Wabongo waishio majuu kwa sifa!!?

Wabongo waishio majuu kwa sifa!!?

Mjadala ni vizuri kuongea ukiwa na data. Watu wa namna hiyo ni masista du na mabrazamen toka wakiwa bongo ni kuchanganya.

Vilevile msisahau kuna watu mazoea yanawapoteza kwa kasi. Mimi si mchanganya lugha lakini nimekaa likizo bongo miezi mitatu ( july mpaka oct) nimerudi ughaibuni kuna mda mtu nampigia kiswahili nashtuka badae kwamba sipo bongo.
 
sio nchi zote za ulaya wanaongea kiingereza
kwa mtu alieko german finland,belgium,Scandinavian countries nk sio kiingereza isipokuwa scotland, GB,Australia na US
sasa unapogeneralize sikuelewi.
Mimi niko huku madongo kuinama nkija bongo kiswahili na kimeru,kipare na kichaga kwa sana
 
Mjadala ni vizuri kuongea ukiwa na data. Watu wa namna hiyo ni masista du na mabrazamen toka wakiwa bongo ni kuchanganya.

Vilevile msisahau kuna watu mazoea yanawapoteza kwa kasi. Mimi si mchanganya lugha lakini nimekaa likizo bongo miezi mitatu ( july mpaka oct) nimerudi ughaibuni kuna mda mtu nampigia kiswahili nashtuka badae kwamba sipo bongo.

Kuna vitu vingi mtoa mada anaonekana hajavijua. And so, some of the below is addressed to mtoa mada.

As much as kuna watu wanaweza kuwa wanapenda sifa na ubishoo etc, kuna wengine wanapenda kujifunza lugha tu, na kuna watu wengine wanakuwa si tu wanaongea lugha za watu kwa sana baada ya kukaa mtoni, bali hata kabla, na baada ya kwenda kwa kuwa wanasikia accent fulani muda mwingi, hata kiingereza chao kinabadilika na kuchukua accent wanayoisikia sana, bila hata wao kupanga, kama "involuntary action".

Kuna wakati ndigu yetu mmoja aliyeenda UK alipiga simu bongo baada ya kukaa UK kwa miaka kadhaa, ilibidi tuanze kucheka kabla ya kumjibu kwa sababu alikuwa si tu anaongea Kiingereza, bali pia alikuwa anaongea a very pronounced Cockney accent.

Sasa kwa vile yeye hakuwa wa kwanza kusafiri katika familia, tukajua kajichanganya sana East London na ka pick up that accent involuntary, hasa kwa sababu kwetu kujua Kisukuma ni ujiko kuliko kujua Kiingereza.

Mimi mwenyewe nisharudi bongo halafu katika kuongea nikajistukia kwamba naongea Kiingereza kilicho heavily slanted towards an American accent.It's not something I planned to do on purpose, it is simply that I have been so exposed and bombarded with the American accents, from the most pronounced New England accent from co-workers on a conference call to evening news with the almost accentless Brian Williams or the equally toned brawl of a Bob Woodward on BookTV.

Sasas utataka nikija bongo ni onsess over every word nitasemaje na kama nitasema kwa Kiingereza au Kiswahili na kwa accent gani?

Na hata kama nataka "sifa" (I don't see how kujua Kiingereza, lugha yenye alphabet ya herufi 26 ni sifa, wakati katika familia yangu kuna watu wanaongea Kichina, lugha yenye mamia au maelfu ya characters katika alphabet yake na complications za Mandarin vs Cantonese ambazo huwezi kuzijua kama unajua Kiingereza tu, hata vipi).

Habari nzima ya kuangalia Kiingereza kama lugha fulani ya maana sana ni ushamba tu. Kiingereza hakikifikii hata Kiswahili kwa logic. Anybody familiar with the executive summary of the works of George Bernard Shaw ought to know that.

Sasa kwa nini wengine wanajisikia wadogo kwa sababu mtu anaongea lugha hii dhaifu ya Kiingereza?

Hapa - against my enthusiasm towards a non-divisive dialogue- naona kuna watu wana inferiority complex na watu wanaoishi/ walioishi nje tu.Unnecessarily.

Hususan kwa sababu hata kutafuta sifa ni haki ya kikatiba under freedom of expression, and shouldn't be an issue in the first place, unless there is tangible harm done.

