Radio Butiama
Member
- Aug 27, 2006
- 21
- 4
Bara la Afrika lina kila kitu kuanzia ardhi kubwa yenye rutuba, maziwa makubwa, mito, madini, mazao na mbuga za wanyama. Vilevile bara la Afrika ni la pili kwa ukubwa na inasemekana binadamu wa kwanza aliishi Afrika.
Ingawaje Afrika inaongoza kwa kupewa misaada lakini ni bara linaloshika nafasi ya mwisho kwenye masuala mengi ya maendeleo? Je tatizo la waafrika ni nini? Ni vitu gani waafrika wanafaa kuvifanya ili kujikomboa? Je Waafrika Ndivyo Walivyo?
Dr. Malima Bundara mwandishi wa kitabu cha "Waafrika Ndivyo Walivyo?" anaelezea zaidi. Sikiliza.
Ingawaje Afrika inaongoza kwa kupewa misaada lakini ni bara linaloshika nafasi ya mwisho kwenye masuala mengi ya maendeleo? Je tatizo la waafrika ni nini? Ni vitu gani waafrika wanafaa kuvifanya ili kujikomboa? Je Waafrika Ndivyo Walivyo?
Dr. Malima Bundara mwandishi wa kitabu cha "Waafrika Ndivyo Walivyo?" anaelezea zaidi. Sikiliza.
Code:
http://butiama.podomatic.com/enclosure/2006-11-12T03_19_04-08_00.mp3