Waafrika ndivyo tulivyo?

Waafrika ndivyo tulivyo?

Kwi kwi kwi kwi...

wewe Rev, haya mambo ya kilauri yametoka wapi tena! yaani umeshachoka tayari na unataka kutupa vyote (ugali na mboga).

Huu ni mwanzo tu na ninaamini kuna the whole new generation ya watanzania na waafrika ambayo itabadili haya ila kwa sasa kwa kweli inaumiza kukubaliana na Bundala kuwa waafrika ndivyo tulivyo......

Umesema ukweli mwafrika wa kike. Generation ya sasa ya Tanzania ina mwamko mkubwa na upeo wa kuona mambo ya mbali.

Na reverend anayoyadai yoote hayo yangekuwa au yangetekelezwa "almost to perfection" kama tungekuwa na viongozi na serikali yenye kujali wananchi wake. Haya...viongozi karibu wote wanaishi masaki, o'bay, etc, kwenye barabara maridadi, maji nakadhanlika. sasa watajua shida anopata mtanzania aishie manzese?

Reverend, title ya thred yako ingekuwa hivi.....Viongozi wetu...I mean Serikali ya Tanzania Ndivyo Ilivyo! Everything in your thread is very true for these two entities.
 
Umesema ukweli mwafrika wa kike. Generation ya sasa ya Tanzania ina mwamko mkubwa na upeo wa kuona mambo ya mbali.

Na reverend anayoyadai yoote hayo yangekuwa au yangetekelezwa "almost to perfection" kama tungekuwa na viongozi na serikali yenye kujali wananchi wake. Haya...viongozi karibu wote wanaishi masaki, o'bay, etc, kwenye barabara maridadi, maji nakadhanlika. sasa watajua shida anopata mtanzania aishie manzese?

Reverend, title ya thred yako ingekuwa hivi.....Viongozi wetu...I mean Serikali ya Tanzania Ndivyo Ilivyo! Everything in your thread is very true for these two entities.

Hakuna cha generation ya sasa wala ya zamani kama ndivyo tulivyo then we can't help it. Mimi mpaka nione mabadiliko ya kweli ktk kila nyanja nitaendelea kuamini Waafrika Ndivyo Tulivyo. I challenge all of you to prove me wrong.
 
Hakuna cha generation ya sasa wala ya zamani kama ndivyo tulivyo then we can't help it. Mimi mpaka nione mabadiliko ya kweli ktk kila nyanja nitaendelea kuamini Waafrika Ndivyo Tulivyo. I challenge all of you to prove me wrong.

Statement kama hizi ndiyo zinatufanya waafrika tuwe tunazunguka mduara tuuuuu, siku nenda-rudi...POVERTY, HOPELESS, POWERLESS and UNDERDEVELOPED. I do take your challenge sir! I do not believe that Waafrika ndivyo tulivyo! No way!

Mfano, angalia mizigo (baggage) na makovu wanayobeba wamarekani weusi mpaka kesho, unajua ni kwa sababu gani? Ni sababu wamekulia kwenye utumwa, na mpaka sasa wanagandamizwa/kubaguliwa na weupe...the result? See for yourself: welfare, gangsters, jobless, etc. Why, because they have been told that they are "nothing/useless/brainless" and many more things for so long that they actally believe it...they are living it! They have no confidence and have had so many doors closed on their faces that they just give up.

Sasa turudi kwa watanzania.....We have everything at our disposal. What DON't we need? We definitely don't need MAFISADI, that I know for sure. But what do we really need? We need progressive thinking, patriotism and hard work. we don't wanna hear "Waafrika...I mean Watanzania Ndivyo Tulivyo!". Because by agreeing with that statement, is to admit that even YOU are nothing...even what is happening here at JF is nothing. I don't think we are nothing....I KNOW WE ARE SOMETHING!
 
Statement kama hizi ndiyo zinatufanya waafrika tuwe tunazunguka mduara tuuuuu, siku nenda-rudi...POVERTY, HOPELESS, POWERLESS and UNDERDEVELOPED. I do take your challenge sir! I do not believe that Waafrika ndivyo tulivyo! No way!
Mfano, angalia mizigo (baggage) na makovu wanayobeba wamarekani weusi mpaka kesho, unajua ni kwa sababu gani? Ni sababu wamekulia kwenye utumwa, na mpaka sasa wanagandamizwa/kubaguliwa na weupe...the result? See for yourself: welfare, gangsters, jobless, etc. Why, because they have been told that they are "nothing/useless/brainless" and many more things for so long that they actally believe it...they are living it! They have no confidence and have had so many doors closed on their faces that they just give up.

