Wabunge Dr. Slaa na Dr. Tarab wafanyiwa umafia!

Hii haileti picha nzuri. Ni mafia mob hawa? Sasa credibility ya hawa watu naona iko chini sana, wanawatafuta raia wao wanaopigania haki?
 
hapa hamna mtu anayejua Dr Slaa ana data gani za mafisadi, Mamafia, za uovu wa government agencies and son on. Kwa sababu hii there is all possibility kwamba anawatu they want him dead or make sure he is going down in the toilet.

Tanzania kuna maovu ambayo if we only know majority of us would have heart attack! kama sio kupararazi kabisa. Mifano tunayo ya watu waliouliwa... Mmoja wapo ni Balali, Atakama watu hawataki kuamini, Dr Balali alipewa sumu na alipoondoka TZ how long ilitake before hajafa? not than 6 months! why because he was a threat to those mafisadi...

Watanzania open your eyes.. ata hapa tunaandika tunaweza tukawa next kaburini
 
wazo langu jamani

KWANZA MJUE WENYE HOTELI HII NI WAUAWAJI KWAHIYO MRUFUKU

KULALA KWENYE HII HOTEL HATA KAMA UMELIPIWA NA KAMPUNI YAKO

KWA MSLAHI YA UHAI WAKO,,HOTEL INAITWA

FIFTYSIX,,

TATIZO LINGINE HAPO NI KWAMBA HATA HIKO KIFAA INAWEZEKANA KABISA

KATUMA KIJANA WETU MASHA KUPITIA MAOFISA WAKE KWA HIYO NAONA HURRUMA HATA

HAO MAFIOSO WALIOKUJA KUCHUNGUZA HAKUNA KIPYA CHA ZIADA.....

NIWAMBIE KITU KIMOJA MUHIMU KILICHOFURAHISHA MAGAZETI YA LEO.....MH

DK SILAA ALIPIGIWA SIMU..HILI TU LINAONYESHA JINSI GANI ALIVYO MTU WA WATU

SIKU NYINGINE MKOME ,,KUFANYA UJINGA KAMA HUUU

LOH!!!!ccm----shame
 
Maswali ya kujiuliza;
1.Aliyepokea wine mbona hajahojiwa ililetwa na mtu wa aina gani?
2.Aliyekuwa zamu reception jana kwenye hotel ni nani na kwa nini hajahojiwa?
3.Mwenye hoteli hajaulizwa wala kutakiwa kutoa maelezo mpaka sasa wanataka kuja kutuambia nini?
4.Hali hii inaweza kuwakumba wangapi? nani yupo salama?

mkuu kieleweke wakaulizwe wapi??

na wakikuta wamepelekwa kwa mtu gafla anaewahoji ndie huyo alieleta vinyo na hivyo vifaa....atasemaje s atabai kucheka!!!!
 
TS-Market Launches Tiny New Digital Voice Recorder

B-22 Digital Voice RecorderDigital video and audio recording firm TS-Market has introduced its new B22 model, which represents both the smallest digital voice recorder in its range, and in the world.

Potential applications for the B-22 exist throughout the Security Sector - including interviewing and law enforcement requirements.

The B22 model is part of TS-Market's Edic-mini Tiny series of professional digital voice recorders. Among its unique features, besides its minute dimensions (0.024 x 1.0 x 1.24 inches) are a battery life of up to 60 hours, and an ultimate recording time of up to 300. It is both compact and, with a metallic casing, solid and durable.

The B22's operating capabilities include linear and loop recording modes, with a single or consecutive recording ability. Its data protection is assured with access and watermark protection

As for professional characteristics, this reliable digital device supports linear and loop recording modes and possesses a timer to start recording once or repeatedly, achieved through VAS (Voice Activation System) technology.

Ts-Market was created in October 2001 as an export-designated division of Telesystems Ltd, subsequently becoming independent. Its former parent company was established ten years earlier as a privately-owned scientific production group.
 
Andrew, Nani alikwambia vyombo vyetu vya dola vinafanya kazi kwa ajili ya wananchi na kwa manufaa ya nchi?