Mbona Kikwete anatafuta sifa karibu kila siku, with tangible harm, na hashikiwi bango kama ma kapuku hawa ambao wengine hawana distinction yoyote zaidi ya kukaa mtoni tu?

Wakitafuta sifa wewe tatizo lako nini? Unataka kushindana nao kutafuta sifa?
 
Lakini, hilo la kutotaka kuongea Kiswahili au la kuchanganya Kiingereza na Kiswahili, kama ni tatizo, basi si tatizo la Wabongo waishio majuu tu.

Kuna wabongo wengi tu ambao hata majuu hawajawahi kufika lakini kila mara hawaishi kuchanganya lugha, hususan wale wasomi wasomi au wale wanaojiona wamesoma soma au wale wanaojiona wako matawi flani kimaisha au wale wanaoiona hiyo lugha ya Kiingereza kuwa ni lugha yenye hadhi ya juu kuliko Kiswahili.

Nani anabisha hilo?

Ili kuthibitisha hii hoja yangu hapo juu na ili kuthibitisha kuwa hoja ya mwanzisha mada haina mashiko na ili kuonyesha kwamba mtoa mada kakurupuka tu na kuhitimisha jambo bila kufanya utafiti hata wa juu juu, achilia mbali wa kina, nawaletea hii video ya kipindi cha "Take One" (angalia hilo jina) kutoka Clouds TV kinachoendeshwa na Zamaradi Mketema.

Katika video hii mgeni ni yule mcheza sinema za Kibongo, Lulu. Haya mahojiano yalifanywa baada ya yeye kutoka jela huko Segerea kuhusiana na kifo cha mwigizaji S. Kanumba.

Kwa jinsi nijuavyo, hawa wadada wawili wanaishi bongo. Na kwa kweli sidhani kama wamewahi hata kuishi Uingereza, Marekani, Kanada, au Australia. Pia sidhani kama wamewahi kufika kwenye hizo nchi.

Sina hakika sana kuhusiana na hilo la kuwahi kuzitembelea hizo nchi kwa hiyo kama kuna anayejua vinginevyo basi nipo radhi kusahihishwa.

Hii video nimeiangalia kuanzia mwanzo hadi dakika ya 5 na sekunde 13. Ndani ya huo muda, hao wadada, wote wawili wamechanganya sana Kiswahili na Kiingereza hadi nikashindwa kuelewa tatizo lao (kama kuna tatizo) lao ni nini? Maana wote wanaishi Tanzania, hawaishi majuu kama watu ambao wametajwa na mtoa mada. Sasa kwa nini na wao katika mazungumzo yao 'yes - no' ziwe nyingi hivyo?

Ni kwamba hawakijui vizuri Kiswahili? Hawakijui vizuri Kiingereza? Ni washamba? Wanapenda sifa? Au ni nini hasa? Maana wao hawaishi majuu. Wanaishi bongo. Mashauzi yote hayo ya nini sasa? Si tumeambiwa hayo ni mambo ya wabongo waishio majuu. Hawa nao je?

Ndani ya huo muda wa dakika 5 na sekunde 13, haya hapa chini ndo baadhi ya maneno ya Kiingereza waliyoyatumia katika kuchanganya kwao na Kiswahili:

actually, spirit, all in all, well, he takes you in the right way, this is not kwamba ni deep, and all that, ku-manage, it was just easy, it's like, just makubaliano, there was no need, attachment, before, plan, personal, at the same time nataka kuwa icon wa nchi yangu, somewhere,

Na video yenyewe hii hapa, iangalie mwenyewe:



Hii video inathibitisha hoja yangu kwamba si wabongo waishio majuu tu ndo wenye kufanya hivyo. Hata wabongo waishio bongo, wapo pia wafanyao hivyo.
 
Last edited by a moderator:
Kuna mdau mmoja alirudi from UK.
Yeye alivuka mipaka pale aliposema kuwa amesahau Kiswahili.
Nikamuuliza mbona wazungu wakija bongo hawasahau Kiingereza?
Na je ukiota ndoto unaota kwa kiingereza?
Akachukia sana.
 
Kuna vitu vingi mtoa mada anaonekana hajavijua. And so, some of the below is addressed to mtoa mada.

