Waandishi wa kitabu cha Zaburi

Waandishi wa kitabu cha Zaburi

Nahisi kuna tofauti kati ya allah na Mungu

Wao wanadai allah ndio Mungu (Yahweh au Elohim) aliyetajwa kwenye Biblia.

Na pia Kabla ya kibra ya al kaaba. Mtume na maswahaba wake waliswali kuelekea Yerusalem.
Na maswahaba walikuwa wanaamini vitabu vya kiyahudi na kikristo kabla hata Quran haijashushwa.

Umeona sasa Mohamed alivyo mjanja mjanja.
Na tukisemaga Uislam umebeba meng ya Wakristo na kiyahud. Waislam Wanabisha. Wakat ukwel unaonekana dhahiri.

Alaf wao sasa ndio wanasema eti Wakristo wanapotea na vitabu vimepotoshwa.

Does that make sense Shemej angu? Seran
 
Na Hapa ndio mimi siielewagi Quran.
Quran inasema Zaburi imeshushwa kama wahyi kwa Daudi.

😁😁😁😁 ila hoja yao ni ile ile.
vitabu vya allah vimechakachuliwa. (Allah ameshindwa kuilinda Zaburi )
Watasema Zaburi iliyoshushwa kwa Daud sio hii tuliyonayo sasa.

Na ukiwaambia wakuonyeshe Zabur halisi kutoka kwa allah. Hawana. 😎😎😎.

Shem Seran hivi unawaelewa
Hawa majamaa. Yaan kwao Kila kitu kimeshushwa.
Au msamiati wa "kushushwa" tunauelewa vibaya.
Sasa hapo hoja yako ipo wapi?
Zabur alipewa Daud kama wahyi na sasa hivi haipo simple tu
 
Wafuasi wa Muhamad wanakwambia Zabur alipewa Daudi. Huwa nashangaa sana nikisikia hizo story zao.

Pia kwao kuimba ni Haram lakini hawajui Mfalme Daudi alikuwa fundi wa muziki.

Zaidi wanadai Daidi ni Nabii...hivi Daudi siyo Mfalme tu?
Hata Biblia inasema Daudi ni Nabii inaonyesha hausomi vizuri Biblia au hauamini baadhi ya mafundisho ya Biblia
 
Wafuasi wa Muhamad wanakwambia Zabur alipewa Daudi. Huwa nashangaa sana nikisikia hizo story zao.

Pia kwao kuimba ni Haram lakini hawajui Mfalme Daudi alikuwa fundi wa muziki.

Zaidi wanadai Daidi ni Nabii...hivi Daudi siyo Mfalme tu?
Daudi huyu jamaa alikuwa hatari sana,alikuwa mbabe sana wa vita ,hajawahi kushindwa vita ,namfananisha na Netenyau ubishi wake ,anapenda sana vita

Jina Daudi Lina maana nyingine tofauti na ile ya kihebrania ,anaitwa pia man of War

Huyu jamaa alipendwa sana na Mungu sababu moja tu, hakuwa mnafiki ,

Mungu kampa Hadi mtaa huko mbinguni, ukisikia Sayuni ,basi huo ni mtaa wa Daudi huko mbinguni

Alikuwa nabii pia mfalme

Biblia inaonyesha Daudi kama Mfalme wa Israeli, lakini pia kama nabii kwa sababu Mungu alinena naye moja kwa moja na kupitia yeye akatoa unabii.

Yesu alimuita pia alimuita Daudi nabii

Yesu alisema

“Daudi mwenyewe alisema kwa Roho Mtakatifu…” (Marko 12:36)

Hii inaonyesha Daudi alinena kwa uongozi wa Roho wa Mungu, kitu kinachoonesha ni karama ya unabii.

Mitume pia walimwita Daudi nabii Petro alisema
“Ndugu, lazima itimie andiko ambalo Roho Mtakatifu alisema kabla kwa kinywa cha Daudi…” Matendo 1:16

“Kwa kuwa alikuwa nabii…” Matendo 2:30

Halafu Zaburi nyingi ni unabii
Daudi aliandika Zaburi nyingi ambazo ni unabii kuhusu Yesu ,kuhusu Israel,kuhusu matukio mengi sana , mfano
Zaburi 22 ni unabii wa mateso ya Yesu
Zaburi 110 ni unabii wa Masihi kukaa mkono wa kuume wa Mungu

Huyu jamaa naweza kumuelezea asubuhi mpaka jioni ,
FB_IMG_1769784492595.jpg
 
1. Muziki ni haram siyo haram?
2. Zaburi ilishushwa kwa Daudi haikushushwa?
3. Kwa nini Koran haiwajui wengine waluoshushiwa Zaburi kama Daudi?
Acha kukwepa tuzungumzie hilo swala la unabii wa Daudi kwanza
Wewe si unabisha?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom