Waafrika ndivyo tulivyo?

Waafrika ndivyo tulivyo?

Japo Mr.Watson alikwisha omba radhi kwa kauli zake dhidi ya watu weusi,waheshimiwa wameamua apumzike.Huyu jamaa inawezekana hakuwa sahihi kisayansi,lakini labda tujiuluze,kuna uhusuano wa matendo na utendaji au kiepedemiologia na rangi?maana pamoja na mali nyingi ya aasili tuliyonayo bado tu ombaomba

link:[media]http://news.yahoo.com/s/ap/20071025/ap_on_sc/controversial_scientist[/media]


Controversial DNA scientist retires
By MALCOLM RITTER, AP Science Writer 25 minutes ago

NEW YORK - James Watson, famous for DNA research but widely condemned for recent comments about intelligence levels among blacks, retired Thursday from his post at a prestigious research institution.

Watson, 79, and the Cold Spring Harbor Laboratory in New York announced his departure a week after the lab suspended him. He was chancellor of the institution, and his retirement took effect immediately.

Watson shared a Nobel Prize with Francis Crick and Maurice Wilkins in 1962 for co-discovering the structure of the DNA molecule. He is one of America's most prominent scientists.

In his statement Thursday, Watson said that because of his age, his retirement was "more than overdue. The circumstances in which this transfer is occurring, however, are not those which I could ever have anticipated or desired."

Watson, who has a long history of making provocative statements, ran into trouble last week for remarks he made in the Sunday Times Magazine of London. A profile quoted him as saying that he's "inherently gloomy about the prospect of Africa" because "all our social policies are based on the fact that their intelligence is the same as ours — whereas all the testing says not really."

He said that while he hopes everyone is equal, "people who have to deal with black employees find this is not true." He also said people should not be discriminated against because of their color, adding that "there are many people of color who are very talented."

Watson later apologized. But by then, London's Science Museum had canceled a sold-out lecture Watson was to give there, and London's mayor had branded the comments "racist propaganda."

In the United States, the Federation of American Scientists said Watson was promoting "personal prejudices that are racist, vicious and unsupported by science." And the Cold Spring Harbor lab said its board and administration "vehemently disagree with these statements and are bewildered and saddened if he indeed made such comments."

The lab suspended Watson's administrative duties last Thursday.

Watson had served at the lab for nearly 40 years, having been named director in 1968. He was its president from 1994 to 2003.


On the Net:

Cold Spring Harbor Laboratory: [media]http://www.cshl.org[/media]
 
.......
However now in an ironic twist of fate, African countries are begging Europeans to return as investors. But this time the bargaining chips are all in European hands. The contracts are negotiated in 90% and 10% in favor of Europeans. Africans complain about these contracts, Europeans say either accept the 10% deal or starve. LOL! What a pickle Africans have found themselves in. Some Africans grow even more frustrated and line at the embassies of the same Europeans they removed 50 years ago begging for Visas to live in their countries. Some African leaders still do not learn this lesson to this day. Mugabe ejects White farmers that supported the economy and fed the people. The country's economy plummets to over 1000% inflation rate. A Zimbabwean millionaire is worth about one Euro!! Amazing indeed, people are eating rats just to keep from starving. Some Africans never learn perhaps deep down they can't run their own affairs.......

.

The Truth,

Whilst in agreement with a number of issues you raised, I'm not on above highlighted issue. When it comes to cultures and food, I'll travel the extra mile in defence of what I believe in!!

I do not eat rats and I can confidently say that none in my family does! However, I'll vehemently defend traditional rat-eaters and the likes following your remarks above(in red) and the sentiments you are fervently trying to perpetuate in that statement alone.

In the situation you describe, I'll agree with you to a great extent if only you proved to me that those currently eating rats (in that region) have not done so before the economic situation in their country plummeted, which would simply mean they are doing so as a last resort. Otherwise, I'll be forced to believe that you are somewhat ignorant to cultures and traditions or lack the know how to respect the two let alone give dispassionate opinion about.

With so many customs around the world, perhaps it would be ideal for you to have a look at the following videos to expand your acceptance of things in other societies (again, perhaps further your own IQ as your comment seems to suggest).

