johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,965
- 141,968
Kuna wakati huwa najiuliza kama hawa wabunge waliopita bila kupingwa wana tija yoyote kwa Chama na jamii kwa ujumla.
Mbunge wa Morogoro kusini mashariki mh Hamis Taletale aka Babu Tale ametoa msaada wa taulo za kike kwa wanafunzi wa shule moja ya msingi jimboni kwake.
Babu Tale amesema msaada huo utakuwa endelevu kila watakapozihitaji na kumpa taarifa kwa miezi 6.
Babu Tale amepiga picha ya Ukumbusho na wanafunzi hao wasichana.
Maendeleo hayana vyama!
Mbunge wa Morogoro kusini mashariki mh Hamis Taletale aka Babu Tale ametoa msaada wa taulo za kike kwa wanafunzi wa shule moja ya msingi jimboni kwake.
Babu Tale amesema msaada huo utakuwa endelevu kila watakapozihitaji na kumpa taarifa kwa miezi 6.
Babu Tale amepiga picha ya Ukumbusho na wanafunzi hao wasichana.
Maendeleo hayana vyama!