Vinaitwa vyombo vya Dola= Vinafanya kazi za Dola= Kazi kuu ya Dola ni kuhakikisha Watawala wanashika hatamu za Uongozi kwa gharama yoyote.

Vyombo vya dola vinawajibika kufanya kazi kwa ajili ya wananchi na kwa manufaa ya nchi kupitia utawala uliopo madarakani na hivyo ni jukumu lao kuhakisha na kuulinda utawala halali uliopo madarakani. Kama huo utawala hautakiwi ama una mapungufu hiyo ni kazi ya wanasiasa na wananchi kuubadilisha na kamwe sio vyombo vya dola...

Demokrasia ni gharama na kama tunataka kuwa na demokrasia yenye manufaa kwa nchi na wananchi wake na iliyo endelevu ni lazima tuwe tayari kujigharamia.....

Tanzanianjema
 
RCO wa Dodoma anasema eti mpaka sasa hajakamatwa mtu yeyote kuhusiana na tukio hilo ,Ila anasema kuwa wameweza kugundua kuwa vifaa hivyo havikuwa bomu ila wameshindwa kutambua ni vifaa gani na wanavipeleka makao makuu ya jeshi kwa ajili ya kwenda kufanya utambuzi wa vifaa hivyo.

Maswali ya kujiuliza;
1.Aliyepokea wine mbona hajahojiwa ililetwa na mtu wa aina gani?
2.Aliyekuwa zamu reception jana kwenye hotel ni nani na kwa nini hajahojiwa?
3.Mwenye hoteli hajaulizwa wala kutakiwa kutoa maelezo mpaka sasa wanataka kuja kutuambia nini?
4.Hali hii inaweza kuwakumba wangapi? nani yupo salama?

Kaka wape wazee pole zangu ila waambie ni bahati iliyoje kutokea kama ilivyotokea maana sasa watakuwa makini zaidi....

Tanzanianjema
 
Kwa mtu tena member wa JF kufikiria au kumshuku Dr. Slaa kwamba amejiwekea hivo vitu eti kutafuta umaarufu kunaonyesha kiwango cha kutisha cha utaahira - no offense intended - am just disgusted.

Kwamba tuna watu wanaoweza ku'think' so low of huyu mpambanaji na mheshimiwa ni hatari ilioje na ni aibu kwa JF- je kuna virusi vinatafuna akili zetu humu ndani ? - am really flabergasted.
 
Wana JF , kwa taarifa tuu ni kuwa juzi kuamkia jana kuna mtu alimpelekea chupa ya wine na kuipeleka hotelini na akajitambulisha kuwa ni ndugu yake ila hakutaka kutaja jina .

Dr.Slaa alipofika pale mapokezi akapewa huo mzigo wake na wahudumu wa hotel na alipojaribu kufikiria ni nani ambaye ni ndugu yake anayeweza kumletea wine bila hata kumjulisha akasita na akawaomba waendelee kumuhifadhia hapohapo mapokezi.

N a jana akapiogiwa simu na mtu ambaye hakutaka kujitambulisha na kumwambia kuwa chumbani mwake kumewekwa vitu , japo kuna wasiwasi kuwa ni vya aina gani kwani wengine tunaweza kufikiri ni vinasa sauti tuu kumbe ni radiations za kummaliza mzee wa watu.

Hili jambo ni kubwa kuliko tunavyoweza kulifikiria na kulichukulia .

RCO wa Dodoma anasema eti mpaka sasa hajakamatwa mtu yeyote kuhusiana na tukio hilo ,Ila anasema kuwa wameweza kugundua kuwa vifaa hivyo havikuwa bomu ila wameshindwa kutambua ni vifaa gani na wanavipeleka makao makuu ya jeshi kwa ajili ya kwenda kufanya utambuzi wa vifaa hivyo.