Sehemu fulani huko India mimba za mbuzi ni msosi pia:

http://video.nationalgeographic.com/video/player/places/culture-places/food/india_goatfetus.html

Thailand wao 'swila' ni msosi pia:

http://video.nationalgeographic.com/video/player/places/culture-places/food/thailand_cobra.html

Huko Togo, wanatafuta panya kwa udi na uvumba:

http://video.nationalgeographic.com/video/player/places/countries-places/togo/togo_eatingrat.html

Wengine huko Marekani wameanza kula wadudu, kama vile wengine tunavyokula senene na kumbikumbi.

http://video.nationalgeographic.com/video/player/places/culture-places/food/us_insects.html


103ybg7.jpg

6og08p.jpg

2h3yh3c.jpg

2whfsrd.jpg


Panya kama kitoweo, Thailand. Picha kutoka internet.

erafir.jpg

Panya kama kitoweo, Tanzania. Picha hisani ya Michuzi Blog.


One man's meat is another man's poison! (And some say, anything that has legs is safe to eat, except for tables and chairs!!!!  Lol)

As a matter of fact, why don't you put to use the intelligence you have by capitalising on the predicaments of those Zimbabweans?! Ooh yes, take advantage of the situation and export rats to them!

Talking about intelligence, what a quandary; no wonder those misusing it in social concepts resolve to resigning!

Wana JF, samahani kama nimetoka nje ya topic kwa kupost hizo picha na kutetea mambo ya ‘misosi'!

SteveD.
 
Nigerian agrees with Professor Watson

Nigeria: I Agree With Dr Watson

Daily Trust (Abuja)

OPINION
25 October 2007
Posted to the web 25 October 2007

Idang Alibi


A few days ago, the Nobel Laureate, Dr James Watson, made a remark that is now generating worldwide uproar, especially among the blacks.

He said what to me looks like a self-evident truth. He told The Sunday Times of London in an interview that in his humble opinion, black people are less intelligent than the White people.


Since then, some of us cannot hear anything else but the outrage of black people who feel demeaned by what Watson has said. So many people have called the man names. To be expected, some have said he is a racist. Some even wonder how a "foolish" man like Watson could have won the Nobel Prize. Even white people who, deep in their heart, agree with Watson want to be politically, correct so they condemn the man.

Why are we blacks becoming so reactive, so sensitive to any remarks, no matter how well-meaning, about our failure as a race? Why are we becoming like the Jews who see every accusation as a manifestation of anti-Semitism? I do not know what constitutes intelligence. I leave that to our so-called scholars. But I do know that in terms of organising society for the benefit of the people living in it, we blacks have not shown any intelligence in that direction at all. I am so ashamed of this and sometimes feel that I ought to have belonged to another race.

Nigeria my dear country is a prime example of the inferiority of the black race when compared to other races. Let somebody please tell me whether it is a manifestation of intelligence if a people cannot organise a free, fair and credible election to choose who will lead them. Is it intelligence that we cannot provide simple pipe-borne water for the people? Our public school system has virtually collapsed. Is that a sign of intelligence? Our roads are impassable. In spite of the numerous sources that nature has made available to us to tap for energy to run our industries and homes, we have no steady supply of electricity. Yet electricity is the bedrock of industrialisation. When you agree with the school of Watson, some say you are incorrect because all these failures are a result of poor leadership. Why must it be us blacks who must always suffer poor leadership? Is that not a manifestation of unintelligence?

In the name of international trade, bilateral co-operation, globalisation and other subterfuges, the norm in the world today is for smart people to appropriate the wealth of other people for themselves and their countries. But more among the blacks than any other race, the practice is to steal from their own country and salt away to other people's country. Is it intelligence that our leaders steal billions of naira and hide in other people's country?

Anywhere in the world today where you have a concentration of black people among other races, the poorest, the least educated, the least achieving, and the most violent group among those races will be the blacks. When indices of underdevelopment are given, black people and countries are sure to occupy the bottom of the ladder. If we are intelligent, why do we not carry first when statistics of development are given?

Look at the African continent. South Africa is the most developed country because of the presence of whites there. This may be an uncomfortable truth for many of us but it exists nevertheless. If the whites had been driven away after independence, we would have seen a steady decline of that country.

In terms of natural endowment, Africa ought to be the richest of the continents but see the mess we have made of the potential for greatness which God in his infinite wisdom has bestowed upon us. We have proved totally incapable of harnessing the abundant natural resources to become great. Today, there is a renewed scramble for the wealth of Africa. China, our new "friend", does not bother about the genocide against fellow blacks in the Sudan by the Arabs who control the affairs of that country. They say they do not want to interfere in the internal affairs of any country. All they want is the oil in Sudan to run their industries. Yet, we blacks have not seen the Chinese action as an affront to our sensitivities. Every race takes us for granted because we are so weak and so foolish, if you permit me to say it.