As much as kuna watu wanaweza kuwa wanapenda sifa na ubishoo etc, kuna wengine wanapenda kujifunza lugha tu, na kuna watu wengine wanakuwa si tu wanaongea lugha za watu kwa sana baada ya kukaa mtoni, bali hata kabla, na baada ya kwenda kwa kuwa wanasikia accent fulani muda mwingi, hata kiingereza chao kinabadilika na kuchukua accent wanayoisikia sana, bila hata wao kupanga, kama "involuntary action".

Kuna wakati ndigu yetu mmoja aliyeenda UK alipiga simu bongo baada ya kukaa UK kwa miaka kadhaa, ilibidi tuanze kucheka kabla ya kumjibu kwa sababu alikuwa si tu anaongea Kiingereza, bali pia alikuwa anaongea a very pronounced Cockney accent.

Sasa kwa vile yeye hakuwa wa kwanza kusafiri katika familia, tukajua kajichanganya sana East London na ka pick up that accent involuntary, hasa kwa sababu kwetu kujua Kisukuma ni ujiko kuliko kujua Kiingereza.

Mimi mwenyewe nisharudi bongo halafu katika kuongea nikajistukia kwamba naongea Kiingereza kilicho heavily slanted towards an American accent.It's not something I planned to do on purpose, it is simply that I have been so exposed and bombarded with the American accents, from the most pronounced New England accent from co-workers on a conference call to evening news with the almost accentless Brian Williams or the equally toned brawl of a Bob Woodward on BookTV.

Sasas utataka nikija bongo ni onsess over every word nitasemaje na kama nitasema kwa Kiingereza au Kiswahili na kwa accent gani?

Na hata kama nataka "sifa" (I don't see how kujua Kiingereza, lugha yenye alphabet ya herufi 26 ni sifa, wakati katika familia yangu kuna watu wanaongea Kichina, lugha yenye mamia au maelfu ya characters katika alphabet yake na complications za Mandarin vs Cantonese ambazo huwezi kuzijua kama unajua Kiingereza tu, hata vipi).

Habari nzima ya kuangalia Kiingereza kama lugha fulani ya maana sana ni ushamba tu. Kiingereza hakikifikii hata Kiswahili kwa logic. Anybody familiar with the executive summary of the works of George Bernard Shaw ought to know that.

Sasa kwa nini wengine wanajisikia wadogo kwa sababu mtu anaongea lugha hii dhaifu ya Kiingereza?

Hapa - against my enthusiasm towards a non-divisive dialogue- naona kuna watu wana inferiority complex na watu wanaoishi/ walioishi nje tu.Unnecessarily.

Hususan kwa sababu hata kutafuta sifa ni haki ya kikatiba under freedom of expression, and shouldn't be an issue in the first place, unless there is tangible harm done.

Mbona Kikwete anatafuta sifa karibu kila siku, with tangible harm, na hashikiwi bango kama ma kapuku hawa ambao wengine hawana distinction yoyote zaidi ya kukaa mtoni tu?

Wakitafuta sifa wewe tatizo lako nini? Unataka kushindana nao kutafuta sifa?
Ahsante Kiranga,nimekusoma...ila sitaki kushindananao wala kutafuta sifa
 
Jamaa_Mbishi mi mwenyewe swahili yangu mbofu mbofu siishi kukosolewa hapa..Ukiishi muda mrefu nje ya nchi haswa kama ukienda utotoni unasahau au kuchanganya baadhi ya maneno!!!au mfano naweza nijieleze lakini nafikia sehemu naganda sipati njia ya kujieleza kwa kiswahili kwa ufasaha au nakosa maneno ya kuyatumia kujieleza inabidi nitumie kiingereza!!