Sasa turudi kwa watanzania.....We have everything at our disposal. What DON't we need? We definitely don't need MAFISADI, that I know for sure. But what do we really need? We need progressive thinking, patriotism and hard work. we don't wanna hear "Waafrika...I mean Watanzania Ndivyo Tulivyo!". Because by agreeing with that statement, is to admit that even YOU are nothing...even what is happening here at JF is nothing. I don't think we are nothing....I KNOW WE ARE SOMETHING!

Okay..prove me wrong then...
 
Duh, Nyani Ngabu wikiendi unaanza na challenge ngumu. Akili inatakiwa itulie mida hii mwanawane.
Rev. Kishoka, preach I say preach. Ila ushindwe kwa jina la......kilauri.
 
Yunic,

Punctuation ya ! as statement badala ya ? as question was done purposely to provoke a discussion.

Nafurahi umeanza kumjibu Nyani kuwa unaweza kupambana na challenge yake.

Lakini tayari naona kusalimu amri kwa kuanza kutupia lawama wengine badala ya watu kuchukua personal accountability.

Swali ni lini tutaacha kulaumu na kuishi kama "ndivyo tulivyo" na kuleta mabadiliko? je wewe uko tayari kuanza mabadiliko ambayo Nyani anayadai kama Tomaso ndipo aamini kwa kuanza badili mwenendo wako wa kuonekana "ndivyo ulivyo"?
 
Yunic,

Punctuation ya ! as statement badala ya ? as question was done purposely to provoke a discussion.

Nafurahi umeanza kumjibu Nyani kuwa unaweza kupambana na challenge yake.

Lakini tayari naona kusalimu amri kwa kuanza kutupia lawama wengine badala ya watu kuchukua personal accountability.

Swali ni lini tutaacha kulaumu na kuishi kama "ndivyo tulivyo" na kuleta mabadiliko? je wewe uko tayari kuanza mabadiliko ambayo Nyani anayadai kama Tomaso ndipo aamini kwa kuanza badili mwenendo wako wa kuonekana "ndivyo ulivyo"?


Rev,

Mimi niko tayari kwa mabadiliko, na ndio maana nimejiunga na JF. Na ninatumaini kwamba wengi wa wanaJF tupo hapa kwa sababu tunatamani, tunataka na tunafanya mabadiliko kwa njia moja au nyingine. I'm hoping that we are all after one thing, and that is a better Tanzania. Enjoy your weekend ;-)!
 
The man with the whip asks, “What’s your name?” The answer comes back, “Kunte Kinte.’ Down comes the whip. And again the question is asked, “What’s your name?” Defiantly, the answer once more is, “Kunte Kinte.” Over and over the same thing happens, What’s your name? What’s your name? My name is Kunte Kinte. My name is Kunte Kinte.
The lash keeps falling, and Kunte Kinte keeps proclaiming his name, until, bloodied and crying with pain, he whispers, “My name is Toby.” The lash comes down again, “I didn’t hear you. What’s your name?” Kunte Kinte raises his voice and says, “My name is Toby.”


SIVYO TULIVYO!, tumekubali kuambiwa ndivyo tulivyo hadi tumeamini kuwa ndivyo tulivyo! Na ni kwa sababu hii mgongano wa kifikra umetokea na ni mgongano huu unaothibitisha kuwa si wote wako hivyo.

Wale wenye mawazo ya "ndivyo tulivyo" ndio ambao wanashindwa kufikiri kuwa kuondokana na jembe la mkono hakuhitaji mtaalamu toka Japan ambaye tayari alikuwa nchini kwa shughuli nyingine! Ni wale wenye mawazo ya "ndivyo tulivyo" ndio ambao wanajikuta hawako tayari kusimama na kusema "mkataba huu siwezi kuusaini kwa sababu hauna maslahi kwa nchi yangu". Ni wale wenye mawazo ya "ndivyo tulivyo" ambao wakitumwa na nchi yao kufanya kitu wao hukifanya kwa kuboronga kwani wakifanya vizuri wataonekana tofauti!