I am really pained by our gross underachievement as a race. Instead of regarding bitter truths expressed by the likes of Watson as a wake-up call for us to engage in sober reflection, we take to the expression of woolly sentiment. For me, this type of reaction is a further evidence of our unintelligence. A man of intelligence recognises genuine criticism against him and takes steps to improve himself in order to prove his critics wrong. But for us blacks, our reaction is to abuse the man who expresses worries about our backwardness.

Other races are deeply worried about us because we are a problem to the world. We suffer from the five Ds: disorderliness, debts, diseases, deaths and disasters. Our disorderliness affects others or else they won't be too bothered about us. Many are afraid because our diseases could infect them. Polio has been eradicated all over the world yet it is still found in Nigeria here. When they give us money to help us eradicate it, our thieving officials will embezzle the money; the virus will spread and endanger the health of not only our people but other people as well.

Out of a shared sense of humanity, some cannot bear to see how we die in thousands almost every day from clearly preventable diseases and causes. For years now, our people die extremely painful but perfectly preventable deaths from buildings which collapse because they were poorly constructed. How can you tell me we are as intelligent as others when we set traps for ourselves in the name of houses and others do not do so? Some people are extremely frustrated about us. If they have a way of avoiding us, they will be too glad to do so because we are a problem.

As I write this, I do so with great pains in my heart because I know that God has given intelligence in equal measure to all his children irrespective of the colour of their skin. The problem with us black people is that we have refused to use our intelligence to organise ourselves socially and politically.

It should worry us that we do not invent things. We do not go to the moon. Our societies are not well-organised. We have the shortest lifespan of all the races. Something must be wrong with us. Why are we not like others? Our scholars will be quick to say that these are not the only ways of measuring intelligence. They will quote other scholars to adumbrate their point, but the fact remains that we are not showing intelligence. Others are showing it more than we're doing. If they are not more intelligent than we are, let someone tell me how to put it. God himself must be frustrated with his black children. They must be an embarrassment to him. He has given us everything he has given to other of his children; why are his black children not manifesting their own gift?

A few years ago, the whites used to contemptuously call the Japanese "little Japs". Today, the Japanese and other Asians have pulled themselves up by the bootstrap and have arrived. No one speaks of the Japanese or Asians with contempt anymore. When people like Watson speak about us in unedifying terms, we should take it as a challenge to prove them wrong by sitting down to plan how we can become world-beaters.

If our political leaders are the reason for our backwardness, we should resolve to get the kind of leaders who will be instrument for our rapid progress. I may not know how intelligence is measured but my limited knowledge of intelligence is that it can also be measured by the kind of leaders a people decide to have. If, for instance, our professors preside over the massive rigging of elections, it means that we do not have very intelligent professors. Such rigged elections will no doubt produce unintelligent leaders. Such unintelligent leaders will do stupid things which will prove that we are not as intelligent as other races. Do I sound confusing or intelligent?

I am ready for some of our 'patriotic' intellectuals who will write and abuse me for the 'outrage' I have expressed here but I stick to my guns: we lack intelligence and as stated in the Bible, anyone who lacks intelligence should cry unto God who is the custodian of wisdom to bestow some upon him. We should go on our knees today and ask God why we do not appear as intelligent as our other brothers. I am confident God will reveal to us what we must do, and urgently too, to change our terribly unflattering circumstances.

http://allafrica.com/stories/200710250639.html
 
SteveD,

Perhaps eating rats was a wrong example to give, but I think at least judging from your post you got the main point I was raising, no?
 
Yeah...everything tastes like chicken.....even the kitty (if u know what I mean)

he he he, are you sure dawg, i thought at most it tastes like bacon or ham for a neat one.......(no offence to none eaters)

SteveD.
 
he he he, are you sure dawg, i thought at most it tastes like bacon or ham for a neat one.......(no offence to none eaters)

SteveD.

Mhhh...okay...maybe some of them taste like chicken, some taste like ham, others taste like bacon...guess they come in assortment flavors...you know we all have different taste buds that tend to change with age...
 
SteveD,

Perhaps eating rats was a wrong example to give, but I think at least judging from your post you got the main point I was raising, no?

Yes Sir!

