Wabongo waishio majuu kwa sifa!!?

Wabongo waishio majuu kwa sifa!!?

Mmenikumbusha kuna maza mmoja alikuja majuu nikiwa huko na mtoto wake sasa huyo mtoto kazaliwa tz na kasona tz yaani kwa ufupi bado yupo primary school huku wanaita elementary school ila ndo kasoma sijui international basi kafika marekani anajifanya hajui kiswahili tunamsemesha kibongo anapiga kimya na mama yake anaona sifa eti hajui kiswahili huyo.
Nilipatwa na mshangao kwakweli mtoto azaliwe bongo afu hajui swahili wazazi pia tunachangia.
Hii sio walio majuu tu hata waliopo hapa home wengine wanaikimbia lugha yao
 
Mmenikumbusha kuna maza mmoja alikuja majuu nikiwa huko na mtoto wake sasa huyo mtoto kazaliwa tz na kasona tz yaani kwa ufupi bado yupo primary school huku wanaita elementary school ila ndo kasoma sijui international basi kafika marekani anajifanya hajui kiswahili tunamsemesha kibongo anapiga kimya na mama yake anaona sifa eti hajui kiswahili huyo.
Nilipatwa na mshangao kwakweli mtoto azaliwe bongo afu hajui swahili wazazi pia tunachangia.
Hii sio walio majuu tu hata waliopo hapa home wengine wanaikimbia lugha yao
Sasa angalia kituko kama hicho ulichokishuhudia kwa macho yako...yaani baadhi ya wabongo wana visa!!?
 
mtoa mada una negative attitude na wanaoishi majuu!!nafikiri ww pia ulishataka kwenda majuu ukabaniwa sasa umebaki kuwaona hao jamaa ndo kama wamesababisha ukose hiyo VISA, watu wanachanganya lugha kwa sababu mbali mbali lakini kubwa muhimu ni kama ifuatavyo:
-Akili zao zimeathirika kwa kupenda kutumia lugha ya kigeni zaidi kuliko kiswahili.
-Lugha ya kingereza imefanyiwa utafiti wa kutosha na una meneno mengi zaidi kukidhi mahitaji ya binadamu kuliko kiswahili, nafikiri hata ww utakubaliana na mm kiswahili bado kinakosa maneno muhimu katika maisha yetu ya kila siku!!
-Terminology za kingereza zinabeba maana ndefu kuliko kiswahili,kumbuka muda unaotumia kuelezea kitu ni muhimu sana kwa maendeleo yako!!!hawa watu wamesha-adapt mazingira ya wazungu, muda ni mali tofauti na ss wabongo!!
-Pia baadhi yetu wabongo ukishaona mtu katoka Ulaya unapenda kusemesha kingereza na kutaka kujifundisha maneno ya ziada kwenye hii lugha inayokubalika duniani!!
-Mwisho fanya utafiti wa makabila makubwa kama wasukuma,waha,wahaya,wachaga na wao wakikutana mjini humo wanabonga kikwao, hao nao ni malimbukeni??wewe ------/mluguru ndo hutaki kuongea lugha yako ndo unakwazika!!hizi zitakuwa akili za BAKWATA kutaka masomo yote ya ngazi za juu tuanze kufundisha kiswahili!!
 
mtoa mada una negative attitude na wanaoishi majuu!!nafikiri ww pia ulishataka kwenda majuu ukabaniwa sasa umebaki kuwaona hao jamaa ndo kama wamesababisha ukose hiyo VISA, watu wanachanganya lugha kwa sababu mbali mbali lakini kubwa muhimu ni kama ifuatavyo:
-Akili zao zimeathirika kwa kupenda kutumia lugha ya kigeni zaidi kuliko kiswahili.
-Lugha ya kingereza imefanyiwa utafiti wa kutosha na una meneno mengi zaidi kukidhi mahitaji ya binadamu kuliko kiswahili, nafikiri hata ww utakubaliana na mm kiswahili bado kinakosa maneno muhimu katika maisha yetu ya kila siku!!
-Terminology za kingereza zinabeba maana ndefu kuliko kiswahili,kumbuka muda unaotumia kuelezea kitu ni muhimu sana kwa maendeleo yako!!!hawa watu wamesha-adapt mazingira ya wazungu, muda ni mali tofauti na ss wabongo!!
-Pia baadhi yetu wabongo ukishaona mtu katoka Ulaya unapenda kusemesha kingereza na kutaka kujifundisha maneno ya ziada kwenye hii lugha inayokubalika duniani!!
-Mwisho fanya utafiti wa makabila makubwa kama wasukuma,waha,wahaya,wachaga na wao wakikutana mjini humo wanabonga kikwao, hao nao ni malimbukeni??wewe ------/mluguru ndo hutaki kuongea lugha yako ndo unakwazika!!hizi zitakuwa akili za BAKWATA kutaka masomo yote ya ngazi za juu tuanze kufundisha kiswahili!!

