Miaka inavyozidi kusonga ndivyo waafrika wanazidi kuwa wapumbavu

UMUGHAKA

JF-Expert Member
Sep 1, 2021
2,157
10,718
Nisikuchoshe na usinichoshe,tusichoshane.

Huwa ninajaribu kuitazama Afrika(Bara)na watu waishio humo ndani hasa ngozi nyeusi nabaki kupata sintofahamu! Mimi ni mkristo na nina amini ya kwamba Mwanadamu ameumbwa na Mungu. Sasa huwa napata taabu sana kuona kwanini sisi waafrika tupo tofauti na jamii nyingine hasa weupe!. Utofauti ninao usema hapa ni kuhusu - MAAMUZI, AKILI, UTENDAJI na UTEKELEZAJI WA MAMBO.

Leo nitajikita zaidi kwa jamii hii ya watu weusi wapatikanao Tanzania.

Kadiri miaka inavyozidi kusogea na teknolojia ikiongezeka kwa kasi,ndivyo jamii hii ya watu weusi wakaao Tanzania ni kama AKILI nazo zinazidi kupungua kwenye vichwa vya watu!.

Dubai ni nchi ndogo sana ambayo ni muunganiko wa zile nchi zinazounda jumuia ya falme za kiarabu (Emirates), kiasili Dubai ni Jangwa lakini wanamaji ya uhakika masaa 24, siku 7, miezi 12 na miaka yote!

Naomba hapa niongeze sauti ili walioko baki bencha wasikie vizuri!.

"Dubai kiasili ni jangwa lakini wao kuhusu tatizo la maji wamebaki kulisoma kwenye vitabu na kuliona kwenye taarifa za habari ambazo nyingi huwa zinahusu Afrika"

Tanzania ambayo inakila kitu cha asili na iliyozungukwa na Maziwa makubwa,mito mikubwa,bahari na mabwawa ya kila aina lakini bado wananchi wake wanaendelea kuteseka kuhusu maji.

Hii ngozi sijajua aliyetuachia laana ambayo haifutiki milele zote ni nani! Je ni kwamba hatuna akili? Hili mbona kama nalikataa! Hivi ndugu zangu ni kweli hatuna akili? Ni kitu gani kinachotusumbua sisi ngozi nyeusi?.

Sasa kila mmoja wetu hapa anafahamu kwasasa jiji la Dar es salaam na viunga vyake kuna mgao mkubwa wa maji na umeme, nadhani kwasasa siyo Dar es salaam pekee bila shaka ni nchi nzima!.

Dunia ya leo ya Sayansi na Teknolojia eti tunategemea maji ya mto Ruvu ndiyo yanyweshe mamilioni ya wakaazi wa Dar es salaam, hivi kweli tuko serious? Hivi ni nani aliyeturoga? Hivi tumemkosea nini Mungu mpaka kutuadhibu kiasi hiki? yaani Dubai ambayo iko jangwani wanapata maji kwa uhakika lakini siye tuliozungukwa na kila aina ya maji tunakosa maji?

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam bil hata kuona haya na aibu anakaa kabisa mbele ya watu anasema ndugu zangu "Tumuombe Mungu ili mvua zinyeshe!"

Aisee hadi nashindwa kuandika!.

Kwani wale waarabu waliweza vipi kubadili yale maji chumvi kuwa maji ya matumizi ya kawaida? gharama yake ni kubwa kiasi gani hadi sisi kama taifa tushindwe kuafodi? ina maana akili za viongozi wetu ndiyo zimefika mwisho!

Leo Karne ya 21 maji tu ni shida kwenye jiji kubwa kama Dar es salaam, je huko vijijini hali ikoje?

Wenzetu kadiri miaka inavyosonga wanapanuka kiakili lakini sisi ngozi nyeusi pamoja na kwenda shule ndiyo kama akili zinarudi nyuma!.

Tanzania ni mfano tu lakini nchi karibia zote za kiafrika matatizo hufanana!

Aisee kiukweli nina mengi moyoni lakini ngoja niishie hapa, hata kuandika sasa imeniwia vigumu!
 