A lot to agree with, some questionable and some disagreeable. Thanx.

SteveD.
 
Mhhh...okay...maybe some of them taste like chicken, some taste like ham, others taste like bacon...guess they come in assortment flavors...you know we all have different taste buds that tend to change with age...

...change with age, NO! Perhaps with frequency and rate, or experience for that matter......it's a universal taste for what I know! The only assortment criteria used is colour....but flavor-wise, noo..... a neat one will taste like ham regardless of age..

SteveD.
 
...change with age, NO! Perhaps with frequency and rate, or experience for that matter......it's a universal taste for what I know! The only assortment criteria used is colour....but flavor-wise, noo..... a neat one will taste like ham regardless of age..

SteveD.

Mhhh....sounds like you have a ton of experience in this realm...
 
mie saa nyingine naamini bana waafrika mazuzu na hiyo imekuwa prooved hapa !
 
Miaka michache iliyopita kilitoka kitabu kinacho uliza: Waafrika Ndivyo Tulivyo?

Sikupata bahati ya kusoma nakala yake lakini nilisikiliza maoni ya mwandishi katika radio Butiama na vile vile maoni ya watanzania katika forums zetu.

Kwa walipo bongo, je kulikuwa na mafanikio yoyote ya kitabu hiki kwa upande wa penetration katika jamii, mijadala n.k. Au hatima ya kitabu ilikuwa sawa project za wanafunzi zinazoishia katika maktaba za shule?

Nina draft ya kujibu kitabu hicho na hapa sehemu ya draft yangu ambayo ningependa kuifanyia utafiti.

Katika maendeleo ya kisasa wataalamu walisomea na kubobea fani mbalimbali ni kitu muhimu sana. Waliodai uhuru kwa miaka 40 sasa wanasema kuwa hawakuweza kusukuma mbele gurudumu la nchi kwa sababu mkoloni hakuacha wataalamu wazawa wenye digrii.

Bila kuangalia vyanzo vingine vya maendeleo na kuangalia wataalamu tu kama moja ya chanzo cha maendeleo. Ni kiwango gani cha chini kabisa nchi kama Tanzania inahitaji hili maendeleo ya kisasa yaanze ku-KICK?
 
Bila kuangalia vyanzo vingine vya maendeleo na kuangalia wataalamu tu kama moja ya chanzo cha maendeleo. Ni kiwango gani cha chini kabisa nchi kama Tanzania inahitaji hili maendeleo ya kisasa yaanze ku-KICK?

Kabla ya kujitosa, ni kiwango cha nini unachozungumzia hapa? Naomba ufafanuzi zaidi.
 
Napenda niukuu ile slogan ya Nyani Ngabu na kuurudisha mjadala ambao ulishafungwa na labda tukipata wakti kuuangalia upya tunaweza kubadili fikira zetu na kuulizana jee sisi ndivyo tulivyo? matendo yetu, tabia zetu, fikira zetu, hulza zetu, utamaduni wetu, kufanya kazi kwetu, kuridhika kwetu, kulalamika kwetu, utegemezi wetu, uvivu wetu?

Jambo lililonisukuma kuanza jiuliza swali hili tena ingawa sikushiriki mjadala uliopita au kupitia kitabu cha Bundala kama kilivyoletwa na Zanaki wa Radio Butiama ni mambo kadhaa na tabia za "kawaida" katika jamii yetu na hata hapa kijiweni.

Wenzetu wazungu, ugumu wa maisha kutokana na hali yeyote, milele umekuwa ni kichocheo cha wao kuwa wachapa kazi, wavumbuzi, watafiti na kuendelea kutafuta suluhisho la matatizo yao au kuongeza ufanisi kupunguza ugumu na makali ya maisha au uchapa kazi. Mafanikio yao si kabisa au kamili (absolute/perfect), lakini husaidia sana kuleta mabadiliko na maendleo katika maisha na jamii zao na hivyo kuendelea kuwa na hali nzuri za maendeleo mpaka tunawanyeyekea na kuwaita "Nchi Matajiri".

Sisi tumedumaa, je ndivyo tulivyo?

Sasa hivi tumeletewa Mjapani yupo Ikulu kutushauri na kutufundisha jinsi ya kuachana na jembe la mkono, je Aisco, UFi, Ushirika, SUA, TFA, Kilimo wako wapi? je hawaoni umuhimu wa kuleta maendeleo na kuleta zana mpya za kuongeza ufanisi na uzalishaji mali mpaka tuletemwe taarishi kutoka Ajemi au Mashariki ya mbali? je sisi ni wavivu wa ubunifu na hatuna wataalamu wa kutosha au ndivyo tulivyo twashukuru kusaidiwa mpaka Chandarua?