Maswali ya kujiuliza;
1.Aliyepokea wine mbona hajahojiwa ililetwa na mtu wa aina gani?
2.Aliyekuwa zamu reception jana kwenye hotel ni nani na kwa nini hajahojiwa?
3.Mwenye hoteli hajaulizwa wala kutakiwa kutoa maelezo mpaka sasa wanataka kuja kutuambia nini?
4.Hali hii inaweza kuwakumba wangapi? nani yupo salama?

Nyie mnazunguka tu.. hivyo vifaa viliwekwa hapo ili kuua mbu! Na havikuwekwa na mtu yeyote wa dunia hii bali kikundi cha watu kutoka Sayari ya Zuhura!

TS-Market Launches Tiny New Digital Voice Recorder

B-22 Digital Voice RecorderDigital video and audio recording firm TS-Market has introduced its new B22 model, which represents both the smallest digital voice recorder in its range, and in the world.

Potential applications for the B-22 exist throughout the Security Sector - including interviewing and law enforcement requirements.

The B22 model is part of TS-Market's Edic-mini Tiny series of professional digital voice recorders. Among its unique features, besides its minute dimensions (0.024 x 1.0 x 1.24 inches) are a battery life of up to 60 hours, and an ultimate recording time of up to 300. It is both compact and, with a metallic casing, solid and durable.

The B22's operating capabilities include linear and loop recording modes, with a single or consecutive recording ability. Its data protection is assured with access and watermark protection

As for professional characteristics, this reliable digital device supports linear and loop recording modes and possesses a timer to start recording once or repeatedly, achieved through VAS (Voice Activation System) technology.

Ts-Market was created in October 2001 as an export-designated division of Telesystems Ltd, subsequently becoming independent. Its former parent company was established ten years earlier as a privately-owned scientific production group.

Hiki ndicho kifaa kilichotumika:

Miniature digital voice recorders Edic-mini, Micro Audio and Video recorder mAVR

Kifaa mpaka kina label kuuubwa, ukikiangalia tu unajua ni nini... Pengine haukutumika utaalamu wa kiasi hicho ... :)

A few facts:
-Kifaa haki transmit, kina rekodi halafu baadaye wanakichukua na kukitapishia kwenye computer.

-Sidhani kama walinunua kile cha bei ghali kabisa kinacherekodi mpaka 300hr. Lakini hata tukichukulia hivo, kingejaa ndani ya wiki mbili. Kwa hiyo hawajamaa ingebidi waje kukichukua.

Labda Dr. angewashtua wenzake, wamvizie mshakaji akija kukichukua. Better still, wangeuchuna kama hakuna kilichotokea, wangeweka na wao cha kwao (camera ya kawaida tu kwenye kona ingetosha pengine), msela akifuta kifaa chake ... ndio kama vile :)
 
wakuu si vyema kumuhusisha mtu,taasisi au cham chochote cha siasa wakati sula lipo mikoni mwa vyombo vya usalama kwa uchunguzi makini.

Tusubiri tuone matokeo ya uchunguzi then utaratibu ambao nchi imejiwekea kushughulikia uhalifu kama huo utafuata.

Naamini jeshi la polisi na idara ya usalama wa taifa watalishghulikia hili kwa umakini mkubwa sana kwani lina public interest.

navihasa vyombo vya habari kutoa yale yanayotokea na hali halisi ya tukio hilo na si kukuza au kufuata ushabiki either wa kibiashara au kisiasa, wawe more than professional kwenye hili na mengineyo yanayogusa uhai wa mtu na maslahi ya taifa na wananchi wake kwa ujumla.
 
Vyombo vya dola vinawajibika kufanya kazi kwa ajili ya wananchi na kwa manufaa ya nchi kupitia utawala uliopo madarakani na hivyo ni jukumu lao kuhakisha na kuulinda utawala halali uliopo madarakani. Kama huo utawala hautakiwi ama una mapungufu hiyo ni kazi ya wanasiasa na wananchi kuubadilisha na kamwe sio vyombo vya dola...

Demokrasia ni gharama na kama tunataka kuwa na demokrasia yenye manufaa kwa nchi na wananchi wake na iliyo endelevu ni lazima tuwe tayari kujigharamia.....