Don't dare to fool a wise man. Kuhusu wewe kutojuwa kuandika kiswahili for whatever reason is a choice for hata watanzania waliozaliwa hapa na hawajawahi kutoka nje ya nchi hawajuwi kuandika kiswahili, hiyo siyo suluhisho/sababu. Sisi (familia yetu) tumekulia nje ya nchi na ndugu zangu wengine wamezaliwa nje ya nchi na wanaishi huko huko majuu ila utashangaa wanaongea kiswahili hakuna mfano. Mind you...sisi wakati tunakuwa hatukuwa na marafiki watanzania because at that time (late 70's - late 80's) watanzania walikuwa hawasafiri kama sasa. Baada ya miaka kama 12 hivi niliporudi Bongo watu hawakuamini kama mimi na kaka zangu tunaweza kuongea kiswahili, walishangaa sana. Niliporudi tena majuu kwa kaka zangu nikakaa huko for kama miaka 4 hivi bila kuwa na marafiki wa kitanzania bali wale marafiki zangu wa utotoni ila nikirudi nyumbani kwa kaka zangu tunaongea kiswahili kama kawaida kwani wazazi walikazania sana tusisahau lugha haswa ukizingatia huko nyumbani vijijini watu wengi hawazungumzi kiingereza na kijerumani. Kingine, watanzania wengi hawajiamini wakiwa nje na utakuta wengi wao wanapenda kurundikana pamoja na kupigana majungu yasiyo na sababu mpaka wengine wanato.mbeana na kuchomana visu because they have nothing to do. Wengi shule hawaendi wapo wapo tu na hata lugha inawapiga chenga ila utashangaa wakija Bongo wanajifanya hawajuwi kiswahili. Ukitaka kujuwa ukweli wasikilize their conjugations and speech, yaani utacheka ila wao hawajijuwi kuwa wanachapia. Kiswahili ni lugha ya kujivunia sana ila basi tu ujinga unawasumbua watu.
 
Don't dare to fool a wise man. Sisi (familia yetu) tumekulia nje ya nchi na ndugu zangu wengine wamezaliwa nje ya nchi na wanaishi huko huko majuu ila utashangaa wanaongea kiswahili hakuna mfano. Mind you...sisi wakati tunakuwa hatukuwa na marafiki watanzania because at that time (late 70's - late 80's) watanzania walikuwa hawasafiri kama sasa. Baada ya miaka kama 12 hivi niliporudi Bongo watu hawakuamini kama mimi na kaka zangu tunaweza kuongea kiswahili, walishangaa sana. Niliporudi tena majuu kwa kaka zangu nikakaa huko for kama miaka 4 hivi bila kuwa na marafiki wa kitanzania bali wale marafiki zangu wa utotoni ila nikirudi nyumbani kwa kaka zangu tunaongea kiswahili kama kawaida kwani wazazi walikazania sana tusisahau lugha haswa ukizingatia huko nyumbani vijijini watu wengi hawazungumzi kiingereza na kijerumani. Kingine, watanzania wengi hawajiamini wakiwa nje na utakuta wengi wao wanapenda kurundikana pamoja na kupigana majungu yasiyo na sababu mpaka wengine wanato.mbeana na kuchomana visu because they have nothing to do. Wengi shule hawaendi wapo wapo tu na hata lugha inawapiga chenga ila utashangaa wakija Bongo wanajifanya hawajuwi kiswahili. Ukitaka kujuwa ukweli wasikilize their conjugations and speech, yaani utacheka ila wao hawajijuwi kuwa wanachapia. Kiswahili ni lugha ya kujivunia sana ila basi tu ujinga unawasumbua watu.
nadhani hatujaelewana...sijasema kutokuweza kuongea!
 
Ingawa unachosema ni kweli, mimi nasema si wabeba maboksi wote ambao wako hivyo.

Na nisiende mbali. Mimi hapa prezdaa wa wabeba maboksi nikijaga vekesheni bongo huwa sipendi kabisa hata kuongea hicho Kiswahili. Kizungu ndo huwa nakitupa kule.

Kisukuma ndo huwa nakitumia sana na zaidi. Najua mwaweza msiniamini lakini ukweli ndo huo. Ni Kisukuma mwanzo mwisho tena kile cha Ntuzu kabisa.

Lekagi gete ugunigushela unene Nzagamba Ng'wanagingili u Ikungulyabashashi.

"Presidaa wa wabeba box" kie kie kie
 
SIFA? wewe unatatizo lako. Jua mtu ukiishi miaka mingi nchi za nje unasaau lugha yako kwa kiasi fulani.
Hivo ukiongea kiswahili lazma uchanganye na lugha ingine, lugha ya ile nchi unayoishi.