Taratibu mkuu, hapa hatugombani bali tunaelimishana tu so punguza povu na hamaki…vinginevyo wewe ndiye utaonekana una negative attitude. Au na wewe ni ndiyo wale wale mtu wa majuu?

Alafu sijapenda ulivyoitumbukiza Bakwata kwenye mjadala huu tena kwa kuwakashfu…kwahiyo wewe unajiona unaakili
sana kuliko Taasisi yote ya Bakwata? acha hizo mkuu…haipendezi
 
Kule hawawezi kuongea kiengereza chao hicho cha Yes, no kwasabubu ndio kwa wenyewe kwhyo bora wajivunie lugha yao tu, ila wakiwa hapa kwa vipofu wenzao akina sis dah! Tabu kweli si unajua chongo ndio kiongozi kwenye nchi ya vipofu, ila kuna wabongo wanaongea kiengereza utafkiri wamemeza kitoto cha kizungu
Jambo usilolijua ni Kama usiku wa Giza ............
 
Jamani tuache utani baadhi ya Wabongo (waTanzania) waishio nje ya nchi wanamisifa usipime.

Yaani kama umebahatika kutembelea nchi za UK na USA au nchi zinazofanana na hizo nchi basi utanielewa ninachotaka kuongelea hapa…wakiwa wabongo kwa wabongo wanapenda sana kuzu ngumza kiswahili na sana sana wakikutana na mtu wa nyumbani (Tanzania) ambaye amekwenda au umekwenda kwa shughuli zako maramoja basi ndiyo kabisaaa yaani wakikuona tu wanapenda
sana kuzungumza au kuongea kiswahili na wewe.

Ila cha ajabu na kushangaza mtu huyo huyo au watu hao hao warudipo bongo kuja kusalimia ndugu au kwa majukumu fulani fulani basi hawataki au hataki kabisa kuzungumza kiswahili na badala yake anaongea ung'eng'e kuanzia mwanzo hadi mwisho au maneno 10 ung'eng'e na mawili kiswahili.

Sasa mimi najiuliza inakuwaje unapokuwa nchi za ung'eng'e unapenda kuongea lugha ya nyumbani kwenu Tanzania alafu ukirudi Bongo kwa mapumziko ya wiki mbili au mwezi hutaki kuongea kiswahili.

Ukienda shopperz plaza unajifanya yes no,mlimani city yes no,kwenye daladala yes no ukikutana na washikaji zako wa kitambo yes no nk nk nk.

Sasa hii yote ni nini? ni ushamba au ndiyo unataka tujue kuwa unatoka USA au Ulaya?

Ama kweli baadhi ya wabongo waishio majuu kwa misifa!!?


Si unaona hata hapa bongo, mtu hajuwi kiingereza ila mpe tu mic atangaze redioni atafanya hicho kipindi cha radio kuwa shule ya kuongea broken English wakati wasikilizaji wake karibia ya wote hawajuwi kiingereza. Watanzania tuna kasumba sana, yaani mtu mbumbumbu tu wa bongo muvi ama fleva akionekana kwenye tv tu atajichanganya kama Shilole kwa kuongea kisichoekeweka.
 
mtoa mada una negative attitude na wanaoishi majuu!!nafikiri ww pia ulishataka kwenda majuu ukabaniwa sasa umebaki kuwaona hao jamaa ndo kama wamesababisha ukose hiyo VISA, watu wanachanganya lugha kwa sababu mbali mbali lakini kubwa muhimu ni kama ifuatavyo:
-Akili zao zimeathirika kwa kupenda kutumia lugha ya kigeni zaidi kuliko kiswahili.
-Lugha ya kingereza imefanyiwa utafiti wa kutosha na una meneno mengi zaidi kukidhi mahitaji ya binadamu kuliko kiswahili, nafikiri hata ww utakubaliana na mm kiswahili bado kinakosa maneno muhimu katika maisha yetu ya kila siku!!
-Terminology za kingereza zinabeba maana ndefu kuliko kiswahili,kumbuka muda unaotumia kuelezea kitu ni muhimu sana kwa maendeleo yako!!!hawa watu wamesha-adapt mazingira ya wazungu, muda ni mali tofauti na ss wabongo!!
-Pia baadhi yetu wabongo ukishaona mtu katoka Ulaya unapenda kusemesha kingereza na kutaka kujifundisha maneno ya ziada kwenye hii lugha inayokubalika duniani!!
-Mwisho fanya utafiti wa makabila makubwa kama wasukuma,waha,wahaya,wachaga na wao wakikutana mjini humo wanabonga kikwao, hao nao ni malimbukeni??wewe ------/mluguru ndo hutaki kuongea lugha yako ndo unakwazika!!hizi zitakuwa akili za BAKWATA kutaka masomo yote ya ngazi za juu tuanze kufundisha kiswahili!!
Mpumbavu kabisa wewe
 
