Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,344
- 5,938
Afrika itabaki kuwa Afrika tu, hususani hapa Tanzania. Nimefuatilia katika social media's za bongo, aise ni kama vile walikua wanatafuta vijisababu kutoka kwa hawa ndugu zetu Waarabu (Morocco) ili wapatiamo cha kusema/kuwatukana na kulialia.
Unakuta mwanaume mzima anawakandia wanaume wa Morocco, huyo huyo anaejiita mwanaume anawashabikia ufaransa wanaopromoti ushoga, huyo huyo anaejiita mwanaume anashabikia timu sababu ina weusi.
Unaacha kushabikia Waafrika wenzio unashabikia Wazungu, eti kwa sababu ina mchanganyiko na wasaliti walio ukana uraia wao! Waafrika wengi wao wana tabu mno, ALEYOMBBA GEKKE waafrika wengi wao wana tabu, sio ubaguzi tu bali na ukatili pia tunao. Naomba nisieleweke vibaya👉watu weusi wengi wao ni wabaguzi, wakatili na wanaroho mbaya. Tujirekebishe.
Na nimekuja kuamini haya, that day walipokutana Egypt na Senegal asilimia kubwa ya mashabiki wa Kibantu walikua upande wa Senegal. Leo hii anakuja Mbantu kulialia ya Morocco lakini hakumbuki ya Egypt na Senegal n.k.
Kwani Morocco wana kosa gani? Si wanapigania nchi yao? Hapo kosa lipo wapi? Wao wapo kwa ajili ya nchi yao na watu wao, lakini kuna wabantu wanalialia. Tuacheni ubaguzi.
So, hapa nachoona, kinachoangaliwa ni rangi especially waarabu, watu ambao walibarikiwa, mtawachukia, mtawabagua na kuwasema vibaya lakini hakibadiliki chochote dhidi yao, watabaki kuwa watu wakarimu, wana imani, na wavumilivu kwa haya wanayopitia kutoka mataifa ya magharibi na kwa baadhi ya Wabantu tunaoishinao huku.
God bless Arabian countries, awaongoze, awalinde, na Allah aendelee kuwapa subira na haya wanayopitia. Wale wanaowachukia hawa ndugu zetu, na kuwasusa na kushabikia wazungu, Mungu atawaongoza.
ALEYOMBBA GEKKE, ipo siku mtawakubali tu waarabu.
Mungu awabariki sana hawa ndugu zetu Morocco, mmepigana vyakutosha mpaka semi final wakati wakina Ghana na wenzie walitolewa kwa aibu.
Hakika Morocco ni wanaume na wale wanaodai kuwa ni laana, hizo ni kasumba zenu, ndivyo mnavyokaririshana huko mitaana na vijiwe vya kahawa. Kwa sisi wenye imani zetu upumbavu kama huu haupo, eti hiyo ni laana! Hivi mnaijua laana ninyi!
Sasa tunasubiri hiyooJjumapili hao Wabantu wasaliti mchanganyiko na Wazungu tuwabonde kisawasawa. Sisi wana Argentina tutalipiza kisasi, siku hiyo mtalia sana.
Waabheja sana.
Unakuta mwanaume mzima anawakandia wanaume wa Morocco, huyo huyo anaejiita mwanaume anawashabikia ufaransa wanaopromoti ushoga, huyo huyo anaejiita mwanaume anashabikia timu sababu ina weusi.
Unaacha kushabikia Waafrika wenzio unashabikia Wazungu, eti kwa sababu ina mchanganyiko na wasaliti walio ukana uraia wao! Waafrika wengi wao wana tabu mno, ALEYOMBBA GEKKE waafrika wengi wao wana tabu, sio ubaguzi tu bali na ukatili pia tunao. Naomba nisieleweke vibaya👉watu weusi wengi wao ni wabaguzi, wakatili na wanaroho mbaya. Tujirekebishe.
Na nimekuja kuamini haya, that day walipokutana Egypt na Senegal asilimia kubwa ya mashabiki wa Kibantu walikua upande wa Senegal. Leo hii anakuja Mbantu kulialia ya Morocco lakini hakumbuki ya Egypt na Senegal n.k.
Kwani Morocco wana kosa gani? Si wanapigania nchi yao? Hapo kosa lipo wapi? Wao wapo kwa ajili ya nchi yao na watu wao, lakini kuna wabantu wanalialia. Tuacheni ubaguzi.
So, hapa nachoona, kinachoangaliwa ni rangi especially waarabu, watu ambao walibarikiwa, mtawachukia, mtawabagua na kuwasema vibaya lakini hakibadiliki chochote dhidi yao, watabaki kuwa watu wakarimu, wana imani, na wavumilivu kwa haya wanayopitia kutoka mataifa ya magharibi na kwa baadhi ya Wabantu tunaoishinao huku.
God bless Arabian countries, awaongoze, awalinde, na Allah aendelee kuwapa subira na haya wanayopitia. Wale wanaowachukia hawa ndugu zetu, na kuwasusa na kushabikia wazungu, Mungu atawaongoza.
ALEYOMBBA GEKKE, ipo siku mtawakubali tu waarabu.
Mungu awabariki sana hawa ndugu zetu Morocco, mmepigana vyakutosha mpaka semi final wakati wakina Ghana na wenzie walitolewa kwa aibu.
Hakika Morocco ni wanaume na wale wanaodai kuwa ni laana, hizo ni kasumba zenu, ndivyo mnavyokaririshana huko mitaana na vijiwe vya kahawa. Kwa sisi wenye imani zetu upumbavu kama huu haupo, eti hiyo ni laana! Hivi mnaijua laana ninyi!
Sasa tunasubiri hiyooJjumapili hao Wabantu wasaliti mchanganyiko na Wazungu tuwabonde kisawasawa. Sisi wana Argentina tutalipiza kisasi, siku hiyo mtalia sana.
Waabheja sana.