndo maana huwa hawaogopi chochote kwani wameshapita sehemu nyingi za hatari hadi kupata hayo mafwedha ndo maana kukutoa uhai kwao sio inshu