Hujuma; ATC, BOT, Richmond, TISCAN na sehemu nyingine, jami tunapiga kelele na kushindana kutoa mapovu, lakini hakuna hata mmoja wetu ambaye yupo tayari kusema ngoja niende mahakamani na kudai haki kama Katiba inavyosema. Tumeachia Serikali "ifanye kazi huku tukiendelea kufaidi kupiga kelele na kutoa matusi na kashfa, "Chenge fisadi, Lowassa mhujumu, Screw Muungwana, Riziwani, Manji, Rostam, Othman, Bangusilo" na majina kibao kulia hujuma, ufisadi, Sisiemu, je hii ndio tabia yetu kuishia kulalama na kuendelea kunyanyaswa? je ni hali yetu ya ndivyo tulivyo inayofanya tuendelee kuhujumiwa?

Wakati wa sakata la maji Chuo Kikuu, niliuliza kwa nini Idara ya Uhandisi pale Chuo isiwe ya kimapinduzi na kufanya utafiti wa kina (utumike kama somo kwa wanafunzi na wapeme maksi kwa kushiriki) na kutafuta suluhisho la uhaba wa maji ambalo limetawala Chuo Kikuu kwa miaka mingi? Majibu yakaja Sisiemu, UDSM sio chuo tafiti, ooh Msola na lawama kibao! Je ndivyo tulivyo?

I would have thought kwamba Idara na wanafunzi wa Uhandisi wangekutana na Chuo cha maji, chuo cha ardhi na idara ya Jiolojia pale UDMS na kusema, jamani tutumie "talanta" (kama in Maryam anavyosema) tutafute mbinu za kuleta maji, iwe ni kuchimba visima, kuweka mabomba ya kiwango fulani, kutengeneza pampu au hata kutumia nyezno zote kutafuta namna ya kutumia lita 10 kupata mafanikio ya kutumia lita 30 za maji(efficiency)! Lakini kama Tulivyo, tunailaumu Dawasco, Azimio, CCM na Mafisadi!

NI lini basi tutaacha kuwa "ndivyo tulivyo"? Je tuna hata nia ya kuachana na dhana na fikira hizo za "Ndivyo Tulivyo"? maana ni mentality ya namna hii imetufanya tuendeleel kuwa tegemezi, kuhitimu katika uvivu, kuendelea kunyonywa na kupunjwa na mwishowe tumeanza kudhulumiana na kutafuna njia panya na za haraka kujipatia marudufu.

Huu Ufisadi, Uhujumu, Uzembe na Kunyonywa kungeendelea kutoea kama tungeamka na kusema "hivi sivyo tulivyo" na kuanza kufanya mambo kwa njia za maendeleo kama Wazungu, Waasia na Wamarekani kusini?

"Ndivyo Tulivyo" wikiendi njema kwenye kupata Kilauri, nyama choma, Ikibinda nkoi na Poozeo la kugombea baa (bamedi kama si changudoa)! Ndivyo tulivyo!
 
Napenda niukuu ile slogan ya Nyani Ngabu na kuurudisha mjadala ambao ulishafungwa na labda tukipata wakti kuuangalia upya tunaweza kubadili fikira zetu na kuulizana jee sisi ndivyo tulivyo? matendo yetu, tabia zetu, fikira zetu, hulza zetu, utamaduni wetu, kufanya kazi kwetu, kuridhika kwetu, kulalamika kwetu, utegemezi wetu, uvivu wetu?

Jambo lililonisukuma kuanza jiuliza swali hili tena ingawa sikushiriki mjadala uliopita au kupitia kitabu cha Bundala kama kilivyoletwa na Zanaki wa Radio Butiama ni mambo kadhaa na tabia za "kawaida" katika jamii yetu na hata hapa kijiweni.

Wenzetu wazungu, ugumu wa maisha kutokana na hali yeyote, milele umekuwa ni kichocheo cha wao kuwa wachapa kazi, wavumbuzi, watafiti na kuendelea kutafuta suluhisho la matatizo yao au kuongeza ufanisi kupunguza ugumu na makali ya maisha au uchapa kazi. Mafanikio yao si kabisa au kamili (absolute/perfect), lakini husaidia sana kuleta mabadiliko na maendleo katika maisha na jamii zao na hivyo kuendelea kuwa na hali nzuri za maendeleo mpaka tunawanyeyekea na kuwaita "Nchi Matajiri".