Tanzanianjema

Mkuu kama unasoma nadharia za Uingereza au Marekani basi huku Tanzania hazifanyi kazi. Vyombo vya usalama hapa Tanzania havifanyi kazi na kuwajibika kwa wananchi. Kuna mifano 200 unayoweza kupewa kuthibitisha hilo, hebu niambie nani leo analindwa zaidi na polisi kati ya Chenge na Albino, au angalia treatment waliyopata mafisadi Keko ukilinganisha na wananchi wengine. Angalia vibaka wanawaibia kina nani na kina nani hawawezi kusogelewa na vibaka. Ukisoma kwenye vitabu au katiba unaweza kudhani hivyo lakini ukiangalia hali halisi utajua ukweli ni upi.
 
Labda Dr. angewashtua wenzake, wamvizie mshakaji akija kukichukua. Better still, wangeuchuna kama hakuna kilichotokea, wangeweka na wao cha kwao (camera ya kawaida tu kwenye kona ingetosha pengine), msela akifuta kifaa chake ... ndio

mheshimiwa wewe ni jinias weli ila tatizo lililopo kile chombo tungekiacha anaekuja kuchukua mfanyakazi wa hotelini hatokuja masha kama masha kwa hiyo bado kusingekuwa na msaada zaidi,,
 
wakuu si vyema kumuhusisha mtu,taasisi au cham chochote cha siasa wakati sula lipo mikoni mwa vyombo vya usalama kwa uchunguzi makini.
Tusubiri tuone matokeo ya uchunguzi then utaratibu ambao nchi imejiwekea kushughulikia uhalifu kama huo utafuata.
Naamini jeshi la polisi na idara ya usalama wa taifa watalishghulikia hili kwa umakini mkubwa sana kwani lina public interest.
navihasa vyombo vya habari kutoa yale yanayotokea na hali halisi ya tukio hilo na si kukuza au kufuata ushabiki either wa kibiashara au kisiasa, wawe more than professional kwenye hili na mengineyo yanayogusa uhai wa mtu na maslahi ya taifa na wananchi wake kwa ujumla.
Mkuu,nimekusoma mara kadhaa ukikazania kuwa tungoje uchunguzi ufanyike.Kwani aliyekataa suala la uchunguzi ni nani?Naona unataka kuwaamulia watu ni nini waseme na ni lini waseme!!
 
Mkuu Manitoba,nimeipata pointi yako.Lakini what if wangeweka kamera yao then huyo anayekuja kuichukua akawa 'masked'?Im just thinking loud!
 
Mkuu kama unasoma nadharia za Uingereza au Marekani basi huku Tanzania hazifanyi kazi. Vyombo vya usalama hapa Tanzania havifanyi kazi na kuwajibika kwa wananchi. Kuna mifano 200 unayoweza kupewa kuthibitisha hilo, hebu niambie nani leo analindwa zaidi na polisi kati ya Chenge na Albino, au angalia treatment waliyopata mafisadi Keko ukilinganisha na wananchi wengine. Angalia vibaka wanawaibia kina nani na kina nani hawawezi kusogelewa na vibaka. Ukisoma kwenye vitabu au katiba unaweza kudhani hivyo lakini ukiangalia hali halisi utajua ukweli ni upi.

Kaka nimezaliwa, nimekulia, nimelimika na hadi sasa ninaishi na kuwajibika nikiwa Tanzania.....

Hayo ni mapungufu ya mfumo na waliokatika mfumo lakini katu hayabadili nia na wajibu rasmi wa asasi za dola. Tubadili kwenye mapungufu lakini katu tusijaribu kubadili misingi rasmi ya asasi hizo.....
 
- Vijana tumeharibu period, hiyo dhana ya vijana ni mufilisi sasa hivi mkuu wangu, wazee wameshika maisha yetu yote, hii ilikuwa ni mara ya kwanza kujaribishwa kuaniza rais mpaka chini, sisi vijana hatuna solution ya hili taifa na matatizo yake, sasa ni kuwaachia kina Mkuchika.