Hii inanikumbusha mawazo ya baadhi ya vijana wamarekani weusi ambao wanalazimika ku"conform" na maisha yanayowazunguka ili wasionekane tofauti. Wasiposikiliza hip hop wanaonekana "sivyo walivyo"; wasipoitana the "n" word wanaonekana kuwa "sivyo walivyo" na wengine wamefikia mahali kuwa hata darasani wakionekana wanapasua basi wanaonekana sivyo walivyo! Vijana hawa kutokana na udhaifu wa uamuzi wanajikuta wanaanza kukubali kuwa "ndivyo walivyo".

Hivyo utamkuta kijana/binti aliyekuwwa mzuri katika tabia na masomo anapoanza kuact up na kuwa kama "ghetto booties' na "niggers" on the street! Hawa wanakubali kuishi kwa kuikubali stereotype kuwa watu weusi wako hivi au wako vile.

Ndio maana anapotokea mtu kama Dr. Bill Cosby na kuwaambia "you don't have to be the stereotype" watu wanadhani kawatukana; akisema watu weusi wanaweza kuwa tofauti anaonekana anaishushia hadhi nasaba yake!

Ni kwa sababu hiyo basi nakataa, napinga, sikubali, na sikutayari kuambiwa kuwa mtu mweusi "ndivyo alivyo"! Ninayakataa mawazo haya si kwa maneno tu bali pia kwa vitendo. Kwamba nikipata nafasi ya kuwa walipo hawa sitofanywa madudu waliyofanya wao! Lakini si mimi tu na wengine wengi ambao wanafahamu kuwa wanaweza kufanya tofauti!

Sasa aliyekubali kusalimu amri kwenye mawazo hayo ambayo msingi wake ni hisia duni za kitumwa ndiye ambaye hafai kukasimiwa madaraka au hata kupewa madaraka au nafasi yoyote ile kwani hawezi kubadilika.

Ndio maana haya nimeyaita mapambano ya kifikra! fikra dhaifu za kitumwa na zenye chembe ya mabaki ya ukoloni lazima zipingwe na kuoneshwa kuwa ni fikra dhaifu ni fikra za kitumwa na ni fikra zenye lengo la kuondoa utu na uthamani wetu kama wanadamu. Tukikubali kuwa "ndivyo tulivyo" tunakubali kuwa sisi si binadamu kamili na ya kuwa ndani yetu katika nasaba na mbari za wazazi wetu kuna makosa fulani yanayotufanya tuwe duni! Tukikubali kuwa "ndivyo tulivyo" tunakiri kwamba kuchukuliwa kwetu utumwa, kutawaliwa na kunyanyaswa kunakoendelea kufanyika leo hii ni kwa haki kabisa!

Ni lazima tuoneshe kwa vitendo vyetu kuwa "sivyo tulivyo". Hata hivyo endapo madudu yanayoendelea kufanyika katika bara la Afrika yatakuwa ni yale yale; kama matukio ya Kenya, Rwanda, Darfur, Somalia yataendelea kufanyika ni wazi kuwa tunawapa haki watu kutunyoshea vidole na kusema "waafrika ndivyo walivyo".

Kwa hili namshukuru Nyani Ngabu kwa sababu siyo tu amechochea mawazo lakini kwa hakika anatulazimisha tuchague upande. Kwamba tunakubali kuwa sisi ni duni (akiwamo yeye mwenyewe) na ya kuwa hatuwezi, na hatustahili kuweza au tunakataa stereotype hiyo na kuamua kwa dhati kuwa tofauti na bora zaidi. Si kwa sababu ya kuwaiga wengine bali kwa sababu sisi wenyewe kutambua thamani ya tofauti hiyo. Yaani, tusibadilike ili tufanane nao, bali tubadilike ili tushindane nao katika kila kitu kilicho bora!

Vinginevyo, kama vile manong'onezo ya usiku na mguso ambao ni mwiko; tutaanza kuamini maneno hayo kwamba ndivyo tulivyo. Na mwisho baada ya kuchapwa sana tukakubali kuitwa "Toby" na hivyo kukubali kuwa sisi ni mali ya mtu mwingine, na mtu huyo anaweza kuamua hatima yetu!

BINAFSI, SIKO HIVYO! NA SIKO KATIKA KUNDI LA WAAMINIO "NDIVYO TULIVYO".
 
