Wabunge wa CCM kuna wakati wanachekesha sana, Hamis Taletale atoa msaada wa taulo za kike kwa wanafunzi

Binadamu hawana jema kabisa...akifanya maneno, asipofanya maneno...ilimradi Lawama tu
 
hv unayajua maisha ya kijijini ndugu yangu? hiyo 1500 kila mwezi mzazi anaitoa wapi ya kumpa mtoto akanunue pedi? wasichana wa vijijini wanatumia vipande vya vitambaa tu, so kwa mtazamo wangu Tale amefanya jambo jema sana kwa hao mabinti hasa kwa kuwa ameahidi kitakuwa kitu endelevu kila baada ya miezi 6
Hivi umasikini utaisha lini Tanzania na kila mpiga kura ni masikini na kibatizwa myonge. Hi Tabia naisikitikia sana Tengeneza Tatizo tatua tatizo ili uinekane wa maana.
 
Kuna wakati huwa najiuliza kama hawa wabunge waliopita bila kupingwa wana tija yoyote kwa Chama na jamii kwa ujumla.

Mbunge wa Morogoro kusini mashariki mh Hamis Taletale aka Babu Tale ametoa msaada wa taulo za kike kwa wanafunzi wa shule moja ya msingi jimboni kwake.

Babu Tale amesema msaada huo utakuwa endelevu kila watakapozihitaji na kumpa taarifa kwa miezi 6.

Babu Tale amepiga picha ya Ukumbusho na wanafunzi hao wasichana.

Maendeleo hayana vyama!
Lazima ushangae hawa Wabunge wetu tuna kazi kubwa. Waige mfano kwa wabunge waliopita wa Chadema ambao walikuwa wanagawa nyumba, magari, matrekta na pesa za mitaji kwa wapiga kura wao.

Chadema OYEEEEEE.
 
Kuna wakati huwa najiuliza kama hawa wabunge waliopita bila kupingwa wana tija yoyote kwa Chama na jamii kwa ujumla.

Mbunge wa Morogoro kusini mashariki mh Hamis Taletale aka Babu Tale ametoa msaada wa taulo za kike kwa wanafunzi wa shule moja ya msingi jimboni kwake.

Babu Tale amesema msaada huo utakuwa endelevu kila watakapozihitaji na kumpa taarifa kwa miezi 6.

Babu Tale amepiga picha ya Ukumbusho na wanafunzi hao wasichana.

Maendeleo hayana vyama!
Babu Taletale ana IQ ya kisoda.
 
Back
Top Bottom