ilboru1995
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 2,329
- 269
Tanzania tumekosa matumaini ktk kila nyanja za ki-maendeleo na tatizo kubwa kuliko lote ni la ki-utawala kuanzia kwa RAIS, MAWAZIRI hadi kwenye halmashauri zetu!! ... ukiongezea na ujinga na ukondoo wetu = UFUKARA, MARADHI, NJAA, VIFO VISIVYO KUWA VYA LAZIMA. Nionavyo mimi ni bora kuhalalisha utawala wa akina sinclair ambao ni wateule waje watutawale na kutuongoza kufika ktk nchi ile ya ahadi!!!!!!