Viongozi ni zero brain hawana mipango endelevu miundo mbinu mizuri hawana ajabu kweli hata mwanza kuna maeneo hawana maji na ziwa kubwaaa lipo

Viongozi wa ccm ni bure na hovyo bora tutaliwe na wazungu vitu vinaweza kaa sawa sisi tumeshindwa au bado hatujafanikiwa kupata viongozi bora wenye uthubutu na machungu kwaajili ya wananchi
 
Ndio maana tunahitaji reset button iwe pressed ili nchi ianze upya, tatizo kubwa ni middle class wetu yaani wamejionyesha uzuzu wa hali ya juu katika kupambanua mambo, wengi wao hadi leo wanategemea hand out za ajira uchwara wa serikali, hii JF ile imekua laughing stock na hii mada itajadiliwa na watu wachache kuliko ingetoa mada ya ngono, metro ya Dar ina wakazi zaidi ya 6M na tunazidi ongezeka ila politicians wetu walikua hawafikiri ni jinsi gani ya kupambana na matatizo yanatokuja na urbanization, jiji letu lilitakiwa kuwa na man made dams kwa ajili ya kuvuna maji ya mvua na pia tungeweza kuvuta maji kutoka ziwa Nyanza hadi Dar, (jhb inapata maji mengi kutoka Lesotho),Capetown inategemea mabwawa, why sisi hadi leo tumtegemee Mungu atuletee mvua ndio tupate maji?,pia DAWASA maji mengi yanavuja kwenye systems zao zilizo haribika, nadhani tunapoteza zaidi ya 30%kwenye hizi leakage, hii sio shida kutambua hili
 
Viongozi ni zero brain hawana mipango endelevu miundo mbinu mizuri hawana ajabu kweli hata mwanza kuna maeneo hawana maji na ziwa kubwaaa lipo
Viongozi wa ccm ni bure na hovyo bora tutaliwe na wazungu vitu vinaweza kaa sawa sisi tumeshindwa au bado hatujafanikiwa kupata viongozi bora wenye uthubutu na machungu kwaajili ya wananchi
Hakuna zero brain anayeweza kuongoza mwenye akili. Ukiona Zero brain anakuongoza ujue yeye ana akili kukuzidi. Ushaona wapi ng'ombe akichunga kundi la masai?
 
Watakuja watu watakuambia kwamba Wana elimu sijui ni wasomi sana ...kazi kukariri huyo alibadilisha Dubai ndani ya mda mfupi kuwa nchi nzuri kiasi kile hana hyo elimu ya kukariri kuiba mitihani na kucopy assignments rushwa mpaka matokeo ya mwisho...Bongo kila mtu anajifanya msomi akijua kingereza tu basi anajiona anajua ila ubunifu zero ...Hii ndo chanzo cha matatizo makubwa yaani mtu akisikia kabila lake Lina wasomi yuko proud mbele za watu japokuwa hana hata uwakika wa kula siku iyo ...huu ndo ujinga unatugharimu ni better kutongoza kidekteta kwa kupatiwa maendeleo kuliko democracy ambao wanaojifanya wasomi wanaanzisha vyama ili kupiga pesa tu,!!!?

Better kuuungana kutatua matatizo ya nchi kuliko ujinga basi ni Bora tutafute mfumo wa nchi ilipata maendeleo haraka tukaiga kuliko kuendelea na mademokrasia yasiyo na maana
 
The brutal words of Richard Smith, famous British guitarist, during an interview.

I have been asked many times what I think of Africans, here is what I think of Africans, without language and without taboos.

They sell everything to the highest bidder, even the land. Then they poison themselves with everything that is edible.
I am not racist because I do not believe for a single second that I am superior to a black man. The difference with them is that we think of our descendants, we are calculators, we protect our interests and we'll kill for that if need be.

We are not emotional, we have passed this stage. If the lion has pity on the gazelle, it is he who will die of hunger. They have lions at home, but they do not understand the laws of nature.

For everything, they confide in superstition and religion. The difference between the others and blacks is, while others reflect, blacks do not think, they do not use their intellectual capacity and very few blacks are analytical.
And when a few black people pierce through, we admit them to our side or eliminate them in one way or another, most often, with the hand of other blacks.
We brought them our god and continuously invent fuzzy concepts to confuse them more.
In a hundred years, their descendants will be more slaves than they are now. They are already more unhappy than the generation of their parents, and they naively believe that numbers will be their strength.
Just watch how they drown at sea to come here. We conquered them with a few tens of ours and the active help of theirs.

We forced them to speak and write in our languages. We will control their descendants more than we control them right now.
Other people understood our game, they started to use the same technical knowledge as us to protect and dissuade, but the blacks did not understand anything.
I'm sorry to be so brutal in my franchise. Nothing personal, I'm just plain."
(Richard Smith)
 
Back
Top Bottom