Hata maneno ya kijapani au kirusi unaweza kuingiza ktk kiswahili, sio kingereza tu. Kwa mfano mimi najua kijerumani, kidenish, kingereza na kiswahili, nikiwa dar naweza kusikia waswahili akichanganya kishwahii na kijerumani, au kidenish, mimi nawaelewa wanachomaanisha ila waswahili wanakua hawaelewi. Na wale wanajisau kama wapo bongo hivo wanasau kuongea kiswahili sahihi.

Na sio wa majuu tu, mfano
wapare wanachanganya kipare na kiswahili, wamakonde wanaongea kimakonde na kiswahili, na hawa wanapenda sifa pia eti kuonesha wanatoka msumbiji? Au wamasai wanaongea kimasai wakichanganya na kiswahili na hawapia wanapenda sifa au kuonesha wanatoka kenya.

Kuna wengine wanafanya makusudi na kuna wengine wanakua washa zoea kuongea hivo.

Nakubaliana na wewe, kwani imetokea pia kuwa nchi za watu unapiga lugha yao mara unashtuka umechanganya neno la kiswahili wanashangaa. Kuzoea mpaka ukae na jamii kwa muda mrefu kiasi.

Wapo wanaofanya makusudi hila kama wamelowea huko majuu ni ngumu kuongea bila kuchanganya.
 
Basi ukibahatika kukutananae huyo jamaa (binafsi sijawahi) huko marekani akiwa na wabongo wenzake wanaongea full kiswahili


Nina marafiki zangu wanamfahamu sana na wengine wanamponda kwa kujifanya anajuwa sana vitu wakati hata basketball yenyewe inamshinda kwani jamaa kutokana na kuwa na sifa sana College hachezi mechi full time, yaani ni mtu wa benchi tu popote aendapo. Wakati wa majira ya joto wenzake wasioweza kucheza wanafanya mazoezi yeye yuko Bongo kuuza sura na kupigana discko na wasanii wa bongo fleva.
 
nadhani hatujaelewana...sijasema kutokuweza kuongea!


Kuhusu wewe kutojuwa kuandika kiswahili for whatever reason is a choice for hata watanzania waliozaliwa hapa na hawajawahi kutoka nje ya nchi hawajuwi kuandika kiswahili, hiyo siyo suluhisho/sababu. Sisi (familia yetu) tumekulia nje ya nchi na ndugu zangu wengine wamezaliwa nje ya nchi na wanaishi huko huko majuu ila utashangaa wanaongea kiswahili hakuna mfano.
 
Don't dare to fool a wise man. Kuhusu wewe kutojuwa kuandika kiswahili for whatever reason is a choice for hata watanzania waliozaliwa hapa na hawajawahi kutoka nje ya nchi hawajuwi kuandika kiswahili, hiyo siyo suluhisho/sababu. Sisi (familia yetu) tumekulia nje ya nchi na ndugu zangu wengine wamezaliwa nje ya nchi na wanaishi huko huko majuu ila utashangaa wanaongea kiswahili hakuna mfano. Mind you...sisi wakati tunakuwa hatukuwa na marafiki watanzania because at that time (late 70's - late 80's) watanzania walikuwa hawasafiri kama sasa. Baada ya miaka kama 12 hivi niliporudi Bongo watu hawakuamini kama mimi na kaka zangu tunaweza kuongea kiswahili, walishangaa sana. Niliporudi tena majuu kwa kaka zangu nikakaa huko for kama miaka 4 hivi bila kuwa na marafiki wa kitanzania bali wale marafiki zangu wa utotoni ila nikirudi nyumbani kwa kaka zangu tunaongea kiswahili kama kawaida kwani wazazi walikazania sana tusisahau lugha haswa ukizingatia huko nyumbani vijijini watu wengi hawazungumzi kiingereza na kijerumani. Kingine, watanzania wengi hawajiamini wakiwa nje na utakuta wengi wao wanapenda kurundikana pamoja na kupigana majungu yasiyo na sababu mpaka wengine wanato.mbeana na kuchomana visu because they have nothing to do. Wengi shule hawaendi wapo wapo tu na hata lugha inawapiga chenga ila utashangaa wakija Bongo wanajifanya hawajuwi kiswahili. Ukitaka kujuwa ukweli wasikilize their conjugations and speech, yaani utacheka ila wao hawajijuwi kuwa wanachapia. Kiswahili ni lugha ya kujivunia sana ila basi tu ujinga unawasumbua watu.