Mwanakijiji, talk is cheap my friend! Ukatae au usikatae ukweli hautabadilika. Mimi ni mtu mwenye mawazo yaliyo wazi na yaliyofunguka tayari kukaribisha mawazo tofauti na mapya. Kama niliposema hapo awali nitaamini pale tu nitakapoona kwa matendo, kwamba kweli nilivyokuwa nadhania (Ndivyo Tulivyo) sivyo na kwa unyenyekevu nitapiga magoti na kuomba msamaha kuwa nilikuwa nimekosea kudhania nilivyokuwa nadhania. Na ninaposema nitaamini pale nitakapoona simaanishi kuona maroketi ya kwenda mwezini au sayari zingine. La hasha. Nazungumzia mambo ya msingi tu na ambayo wala sio magumu kuyafikia, kwa mfano, kujitosheleza kwa chakula, shule nzuri zenye vifaa, uangamizwaji wa magonjwa ambayo kwa kweli yanawezekana kuangamizwa na yako ndani ya uwezo wetu, n.k n.k.

Maneno matamu na ya ushawishi bila matendo au kitu kionekanacho kuyaunga mkono hayo maneno ni sawa na njozi za mchana. Kama wengi wenu humu mnavyojidai kuwa wahalisia nadhani mtakuwa mmenipata. Zaidi ya hapo mtakana weeeee lakini ukanaji huo utabaki kuwa ni jitihada za kuinua heshima zenu kama wanadamu tu na si zaidi ya hapo.
 
Mwanakijiji, talk is cheap my friend! Ukatae au usikatae ukweli hautabadilika. Mimi ni mtu mwenye mawazo yaliyo wazi na yaliyofunguka tayari kukaribisha mawazo tofauti na mapya. Kama niliposema hapo awali nitaamini pale tu nitakapoona kwa matendo, kwamba kweli nilivyokuwa nadhania (Ndivyo Tulivyo) sivyo na kwa unyenyekevu nitapiga magoti na kuomba msamaha kuwa nilikuwa nimekosea kudhania nilivyokuwa nadhania. Na ninaposema nitaamini pale nitakapoona simaanishi kuona maroketi ya kwenda mwezini au sayari zingine. La hasha. Nazungumzia mambo ya msingi tu na ambayo wala sio magumu kuyafikia, kwa mfano, kujitosheleza kwa chakula, shule nzuri zenye vifaa, uangamizwaji wa magonjwa ambayo kwa kweli yanawezekana kuangamizwa na yako ndani ya uwezo wetu, n.k n.k.

Maneno matamu na ya ushawishi bila matendo au kitu kionekanacho kuyaunga mkono hayo maneno ni sawa na njozi za mchana. Kama wengi wenu humu mnavyojidai kuwa wahalisia nadhani mtakuwa mmenipata. Zaidi ya hapo mtakana weeeee lakini ukanaji huo utabaki kuwa ni jitihada za kuinua heshima zenu kama wanadamu tu na si zaidi ya hapo.


NN, hivi kile kilichotokea Dodoma hukukiona?... yaani huoni dalili za watu kukataa kwa vitendo mawazo ya "ndivyo tulivyo"? hatujafika tunakotaka kufika na labda itachukua muda kidogo lakini vitendo vya watu kukataa mazoea hayo vimeanza kuonekana. Sasa siwezi kushangaa wengine inachukua muda kidogo kuona na ndio maana wengine inabidi tuvae contacts kuongeza uwezo wetu wa kuona. So, give it time my friend..
 
NN, hivi kile kilichotokea Dodoma hukukiona?... yaani huoni dalili za watu kukataa kwa vitendo mawazo ya "ndivyo tulivyo"? hatujafika tunakotaka kufika na labda itachukua muda kidogo lakini vitendo vya watu kukataa mazoea hayo vimeanza kuonekana. Sasa siwezi kushangaa wengine inachukua muda kidogo kuona na ndio maana wengine inabidi tuvae contacts kuongeza uwezo wetu wa kuona. So, give it time my friend..

Okay...I just want to be shown more than I can be told...

Kilichotokea Dodoma ni mazingaombwe kaka...jamaa anapeta na kapata mafao kibao like he's a king or something...

And I want to take this opportunity to make a pledge that if and when I'm proven wrong, I will change my signature to Waafrika Sivyo Tulivyo, Samahani kwa kuwatusi.....
 
Waafrika tulivyo vipi? Wezi? Waongo? Wavivu? Wajinga? Wazembe? Wazinzi? Tulivyo vipi, Mkuu?
 
