Wabongo waishio majuu kwa sifa!!?

Wabongo waishio majuu kwa sifa!!?

Another vacuous vitriolic vaseful of vomit. Pungent and putrid purposeless punditry, divisive doo-doo defecating from diseased duodenums, bileful binge from brainless brats, algorithmless alleles with zero zeitgeist shoaling in shameless schadenfreude.

Andika kiswahili, kuna mwingereza nimempa atafsiri kachemka.
 
Jamani tuache utani baadhi ya Wabongo (waTanzania) waishio nje ya nchi wanamisifa usipime.

Yaani kama umebahatika kutembelea nchi za UK na USA au nchi zinazofanana na hizo nchi basi
utanielewa ninachotaka kuongelea hapa…wakiwa wabongo kwa wabongo wanapenda sana kuzu
ngumza kiswahili na sana sana wakikutana na mtu wa nyumbani (Tanzania) ambaye amekwenda
au umekwenda kwa shughuli zako maramoja basi ndiyo kabisaaa yaani wakikuona tu wanapenda
sana kuzungumza au kuongea kiswahili na wewe.

Ila cha ajabu na kushangaza mtu huyo huyo au watu hao hao warudipo bongo kuja kusalimia ndugu
au kwa majukumu fulani fulani basi hawataki au hataki kabisa kuzungumza kiswahili na badala yake
anaongea ung'eng'e kuanzia mwanzo hadi mwisho au maneno 10 ung'eng'e na mawili kiswahili.
Sasa mimi najiuliza inakuwaje unapokuwa nchi za ung'eng'e unapenda kuongea lugha ya nyumbani
kwenu Tanzania alafu ukirudi Bongo kwa mapumziko ya wiki mbili au mwezi hutaki kuongea kiswahili.

Ukienda shopperz plaza unajifanya yes no,mlimani city yes no,kwenye daladala yes no ukikutana na
washikaji zako wa kitambo yes no nk nk nk.

Sasa hii yote ni nini? ni ushamba au ndiyo unataka tujue kuwa unatoka USA au Ulaya?

Ama kweli baadhi ya wabongo waishio majuu kwa misifa!!?



Ni kweli kabisa na mfano ulio hai ni huyu kijana wetu Hasheem Thabeet. Jamaa licha ya kuwa a bust in the NBA ila anajifanya sana kama vile hajuwi lugha wakati alipokwenda Marekani some years back hata kiingereza alikuwa hajuwi ila sasa anajifanya kasahau kiswahili na wakati hata hicho kiingereza akizungumza utafikiri alikwenda Marekani jana kwa lafudhi ya hajabu ila hapa Bongo watu hawatambui hivyo kwa sababu wengi wao hawajuwi lugha. Watanzania wengi wako feki.
 
Ni kweli kabisa na mfano ulio hai ni huyu kijana wetu Hasheem Thabeet. Jamaa licha ya kuwa a bust in the NBA ila anajifanya sana kama vile hajuwi lugha wakati alipokwenda Marekani some years back hata kiingereza alikuwa hajuwi ila sasa anajifanya kasahau kiswahili na wakati hata hicho kiingereza akizungumza utafikiri alikwenda Marekani jana kwa lafudhi ya hajabu ila hapa Bongo watu hawatambui hivyo kwa sababu wengi wao hawajuwi lugha. Watanzania wengi wako feki.
Basi ukibahatika kukutananae huyo jamaa (binafsi sijawahi) huko marekani akiwa na wabongo wenzake wanaongea full kiswahili
 
Ni kweli kabisa na mfano ulio hai ni huyu kijana wetu Hasheem Thabeet. Jamaa licha ya kuwa a bust in the NBA ila anajifanya sana kama vile hajuwi lugha wakati alipokwenda Marekani some years back hata kiingereza alikuwa hajuwi ila sasa anajifanya kasahau kiswahili na wakati hata hicho kiingereza akizungumza utafikiri alikwenda Marekani jana kwa lafudhi ya hajabu ila hapa Bongo watu hawatambui hivyo kwa sababu wengi wao hawajuwi lugha. Watanzania wengi wako feki.

