Tunaweza kuwa wasema mengi na tukataa ukweli kuwa sisi waafrika hatuna mapya tunayofanya bali ni kupiga kelele kwa yale yaliyotendeka leo Taifa letu lina sera za chama badala ya sera za Taifa ambazo vyama vingekuwa vinatupa mchanganuo thabiti ya namna ya utekelezaji wa sera za taifa endapo kikishika madaraka ya nchi. Leo tuna serikali inayotekeleza sera za CCM badala ya kuwa na serikali yenye strategic za namna ya kutekeleza sera za Taifa za masuala mbali mbali ya Taifa je hata kama tuna siasa ya vyama vingi kilichotakiwa ni namna chama kimweza vipi kuongoza serikali kutekeleza sera za Kitaifa na siyo sera za chama kinachotawala ambapo mwisho wake tunaambiwa kuwa tukiamua kuchagua chama kingine ni kuwa tunachezea amani ya taifa je hiyo amani ni sera ya CCM ama ni sera ya Taifa kama taifa ambapo chama chochote kinapaswa kuonyesha misingi thabiti ya kuidumisha na siyo kuwa sera ya chama ???
sasa wapinzani pamoja na uchache wao wajenge hoja ya kuwa na sera za taifa zilizopo kwenye katiba ya Jamhuri wakija kwetu watupe mipango ya namna ya utekelezaji siyo sera za chama hiki kina sera hizi na sera zile hatutahitaji kazi iendelee ama kazi ianze tunataka kazi endelevu kufuata misingi tuliyojiwekea kama sera za Taifa !!!
sasa wapinzani pamoja na uchache wao wajenge hoja ya kuwa na sera za taifa zilizopo kwenye katiba ya Jamhuri wakija kwetu watupe mipango ya namna ya utekelezaji siyo sera za chama hiki kina sera hizi na sera zile hatutahitaji kazi iendelee ama kazi ianze tunataka kazi endelevu kufuata misingi tuliyojiwekea kama sera za Taifa !!!