shansarie
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 5,690
- 3,370
Mmenikumbusha kuna maza mmoja alikuja majuu nikiwa huko na mtoto wake sasa huyo mtoto kazaliwa tz na kasona tz yaani kwa ufupi bado yupo primary school huku wanaita elementary school ila ndo kasoma sijui international basi kafika marekani anajifanya hajui kiswahili tunamsemesha kibongo anapiga kimya na mama yake anaona sifa eti hajui kiswahili huyo.
Nilipatwa na mshangao kwakweli mtoto azaliwe bongo afu hajui swahili wazazi pia tunachangia.
Hii sio walio majuu tu hata waliopo hapa home wengine wanaikimbia lugha yao
Nilipatwa na mshangao kwakweli mtoto azaliwe bongo afu hajui swahili wazazi pia tunachangia.
Hii sio walio majuu tu hata waliopo hapa home wengine wanaikimbia lugha yao