Aiseee!
 
Don't dare to fool a wise man. Kuhusu wewe kutojuwa kuandika kiswahili for whatever reason is a choice for hata watanzania waliozaliwa hapa na hawajawahi kutoka nje ya nchi hawajuwi kuandika kiswahili, hiyo siyo suluhisho/sababu. Sisi (familia yetu) tumekulia nje ya nchi na ndugu zangu wengine wamezaliwa nje ya nchi na wanaishi huko huko majuu ila utashangaa wanaongea kiswahili hakuna mfano. Mind you...sisi wakati tunakuwa hatukuwa na marafiki watanzania because at that time (late 70's - late 80's) watanzania walikuwa hawasafiri kama sasa. Baada ya miaka kama 12 hivi niliporudi Bongo watu hawakuamini kama mimi na kaka zangu tunaweza kuongea kiswahili, walishangaa sana. Niliporudi tena majuu kwa kaka zangu nikakaa huko for kama miaka 4 hivi bila kuwa na marafiki wa kitanzania bali wale marafiki zangu wa utotoni ila nikirudi nyumbani kwa kaka zangu tunaongea kiswahili kama kawaida kwani wazazi walikazania sana tusisahau lugha haswa ukizingatia huko nyumbani vijijini watu wengi hawazungumzi kiingereza na kijerumani. Kingine, watanzania wengi hawajiamini wakiwa nje na utakuta wengi wao wanapenda kurundikana pamoja na kupigana majungu yasiyo na sababu mpaka wengine wanato.mbeana na kuchomana visu because they have nothing to do. Wengi shule hawaendi wapo wapo tu na hata lugha inawapiga chenga ila utashangaa wakija Bongo wanajifanya hawajuwi kiswahili. Ukitaka kujuwa ukweli wasikilize their conjugations and speech, yaani utacheka ila wao hawajijuwi kuwa wanachapia. Kiswahili ni lugha ya kujivunia sana ila basi tu ujinga unawasumbua watu.
Duuh...mshikaji wangu nimekukubali ile mbaya!
Kwanza pongezi za pekee ziende kwa familia yako kwani kutokana na comment yako hii inaonekana pamoja na kuwa
mliishi nje ya nchi mlipata malezi bora yenye kujali na kukumbuka utamaduni na mila za kwenu Tanzania.

Back to the topick...mkuu siyo siri baadhi ya wa bongo waishio majuu wanaumach know mwingi sana hasa warudipo Bongo.
Yaani wanafikiria bongo waliyoiacha miaka ya 80 au 90 ndiyo ile ile hadi leo.
 
Kuhusu wewe kutojuwa kuandika kiswahili for whatever reason is a choice for hata watanzania waliozaliwa hapa na hawajawahi kutoka nje ya nchi hawajuwi kuandika kiswahili, hiyo siyo suluhisho/sababu. Sisi (familia yetu) tumekulia nje ya nchi na ndugu zangu wengine wamezaliwa nje ya nchi na wanaishi huko huko majuu ila utashangaa wanaongea kiswahili hakuna mfano.
Mkuu,unatisha...Yaani unapita mule mule maana sisi wengine tukisema tunaambiwa tuna wivu kumbe tusemacho ni kweli kuwa baadhi ya wabongo washio majuu wanapenda sana sifa na kujiona wao ndiyo wao hasa warudipo bongo.

Eti utakuta mtu kaondoka hapa mwaka 2010 kwenda kusoma Australia kwa miaka mitatu tu. cha ajabu mtu huyo siku akirudi bongo tu eti hajui kuongea kiswahili vizuri...uongo mtupuu!
 
Kuhusu wewe kutojuwa kuandika kiswahili for whatever reason is a choice for hata watanzania waliozaliwa hapa na hawajawahi kutoka nje ya nchi hawajuwi kuandika kiswahili, hiyo siyo suluhisho/sababu. Sisi (familia yetu) tumekulia nje ya nchi na ndugu zangu wengine wamezaliwa nje ya nchi na wanaishi huko huko majuu ila utashangaa wanaongea kiswahili hakuna mfano.
kwani hapa naandika lugha gani loh...hebu take it easy bana!!!
 
Back
Top Bottom