Jamani tuache utani baadhi ya Wabongo (waTanzania) waishio nje ya nchi wanamisifa usipime.

Yaani kama umebahatika kutembelea nchi za UK na USA au nchi zinazofanana na hizo nchi basi utanielewa ninachotaka kuongelea hapa…wakiwa wabongo kwa wabongo wanapenda sana kuzu ngumza kiswahili na sana sana wakikutana na mtu wa nyumbani (Tanzania) ambaye amekwenda au umekwenda kwa shughuli zako maramoja basi ndiyo kabisaaa yaani wakikuona tu wanapenda
sana kuzungumza au kuongea kiswahili na wewe.

Ila cha ajabu na kushangaza mtu huyo huyo au watu hao hao warudipo bongo kuja kusalimia ndugu au kwa majukumu fulani fulani basi hawataki au hataki kabisa kuzungumza kiswahili na badala yake anaongea ung'eng'e kuanzia mwanzo hadi mwisho au maneno 10 ung'eng'e na mawili kiswahili.

Sasa mimi najiuliza inakuwaje unapokuwa nchi za ung'eng'e unapenda kuongea lugha ya nyumbani kwenu Tanzania alafu ukirudi Bongo kwa mapumziko ya wiki mbili au mwezi hutaki kuongea kiswahili.

Ukienda shopperz plaza unajifanya yes no,mlimani city yes no,kwenye daladala yes no ukikutana na washikaji zako wa kitambo yes no nk nk nk.

Sasa hii yote ni nini? ni ushamba au ndiyo unataka tujue kuwa unatoka USA au Ulaya?

Ama kweli baadhi ya wabongo waishio majuu kwa misifa!!?
topic yako haina maaana.
 
Kule hawawezi kuongea kiengereza chao hicho cha Yes, no kwasabubu ndio kwa wenyewe kwhyo bora wajivunie lugha yao tu, ila wakiwa hapa kwa vipofu wenzao akina sis dah! Tabu kweli si unajua chongo ndio kiongozi kwenye nchi ya vipofu, ila kuna wabongo wanaongea kiengereza utafkiri wamemeza kitoto cha kizungu
point
 
Ingawa unachosema ni kweli, mimi nasema si wabeba maboksi wote ambao wako hivyo.

Na nisiende mbali. Mimi hapa prezdaa wa wabeba maboksi nikijaga vekesheni bongo huwa sipendi kabisa hata kuongea hicho Kiswahili. Kizungu ndo huwa nakitupa kule.

Kisukuma ndo huwa nakitumia sana na zaidi. Najua mwaweza msiniamini lakini ukweli ndo huo. Ni Kisukuma mwanzo mwisho tena kile cha Ntuzu kabisa.

Lekagi gete ugunigushela unene Nzagamba Ng'wanagingili u Ikungulyabashashi.
Nabonaga uli nzagamba makoba!
 
Wabongo wengi wanaoishi nchi hizi mbili;
Mosi, wanaishi kwa matabaka sana, ni mpaka uwe na jina kubwa au unakaa sehemu fulani matawi ndiyo watakupenda.
Pili, wanaogopa polisi na immigration sijapata ona, hili linatokana na tabia sugu ya uzamiaji.
Tatu, wakifika nchi hizo hawataki kwenda kujitambulisha ubalozini, ni mpaka matatizo yawakute.
ukiwauliza utaskia watu wa Ubalozi wana nyodo, mara ooh wamejaa watoto wa vigogo hatuwapendi. Thou this is yet to be proved.
Nne, wengi wanaoana na kuzaa na kizungu ili wapate permit za kuendelea kuka.
Hii iko sana U.K.
 
Khaaa
Mbona wengi tu wanaongea kingereza kutwa na hawajawahi hata kufika Kenya? Kwahiyo mtu Kisa ni mbeba box akiwa bongo basi hata akijisikia kuongea kingereza ni tatizo na akijisikia joto asiseme kwavile tu katoka ughaibuni?
 
Back
Top Bottom