Statement kama hizi ndiyo zinatufanya waafrika tuwe tunazunguka mduara tuuuuu, siku nenda-rudi...POVERTY, HOPELESS, POWERLESS and UNDERDEVELOPED. I do take your challenge sir! I do not believe that Waafrika ndivyo tulivyo! No way!

Mfano, angalia mizigo (baggage) na makovu wanayobeba wamarekani weusi mpaka kesho, unajua ni kwa sababu gani? Ni sababu wamekulia kwenye utumwa, na mpaka sasa wanagandamizwa/kubaguliwa na weupe...the result? See for yourself: welfare, gangsters, jobless, etc. Why, because they have been told that they are "nothing/useless/brainless" and many more things for so long that they actally believe it...they are living it! They have no confidence and have had so many doors closed on their faces that they just give up.

Sasa turudi kwa watanzania.....We have everything at our disposal. What DON't we need? We definitely don't need MAFISADI, that I know for sure. But what do we really need? We need progressive thinking, patriotism and hard work. we don't wanna hear "Waafrika...I mean Watanzania Ndivyo Tulivyo!". Because by agreeing with that statement, is to admit that even YOU are nothing...even what is happening here at JF is nothing. I don't think we are nothing....I KNOW WE ARE SOMETHING!

Hii statement ya "Waafrika ndivyo tulivyo" mimi naipinga kwa nguvu zangu zote. Kwanini watu mkubali kujidhalilisha wenyewe!? 😕

Ukiangalia hapa JF hatukubaliani na statement hiyo ya "Watanzania ndivyo tulivyo" hivyo turidhike na hali ya umaskini uliokithiri wa Watanzania wengi. Tuna rasilimali chungu nzima ambazo zinawanufaisha wazungu Hapa JF tumegundua kwamba Tanzania sio nchi maskini kama ambavyo viongozi wetu uchwara wanavyotaka tuamini.

Tutakuwaje maskini wakati tunawaona viongozi mafisadi wakiwa mabilionea. Tutakuwaje maskini wakati tunaona makampuni chungu nzima ya kutoka nchi matajiri yanataka 'kuwekeza' Tanzania. Kitu gani kilichowavutia katika nchi hii maskini ya kutupa duniani? 😕

Tuna viongozi uchwara na pia mafisadi lakini waafrika wengi tungependa kuona Waafrika wote wanapiga hatua kubwa kimaendeleo, lakini tatizo letu kubwa ni viongozi uchwara wanaojivika ngozi ya uongozi kila kukicha ili kufanya ufisadi wao.

Mkiendelea kujidharau wenyewe hapa duniani kwa kauli kama hizo za "Waafrika/Watanzania ndio tulivyo" basi hakuna race yeyote hapa duniani itakayowaheshimu. Msipojiheshimu mtadharaulika
 
Hii statement ya "Waafrika ndivyo tulivyo" mimi naipinga kwa nguvu zangu zote. Kwanini watu mkubali kujidhalilisha wenyewe!? 😕

Tuna rasilimali chungu nzima ambazo zinawanufaisha wazungu Hapa JF tumegundua kwamba Tanzania sio nchi maskini kama ambavyo viongozi wetu uchwara wanavyotaka tuamini.

Tutakuwaje maskini wakati tunawaona viongozi mafisadi wakiwa mabilionea. Tutakuwaje maskini wakati tunaona makampuni chungu nzima ya kutoka nchi matajiri yanataka 'kuwekeza' Tanzania. Kitu gani kilichowavutia katika nchi hii maskini ya kutupa duniani? 😕

Tuna viongozi uchwara na pia mafisadi lakini waafrika wengi tungependa kuona Waafrika wote wanapiga hatua kubwa kimaendeleo, lakini tatizo letu kubwa ni viongozi uchwara wanaojivika ngozi ya uongozi kila kukicha ili kufanya ufisadi wao.

Kuna kufikiria kuwa "ndivyo tulivyo" na kuna matendo ya kuthibitisha "ndivyo tulivyo" na hatimaye kuishi "kama tulivyo"

Je kuendelea kuwa na viongozi Mafisadi na Serikalii butu ni makosa ya nani? Y a Raisi, Mwenyekiti wa Chama au ni makosa ya Rev, Bubu, Mwk na Mwanakijiji?
 
Napenda kusema naungana mkono na Mzee Mwanakijiji na Mheshimiwa Bubu. Nimeshindwa kuwashukuru nadhani kuna tatizo.
 
Back
Top Bottom