Wabongo waishio majuu kwa sifa!!?

Wabongo waishio majuu kwa sifa!!?

hivi na wale wanaotokea india na china huwa wanaongea viluga vya hizo nchi?
 
Kule hawawezi kuongea kiengereza chao hicho cha Yes, no kwasabubu ndio kwa wenyewe kwhyo bora wajivunie lugha yao tu, ila wakiwa hapa kwa vipofu wenzao akina sis dah! Tabu kweli si unajua chongo ndio kiongozi kwenye nchi ya vipofu, ila kuna wabongo wanaongea kiengereza utafkiri wamemeza kitoto cha kizungu

hahahahahahah...angalau nimecheka jioni ya leo
 
Kule hawawezi kuongea kiengereza chao hicho cha Yes, no kwasabubu ndio kwa wenyewe kwhyo bora wajivunie lugha yao tu, ila wakiwa hapa kwa vipofu wenzao akina sis dah! Tabu kweli si unajua chongo ndio kiongozi kwenye nchi ya vipofu, ila kuna wabongo wanaongea kiengereza utafkiri wamemeza kitoto cha kizungu

hahahahahahah...angalau nimecheka jioni ya leo
 
Ingawa unachosema ni kweli, mimi nasema si wabeba maboksi wote ambao wako hivyo.

Na nisiende mbali. Mimi hapa prezdaa wa wabeba maboksi nikijaga vekesheni bongo huwa sipendi kabisa hata kuongea hicho Kiswahili. Kizungu ndo huwa nakitupa kule.

Kisukuma ndo huwa nakitumia sana na zaidi. Najua mwaweza msiniamini lakini ukweli ndo huo. Ni Kisukuma mwanzo mwisho tena kile cha Ntuzu kabisa.

Lekagi gete ugunigushela unene Nzagamba Ng'wanagingili u Ikungulyabashashi.
Nyani Ngabu umetisha
 
Last edited by a moderator:
Jamani tuache utani baadhi ya Wabongo (waTanzania) waishio nje ya nchi wanamisifa usipime.

Yaani kama umebahatika kutembelea nchi za UK na USA au nchi zinazofanana na hizo nchi basi
utanielewa ninachotaka kuongelea hapa…wakiwa wabongo kwa wabongo wanapenda sana kuzu
ngumza kiswahili na sana sana wakikutana na mtu wa nyumbani (Tanzania) ambaye amekwenda
au umekwenda kwa shughuli zako maramoja basi ndiyo kabisaaa yaani wakikuona tu wanapenda
sana kuzungumza au kuongea kiswahili na wewe.

Ila cha ajabu na kushangaza mtu huyo huyo au watu hao hao warudipo bongo kuja kusalimia ndugu
au kwa majukumu fulani fulani basi hawataki au hataki kabisa kuzungumza kiswahili na badala yake
anaongea ung'eng'e kuanzia mwanzo hadi mwisho au maneno 10 ung'eng'e na mawili kiswahili.
Sasa mimi najiuliza inakuwaje unapokuwa nchi za ung'eng'e unapenda kuongea lugha ya nyumbani
kwenu Tanzania alafu ukirudi Bongo kwa mapumziko ya wiki mbili au mwezi hutaki kuongea kiswahili.

Ukienda shopperz plaza unajifanya yes no,mlimani city yes no,kwenye daladala yes no ukikutana na
washikaji zako wa kitambo yes no nk nk nk.

Sasa hii yote ni nini? ni ushamba au ndiyo unataka tujue kuwa unatoka USA au Ulaya?

Ama kweli baadhi ya wabongo waishio majuu kwa misifa!!?

hahahahahaha
je wabongo walioko japan ama korea inakuwaje
 
Mie nikienda ushagoo usukumani huwa nasahau kiswahili, nukirudi mjini naongea kisukuma tu. yaan nakuwa nimesahau kiswahili....
 
Ingawa unachosema ni kweli, mimi nasema si wabeba maboksi wote ambao wako hivyo.

Na nisiende mbali. Mimi hapa prezdaa wa wabeba maboksi nikijaga vekesheni bongo huwa sipendi kabisa hata kuongea hicho Kiswahili. Kizungu ndo huwa nakitupa kule.