Sisi tumedumaa, je ndivyo tulivyo?

Sasa hivi tumeletewa Mjapani yupo Ikulu kutushauri na kutufundisha jinsi ya kuachana na jembe la mkono, je Aisco, UFi, Ushirika, SUA, TFA, Kilimo wako wapi? je hawaoni umuhimu wa kuleta maendeleo na kuleta zana mpya za kuongeza ufanisi na uzalishaji mali mpaka tuletemwe taarishi kutoka Ajemi au Mashariki ya mbali? je sisi ni wavivu wa ubunifu na hatuna wataalamu wa kutosha au ndivyo tulivyo twashukuru kusaidiwa mpaka Chandarua?

Hujuma; ATC, BOT, Richmond, TISCAN na sehemu nyingine, jami tunapiga kelele na kushindana kutoa mapovu, lakini hakuna hata mmoja wetu ambaye yupo tayari kusema ngoja niende mahakamani na kudai haki kama Katiba inavyosema. Tumeachia Serikali "ifanye kazi huku tukiendelea kufaidi kupiga kelele na kutoa matusi na kashfa, "Chenge fisadi, Lowassa mhujumu, Screw Muungwana, Riziwani, Manji, Rostam, Othman, Bangusilo" na majina kibao kulia hujuma, ufisadi, Sisiemu, je hii ndio tabia yetu kuishia kulalama na kuendelea kunyanyaswa? je ni hali yetu ya ndivyo tulivyo inayofanya tuendelee kuhujumiwa?

Wakati wa sakata la maji Chuo Kikuu, niliuliza kwa nini Idara ya Uhandisi pale Chuo isiwe ya kimapinduzi na kufanya utafiti wa kina (utumike kama somo kwa wanafunzi na wapeme maksi kwa kushiriki) na kutafuta suluhisho la uhaba wa maji ambalo limetawala Chuo Kikuu kwa miaka mingi? Majibu yakaja Sisiemu, UDSM sio chuo tafiti, ooh Msola na lawama kibao! Je ndivyo tulivyo?

I would have thought kwamba Idara na wanafunzi wa Uhandisi wangekutana na Chuo cha maji, chuo cha ardhi na idara ya Jiolojia pale UDMS na kusema, jamani tutumie "talanta" (kama in Maryam anavyosema) tutafute mbinu za kuleta maji, iwe ni kuchimba visima, kuweka mabomba ya kiwango fulani, kutengeneza pampu au hata kutumia nyezno zote kutafuta namna ya kutumia lita 10 kupata mafanikio ya kutumia lita 30 za maji(efficiency)! Lakini kama Tulivyo, tunailaumu Dawasco, Azimio, CCM na Mafisadi!

NI lini basi tutaacha kuwa "ndivyo tulivyo"? Je tuna hata nia ya kuachana na dhana na fikira hizo za "Ndivyo Tulivyo"? maana ni mentality ya namna hii imetufanya tuendeleel kuwa tegemezi, kuhitimu katika uvivu, kuendelea kunyonywa na kupunjwa na mwishowe tumeanza kudhulumiana na kutafuna njia panya na za haraka kujipatia marudufu.

Huu Ufisadi, Uhujumu, Uzembe na Kunyonywa kungeendelea kutoea kama tungeamka na kusema "hivi sivyo tulivyo" na kuanza kufanya mambo kwa njia za maendeleo kama Wazungu, Waasia na Wamarekani kusini?

"Ndivyo Tulivyo" wikiendi njema kwenye kupata Kilauri, nyama choma, Ikibinda nkoi na Poozeo la kugombea baa (bamedi kama si changudoa)! Ndivyo tulivyo!

Kwi kwi kwi kwi...

wewe Rev, haya mambo ya kilauri yametoka wapi tena! yaani umeshachoka tayari na unataka kutupa vyote (ugali na mboga).

Huu ni mwanzo tu na ninaamini kuna the whole new generation ya watanzania na waafrika ambayo itabadili haya ila kwa sasa kwa kweli inaumiza kukubaliana na Bundala kuwa waafrika ndivyo tulivyo......
 
Back
Top Bottom