Na wewe uko feki? Na wewe hujui Kiswahili? Mbona umechanganya na Kiingereza hapo?
 
Eti utamsikia aloyyerudi kutoka majuu " yaani africa kunabore sana too much joto i real cant survive here, deeem...."
 
kuchanganya lugha wote sio mpaka hatoke nje.mbona nilienda mtwara wamakonde wanachanganya kimakonde na kiswahili
 
Jamani tuache utani baadhi ya Wabongo (waTanzania) waishio nje ya nchi wanamisifa usipime.

Yaani kama umebahatika kutembelea nchi za UK na USA au nchi zinazofanana na hizo nchi basi
utanielewa ninachotaka kuongelea hapa…wakiwa wabongo kwa wabongo wanapenda sana kuzu
ngumza kiswahili na sana sana wakikutana na mtu wa nyumbani (Tanzania) ambaye amekwenda
au umekwenda kwa shughuli zako maramoja basi ndiyo kabisaaa yaani wakikuona tu wanapenda
sana kuzungumza au kuongea kiswahili na wewe.

Ila cha ajabu na kushangaza mtu huyo huyo au watu hao hao warudipo bongo kuja kusalimia ndugu
au kwa majukumu fulani fulani basi hawataki au hataki kabisa kuzungumza kiswahili na badala yake
anaongea ung'eng'e kuanzia mwanzo hadi mwisho au maneno 10 ung'eng'e na mawili kiswahili.
Sasa mimi najiuliza inakuwaje unapokuwa nchi za ung'eng'e unapenda kuongea lugha ya nyumbani
kwenu Tanzania alafu ukirudi Bongo kwa mapumziko ya wiki mbili au mwezi hutaki kuongea kiswahili.

Ukienda shopperz plaza unajifanya yes no,mlimani city yes no,kwenye daladala yes no ukikutana na
washikaji zako wa kitambo yes no nk nk nk.

Sasa hii yote ni nini? ni ushamba au ndiyo unataka tujue kuwa unatoka USA au Ulaya?

Ama kweli baadhi ya wabongo waishio majuu kwa misifa!!?

[video=youtube_share;87bx32P2K5A]http://youtu.be/87bx32P2K5A[/video]
 
Jamani tuache utani baadhi ya Wabongo (waTanzania) waishio nje ya nchi wanamisifa usipime.

Yaani kama umebahatika kutembelea nchi za UK na USA au nchi zinazofanana na hizo nchi basi
utanielewa ninachotaka kuongelea hapa…wakiwa wabongo kwa wabongo wanapenda sana kuzu
ngumza kiswahili na sana sana wakikutana na mtu wa nyumbani (Tanzania) ambaye amekwenda
au umekwenda kwa shughuli zako maramoja basi ndiyo kabisaaa yaani wakikuona tu wanapenda
sana kuzungumza au kuongea kiswahili na wewe.

Ila cha ajabu na kushangaza mtu huyo huyo au watu hao hao warudipo bongo kuja kusalimia ndugu
au kwa majukumu fulani fulani basi hawataki au hataki kabisa kuzungumza kiswahili na badala yake
anaongea ung'eng'e kuanzia mwanzo hadi mwisho au maneno 10 ung'eng'e na mawili kiswahili.
Sasa mimi najiuliza inakuwaje unapokuwa nchi za ung'eng'e unapenda kuongea lugha ya nyumbani
kwenu Tanzania alafu ukirudi Bongo kwa mapumziko ya wiki mbili au mwezi hutaki kuongea kiswahili.

Ukienda shopperz plaza unajifanya yes no,mlimani city yes no,kwenye daladala yes no ukikutana na
washikaji zako wa kitambo yes no nk nk nk.

