obi's
JF-Expert Member
- Dec 24, 2011
- 233
- 40
Ingawa unachosema ni kweli, mimi nasema si wabeba maboksi wote ambao wako hivyo.
Na nisiende mbali. Mimi hapa prezdaa wa wabeba maboksi nikijaga vekesheni bongo huwa sipendi kabisa hata kuongea hicho Kiswahili. Kizungu ndo huwa nakitupa kule.
Kisukuma ndo huwa nakitumia sana na zaidi. Najua mwaweza msiniamini lakini ukweli ndo huo. Ni Kisukuma mwanzo mwisho tena kile cha Ntuzu kabisa.
Lekagi gete ugunigushela unene Nzagamba Ng'wanagingili u Ikungulyabashashi.
Nhana nyanda oyomba siza, bhayenga hunaeyene bhabha, kinehe embula okwenuko?