Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,091
- 136,650
Mi nilishazama mitaa ya kati hapo Yale, baada ya gugu gaga, yadi yada and this how Imma do you mama, nikawa tingas, nikaitiwa cab , nikaambiwa dereva mbongo lakini mamaa (mbongo) akasema wabongo wa Mbingu Mpya wambeya sana, especially wakijua wanaweza kuongea Kiswahili na wewe, kwa hiyo niuchune tu.
Kama kweli bwana, cabbie kufika akataka kujua nimetokea wapi.
Nikaua story na kumnyonga twiga bila kamba wala mzozo, nikaona kumbe lomolomo nyingine Kiswazi tu, ukileta ngeli washashi wanagwaya.
Ndiyo siku pekee niliyobadili asili, sehemu nyingine zote nadunda na kuanza intro pengine hata bila kuulizwa utafikiri ninalipwa na Tanzania Tourist Board.
Sasa kuna wale mabrazameni wakiwa wanamtokea demu, let's say wa Kimarekani au ki Brazil...utakuta wanasema eti wanatokea Jamaica. Sasa sijui kwa nini of all countries wanasema Jamaica. I don't know, maybe it's supposed to be a cool thing to hail from Jamaica....