Kisukuma ndo huwa nakitumia sana na zaidi. Najua mwaweza msiniamini lakini ukweli ndo huo. Ni Kisukuma mwanzo mwisho tena kile cha Ntuzu kabisa.

Lekagi gete ugunigushela unene Nzagamba Ng'wanagingili u Ikungulyabashashi.

Hapana chezea Kinyantuzu
 
Ingawa unachosema ni kweli, mimi nasema si wabeba maboksi wote ambao wako hivyo.

Na nisiende mbali. Mimi hapa prezdaa wa wabeba maboksi nikijaga vekesheni bongo huwa sipendi kabisa hata kuongea hicho Kiswahili. Kizungu ndo huwa nakitupa kule.

Kisukuma ndo huwa nakitumia sana na zaidi. Najua mwaweza msiniamini lakini ukweli ndo huo. Ni Kisukuma mwanzo mwisho tena kile cha Ntuzu kabisa.

Lekagi gete ugunigushela unene Nzagamba Ng'wanagingili u Ikungulyabashashi.
Mwadera....Gawizzaa!!
 
Ukiongea Kinyamwezi kile cha ndani cha Sikonge, hadi RAHA. Enzi hizo nikirudi nyumbani, nikilala Tabora mjini, asubuhi yake nafungulia dirisha ili nikipate chenyewe kabisa cha ndani ndani kule Mibono na Usunga kama Siyo Chabutwa au Tutuo na baadaye unajisukuma Mole, mitaa ya akina TUKUTUKU 🙂

Hao wanaojifanya wamesahau Kinyamwezi ahhh Kiswahili, huwa ni Wachovu fulani ambao Box limegoma kabisa kupanda.
Ahsante…mkataa kwao na mkataa asili ya kwao ni mtumwa
 
Kuna siku hiyo sitakuja kuisahau…nilimtembelea kaka wa kibongo nyumbani kwake ambae anaishi na demu wa kizungu.
laahaula la kwata! niliyoyashuhudia pale ni aibu kwa mkaka wa kibongo…yaani jamaa anafulishwa nguo,anapikishwa,ana
fanya usafi wa ndani na kumsafishia demu wake gari kila siku

Nikamuuliza,mkuu haya ndiyo maisha yako ya kilka siku? jamaa akanijibu ndiyo maisha yangu haya ya kila siku.
Nikamuuliza tena,shemeji huwa anakusaidia maramoja moja? akanijibu aah wapi shemeji yako yeye ni mtu wa kwenda
kazini kila siku na akirudi huko anakwenda kujirusha viwanja hadi majogoo…mi loooh!!

Nikamuuliza haza yote hii ya nini? si urudi tu Bongo uowe tu mbongo mwenzio kisha ujenae huku ili uishi kama mume?
Akanijibu aah mademu wa kibongo mizinguo kibao! nikamwambie ni kheri uishi na demu wa kibongo kuliko kuwa trekta
kwa mwanamke eti kisa mzungu na unaishi marekani.
 
Masista duuh njaa wakibongo kama akina Lara 1 ndio wanatabia ya kumix kiswanglishi ili waonekane matawi ya juu kumbe njaa tupu!
 
Andika mkuu kiswahili fasaha lengo lako ujumbe ufike ama una lako?

Ujumbe ufike kwa nani?

Kuna watu wanaweza kusoma nilichoandika na ujumbe ushafika , kama kuna ujumbe at all, au wamecheka tu kwa kuelewa kwamba post ni kituko tu, ikifuatilia mulemule kama thread ilivyo kituko tu, sasa wewe unapata wapi mamlaka ya kunipangia nataka ujumbe ufike kwa nani?

Unajuaje kwamba ujumbe wangu nataka kumfikishia nani?

Unajuaje kwamba kama mratibu wa some Pythagorean sect evading C-Cypher, sina nia ya kufikishia ujumbe wote, bali tu wale watakaoelewa?

Unajuaje kwamba nikiandika Kiswahili fasaha hutakuja kulalamika hapahapa kwamba naandika Kiswahili kigumu sana?
 
Back
Top Bottom