Mkuu kwa hili naungana na wewe kwa asilimia zote. Nikihesabu idadi ya tunaowaita wabunge wetu vijana, nikiwa na maana wale wa CCM, naona wengi ni kama wasindikizaji bungeni. Nilikuwa na matumaini makubwa sana na wabunge wetu vijana, na mawaziri vijana au na serikali ya vijana. Lakini hii miaka mitano naona inanifanya nikubali kuwa ngoma ya watoto haikeshi. Inflation juu, corruption juu na kuwalinda mafisadi juu, uchumi unaporomoka unashindwa hata kuona mwelekeo wa serikali ni upi. Hatuwezi kuona serikali ya awamu hii inalenga ku-achieve nini, sana sana naona inajitahidi kuendelea kuwepo na madarakani na muungwana ni kama yuko kwenye battle ya peke yake, alikuja na ahadi nyingi sana badala ya kuanza kuzitekeleza ahadi zake kazi kubwa ni kupambana na wanaomyumbisha, kazi sana.
 
Kaka nimezaliwa, nimekulia, nimelimika na hadi sasa ninaishi na kuwajibika nikiwa Tanzania.....

Hayo ni mapungufu ya mfumo na waliokatika mfumo lakini katu hayabadili nia na wajibu rasmi wa asasi za dola. Tubadili kwenye mapungufu lakini katu tusijaribu kubadili misingi rasmi ya asasi hizo.....

Nakubaliana na wewe mkuu wangu. Lakini ukiangalia hali halisi utaona kuwa kuwatumikia wananchi inakuwa ndio kama upungufu wa serikali yetu, na kuwatumikia mafisadi ndio kama msingi hilo ndio tatizo kubwa tulilonalo. Misingi yote tunaifahamu, lakini je tunaifuata au au timeipindua. Ndio maana tunakosa imani na serikali.
 
Duh!!! Pamoja na ufisadi sasa CCM imeamua kujiongezea sifa nyingine ya umafioso!!!! Inaelekea wanamuogopa sana Dr. Slaa kwa sababu anawaendesha puta kila kukicha sasa wamempania kumrekodi maongezi yake ili wammalize kisiasa!!!

Inabidi awe 007 kila anaposafiri awe na vifaa vinavyorekodi movements zote zinazofanywa chumbani kwake ili kuwanasa wahusika na hatimaye kuwapandisha kizimbani. Si ajabu CCM wameuanza mchezo huu kwa Dr siku nyingi tu na labda kuna wengine pia wanaofanyiwa uchafu huu.
Pamoja na kwamba siipendi SISIM comment hiyo si halali.Dodoma ni ya vitukao.Mara uchawi mara hiki.unajuaje kama vifaa hivyo alijiwekea yeye ili kupata sympathy.After all jinsi vilivyonekana kwenye TV they don't look as a professional bug.The so called bug ni kubwa kama packet ya sigara.kuna mawili aidha yeye kaweka kupata umaarufu au amature spy ambao nadhani wale anaouwaumbua katika kashafa mbalimbali.sijui wataalam wa mambo haya wanasemaje
 
Hii ndiyo taabu ya kujaza watoto wa wajomba 'kazini',hawana nidhamu ya kazi kila kukicha siri za serikali zinavuja/kutapakaa mitaani kama njugu!!the Unit is in shumbles i Sometimes wonder which country dares to share the intelligence with Tanzania!
 
Nchi hii imefikia mahali pa 'siku ya kufa nyani miti yote huteleza' Naona mafisadi huko waliko kila kukicha wanalia tu maana kila jaribio linaishia kushindwa kimiujiza tu!

Binafsi, maadam siviamini vyombo ya usalama naamua kuconlude kuwa hizi zilikuwa ni njama za mafisadi lakini kwa nguvu za mola wameshindwa.

Mpambanaji Slaa, usikate tamaa mungu yupo kwa ajili yako na kwa ajili ya Tanzania. Hawa wezi siku zao zinaisha! Wako uchi lakini hawataki kuchuchumaa!
 
Back
Top Bottom