AndrewMwanga
Member
- Jan 9, 2009
- 37
- 1
Nudgu yangu Ibrah,Binafsi naamini kuwa vyombo vya dola vipo kwa ajili ya kulinda umma na mali zake.sasa kwa ajili ili mradi tayari lipo mikononi mwa vyombo vya usalama kama alitabaiinisha mtendewa kwenye mahojiano na ITV,tusiwe waganga wa kienyeji kutabiri bali yeye binafsi mh.DR.slaa anaviamini vyombo vya dola vitafanya kazi yake kwa uadilifu na umakini mkubwa na taarifa sahihi ya kilichotokea wananchi tutapatiwa kupitia vyombo husika.
yalikuja mambo ya uchawi bunge yakakuzwa kweli kweli taarifa ya mkemia mkuu ikiwa unga wa mahindi eehheeeh!!!!!
Naamini serikali ya ccm inasimamia vyema utawala wa sheria hivyo tusubiri taratibu na hatua zinazochukuliwa na zitakazo chukuliwa na taasisi husika za serikali.
yalikuja mambo ya uchawi bunge yakakuzwa kweli kweli taarifa ya mkemia mkuu ikiwa unga wa mahindi eehheeeh!!!!!
Naamini serikali ya ccm inasimamia vyema utawala wa sheria hivyo tusubiri taratibu na hatua zinazochukuliwa na zitakazo chukuliwa na taasisi husika za serikali.