Sasa hii yote ni nini? ni ushamba au ndiyo unataka tujue kuwa unatoka USA au Ulaya?

Ama kweli baadhi ya wabongo waishio majuu kwa misifa!!?

Acha insecurity ya kishamba na wivu na chuki. Sikia, ukizoea lugha Fulani maneno yanakuwa karibu zaidi hususan ukiwa katika maeneo "formal" ama ukiongea na mtu ambaye unconsciously your mind can tell you having a formal conversation. Tujidai na lugha ya Watu ili tupate nini while our need is to communicate with the our loved ones?
 
Acha insecurity ya kishamba na wivu na chuki. Sikia, ukizoea lugha Fulani maneno yanakuwa karibu zaidi hususan ukiwa katika maeneo "formal" ama ukiongea na mtu ambaye unconsciously your mind can tell you having a formal conversation. Tujidai na lugha ya Watu ili tupate nini while our need is to communicate with the our loved ones?

hii ni code mixing au code switching??
 
Ukiongea Kinyamwezi kile cha ndani cha Sikonge, hadi RAHA. Enzi hizo nikirudi nyumbani, nikilala Tabora mjini, asubuhi yake nafungulia dirisha ili nikipate chenyewe kabisa cha ndani ndani kule Mibono na Usunga kama Siyo Chabutwa au Tutuo na baadaye unajisukuma Mole, mitaa ya akina TUKUTUKU 🙂

Hao wanaojifanya wamesahau Kinyamwezi ahhh Kiswahili, huwa ni Wachovu fulani ambao Box limegoma kabisa kupanda.
Ingawa unachosema ni kweli, mimi nasema si wabeba maboksi wote ambao wako hivyo.

Na nisiende mbali. Mimi hapa prezdaa wa wabeba maboksi nikijaga vekesheni bongo huwa sipendi kabisa hata kuongea hicho Kiswahili. Kizungu ndo huwa nakitupa kule.

Kisukuma ndo huwa nakitumia sana na zaidi. Najua mwaweza msiniamini lakini ukweli ndo huo. Ni Kisukuma mwanzo mwisho tena kile cha Ntuzu kabisa.

Lekagi gete ugunigushela unene Nzagamba Ng'wanagingili u Ikungulyabashashi.
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli kabisa na mfano ulio hai ni huyu kijana wetu Hasheem Thabeet. Jamaa licha ya kuwa a bust in the NBA ila anajifanya sana kama vile hajuwi lugha wakati alipokwenda Marekani some years back hata kiingereza alikuwa hajuwi ila sasa anajifanya kasahau kiswahili na wakati hata hicho kiingereza akizungumza utafikiri alikwenda Marekani jana kwa lafudhi ya hajabu ila hapa Bongo watu hawatambui hivyo kwa sababu wengi wao hawajuwi lugha. Watanzania wengi wako feki.
Jamaa_Mbishi mi mwenyewe swahili yangu mbofu mbofu siishi kukosolewa hapa..Ukiishi muda mrefu nje ya nchi haswa kama ukienda utotoni unasahau au kuchanganya baadhi ya maneno!!!au mfano naweza nijieleze lakini nafikia sehemu naganda sipati njia ya kujieleza kwa kiswahili kwa ufasaha au nakosa maneno ya kuyatumia kujieleza inabidi nitumie kiingereza!!
 
Another vacuous vitriolic vaseful of vomit. Pungent and putrid purposeless punditry, divisive doo-doo defecating from diseased duodenums, bileful binge from brainless brats, algorithmless alleles with zero zeitgeist shoaling in shameless schadenfreude.
Hiki nacho ni kinini?ngoja niende google translate!
 
mim pia iko sahau sahau hii swahili kwetu Mamen. mimekaa huku mirekani miaka selathini. sasa inategemea mim ntaongea faken swahili vunjavunja.
 
Back
Top Bottom