Hahahahahahahaha! We have just read you between lines.......
Kile kisusio umekilamba sana aitheee?
Na kuria kwa kwenda mbele.
Hahahahahahahaha! We have just read you between lines.......
Kile kisusio umekilamba sana aitheee?
- Well, who is fusing? are you?
Wanatoka Rombo na Machame kwa Palestinas!
- Well said mkuu, maana hata ukikwepa maneno na vitendo vitakushitaki tu!
- Well, who is fusing? are you?
- Kubali tu who you are yaishe!
Mkuu FMES,
Maneno na vitendo gani hivyo mkuu? Wote tumetoka huko bara ukiachia Wazaramo wachache kwi kwi kwi!!!
Kuna bwana mmoja alikuwa anaona kuzaliwa Ocean road ilikuwa ni deal kubwa. Wakati ingelikuwa kwa wenzetu kuzaliwa kwenye matatizo na bado kufanikiwa ndio deal kubwa.
Labda tumeona mno umaskini na tusingependa kujihusisha na umaskini au failure yoyote. Hata mpira huko nyuma wote tulikuwa Yanga au Simba.
Huwa nawashangaa Wazungu, wanaumia na vitimu vyao vidogo, vinafungwa kila siku, lakini wamo tu. Mswahili ukija unachagua one of the big four.
Hii thread nzuri, asante Nyani kwa kuianzisha.
Mkuu FMES,
Maneno na vitendo gani hivyo mkuu? Wote tumetoka huko bara ukiachia Wazaramo wachache kwi kwi kwi!!! Kuna bwana mmoja alikuwa anaona kuzaliwa Ocean road ilikuwa ni deal kubwa. Wakati ingelikuwa kwa wenzetu kuzaliwa kwenye matatizo na bado kufanikiwa ndio deal kubwa.
Leo kazi ipo....😀
I am a Tanzanian. Never denied before and will never on earth!
Kwa wale wanaoishi Reading in London kuna lile Daraja lipo karibu na shopping mall center moja hivi then karibu kuna Nandos ile daraja kuna mtanzania alikuwa anafukuzwa na Police wa London aliamua kujirusha kule in a cold weather aisee ule mto ulikuwa umeganda akajitupa if ningekuwa mimi kwa kweli ningejisalimisa than kujitupa ndani ya mto si ndiyo natafuta kifo tena huko jamani au?...i think that was a tupid move.
Wewe Kelly01,
Usije ukawa uliniona mimi, napenda kwenda kujichana kuku Nandos, mswahili unajua Tanzania kuku ni dili basi ukija Ulaya kila siku ni makuku tu yaliyojaa sumu, unafikiri mjanja kumbe unajiua taratibu.
Wewe Kelly01,
Usije ukawa uliniona mimi, napenda kwenda kujichana kuku Nandos, mswahili unajua Tanzania kuku ni dili basi ukija Ulaya kila siku ni makuku tu yaliyojaa sumu, unafikiri mjanja kumbe unajiua taratibu.
- Unasema kuzaliwa Dar ni sawa na kuzaliwa Tukuyu, au?
Nyani kula kwanza hiyo Peter Tosh halafu uniambie maoni yako...
YouTube - Peter Tosh - African [RoXs]
haya nimekubali, naona umeamua kuwaua kabisa watu wa UK...