Hivi umasikini utaisha lini Tanzania na kila mpiga kura ni masikini na kibatizwa myonge. Hi Tabia naisikitikia sana Tengeneza Tatizo tatua tatizo ili uinekane wa maana.hv unayajua maisha ya kijijini ndugu yangu? hiyo 1500 kila mwezi mzazi anaitoa wapi ya kumpa mtoto akanunue pedi? wasichana wa vijijini wanatumia vipande vya vitambaa tu, so kwa mtazamo wangu Tale amefanya jambo jema sana kwa hao mabinti hasa kwa kuwa ameahidi kitakuwa kitu endelevu kila baada ya miezi 6
Hiyo ni sera ya Upendo Peneza wa Chadema!Nendeni mkajadiliane kwenye vikao vyenu vya NEC maana mlipata ushindi wa kishindo msitusumbue jukwaani hapa
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Lazima ushangae hawa Wabunge wetu tuna kazi kubwa. Waige mfano kwa wabunge waliopita wa Chadema ambao walikuwa wanagawa nyumba, magari, matrekta na pesa za mitaji kwa wapiga kura wao.Kuna wakati huwa najiuliza kama hawa wabunge waliopita bila kupingwa wana tija yoyote kwa Chama na jamii kwa ujumla.
Mbunge wa Morogoro kusini mashariki mh Hamis Taletale aka Babu Tale ametoa msaada wa taulo za kike kwa wanafunzi wa shule moja ya msingi jimboni kwake.
Babu Tale amesema msaada huo utakuwa endelevu kila watakapozihitaji na kumpa taarifa kwa miezi 6.
Babu Tale amepiga picha ya Ukumbusho na wanafunzi hao wasichana.
Maendeleo hayana vyama!
Kushangaza na Kuchekesha ni vitu tofauti bwashee!Lazima ushangae hawa Wabunge wetu tuna kazi kubwa. Waige mfano kwa wabunge waliopita wa Chadema ambao walikuwa wanagawa nyumba, magari, matrekta na pesa za mitaji kwa wapiga kura wao.
Chadema OYEEEEEE.
Ila tumetofautiana sana aisee....pedi si kama peremende tu!We kiboko huna tofauti na jiwe kabisa, mfumo dume full
Waulize hao..mtoto anachukua mchepuo wa sayansi hajui hata apparatus za lab..shenzWatoto wanahitaji pedi au vifaa vya shule?
Mmmmhhhhh...Waulize hao..mtoto anachukua mchepuo wa sayansi hajui hata apparatus za lab..shenz
NimechekaHizo Taulo mabeberu hawakufanya yao?angewanunulia vitenge vya KARIBU textile au batik za kwetu
Ingekuwa uzalendo
Babu Taletale ana IQ ya kisoda.Kuna wakati huwa najiuliza kama hawa wabunge waliopita bila kupingwa wana tija yoyote kwa Chama na jamii kwa ujumla.
Mbunge wa Morogoro kusini mashariki mh Hamis Taletale aka Babu Tale ametoa msaada wa taulo za kike kwa wanafunzi wa shule moja ya msingi jimboni kwake.
Babu Tale amesema msaada huo utakuwa endelevu kila watakapozihitaji na kumpa taarifa kwa miezi 6.
Babu Tale amepiga picha ya Ukumbusho na wanafunzi hao wasichana.
Maendeleo hayana vyama!
Na amejuaje kama hao watoto tayari washavunja sahani ili hali bado wako primary,au ni secondary?Watoto wanahitaji pedi au vifaa vya shule?
Bwashee nchi kama nchi,bado hatujafikia level ya uzungu,mwanaume amepata wapi mawazo ya kupeleka pedi shule ya primary kwa kuwa pedi imekuwa janga LA kitaifa?.Cha ajabu nini hapo labda
Ova
Bora huyo, kuna mmoja aligawa pipi kwa wagonjwa
Hii kali asee... Halafu kaachia cheko la kejeli na dharau... HatariiiiiiBora huyo, kuna mmoja aligawa pipi kwa wagonjwa