Wazungu na Waarabu Walichotufanyia Waafrika

DeepPond

JF-Expert Member
Nov 18, 2017
40,485
99,215
Wazungu Walivyo washenzi walitudanganya kupitia dini zao kuwa ili kuepuka Laana za ukoo Kutoka kwa Babu au bibi zetu, tusiwaite watoto wetu majina yao kama SHIRIMA, MARWA, MAPUNDA,MAJURA,MUGISHA,MAZENGO, MWAIPOPO,MWINYIKONDO, FUNDIKIRA, n.k

Wakatushawishi kuwabatiza watoto wetu majina ya kizungu kama mbadala wa kukwepa laana kutoka kwa mababu na mabibi na kutumia majina kama PAUL, VICTOR PIERRE ( ITALY)JOHN,ZEUS,JULIUS,(GREEK) ELIZABETH,SMITH, CHARLES, MARY ( ENGLAND)PETER, FRIEDRICH, GUSTAVO, WILLIAM ( GERMANY), FRANCOIS, VOLTAIRE, MONTESQUIEU, JACQUES,LUIS (FRANCE), ..kumbe ni UPUUZI mtupu ,

Mbaya zaidi majina haya walitubatiza kwa upanga (bila ridhaa ya mababu zetu) kuanzia mnamo miaka ya wamissionari (1880-1961) , mbaya zaidi majina yao yametokana na Mizimu ya MAKABIRA Yao , mengine yametokana na mazimu ya mababu zao , mengine Yana maana za kishetani na tafsiri chafu ambazo wazazi wetu wametupatia bila kuhoji kwasababu Makanisa yanatulazimisha indirectly kuendelea na mfumo huu wa ukoloni wa fikra dhidi ya tamaduni zetu.

Mfano jina DENIS tafsiri yake ni MZIMU WA DIVAI ingia google andika Denis meaning utapata MZIMU WA Pombe, ulioitwa Dyionisus, Zeus, au bachus,au Lochus MZIMU huu una asiri ya ugreek, imagine umemuitwa mwanao Denis na Leo ni mlevi wa kupindukia bado unasema mwanao karogwa

Jina NANCY maana yake MSAGAJI * MWANAMKE SHOGA imagine kwa ushawishi wa kanisa umekataa kumuita mwanao jina MANKA au jina Kokutona au Neema au Upendo na umempatia jina la NANCY halafu unalalamika mwanao Malaya Sana hajatulia

mama hujui KUWA jina linaumba ?? Jina linatenda ?? Nancy temological meaning yaani denotative meaning Nancy maana yake ni SHOGA au Mfiraji ...

Kwanini hujawai kujiuliza kwanini Kila watoto Kumi wenye MAJINA ya SUZY nane ni Malaya ,kwanini hujawai KUHOJI? unafahamu Siri na CHIMBUKO la jina Suzi?? Unadhani WAZEE wetu walikuwa WAJINGA kutumia majina ya ASILI?

Fanya makosa yote ata kukosea kuoa lakini sio kucheza na Jina la mtoto,

Unajua nini maana ya jina JOHN? Jina John denotative meaning, JOHN* maana yake ni TOILET yaani sehemu unapojisaidia kinyesi na mkojo , ulishawai KUHOJI kwanini kila vijana kumi wenye MAJINA ya John , saba Wana matatizo ya akili? wengi wao hawafanikiwi au wanakuwa watu wa ovyo kama tafsiri ya jina lao.

Mzazi epuka kumpa mwanao jina kama Mbuzi eti kwasababu Mchungaji au Sheikh au Padri au askofu KASEMA , siku mwanao akiharibikiwa VIONGOZI wa dini ndo watakuwa WA kwanza kumtolea mfano .... Kwani ukimuitwa mwanao jina la Kabira au asili yako Atashindwa kuwa mkristo au Muislamu ???

Au akipewa jina la kiarabu au KIZUNGU ndo atamuona mungu ?? Tufike sehemu tuache kutumia dini na MAFUNDISHO ya kigeni Kuua na kuharibu tamaduni zetu waafrica.

Kwanini wenye majina Robert wanakwama kimaisha ,WANAPATA mikosi , harakati zao hazifanikiwi,full matatizo ,yaani ukikuta Robert kafanikiwa mafanikio yake ni ya muda, kwao kufeli ni 100% kama asipo kana jina hilo.

Akina Frank umaskini ni wao , na mafanikio ya muda , mikosi ni Yao , na hawanaga nyota , kila wanalofanya hawatoboi

Victor wao upata mafanikio MAKUBWA Kwa muda mfupi na Kurudi katika umaskini wa kudumu ni kwasababu ya ASILI ya jina hili Italy.

Hashim au Masudi, wengi wao huaribikiwa kimaisha , matatizo kwao hayaishi , kibishara ufirisika,hupata UMAARUFU mbaya, mwisho wa maisha Yao ni ufukara na majuto. Mifano IPO mingi

Geoffrey ni wakimya, uzubaa, uonewa, na wengi wao uchelewa kufanikiwa na wakifanikiwa ukutana na matatizo wengi kwny mafanikio yao, Na huwa Wana mwisho mbaya na kuhuzunisha.

Rajabu wengi wao upata UMAARUFU lakini mwisho wao hawafanikiwi kimaisha

Elizabeth upata Mimba Wakiwa mashuleni na utelekezwa na wanaume japo kimaisha ukumbana na visanga Kila siku

Ally upata UMAARUFU then ukwama kimaisha, ukienda selo za polisi, miongoni mwa wezi wasumbufu vituoni huwezi kukosa Jina la Ally.

Jina Peter maana yake mtu aliyefirisikia au aliyepoteza uwezo.

Jina Emilia maana yake adui au mtu mwenye wivu.

Jina Cecily cecy* kipofu

Lea mchovu au mvivu

Kennedy misshapen

Kelvin Calvin, maana yake Kipara Cha umaskini

Diana maana yake MZIMU WA moto wa wagiriki

Sadamu mkorofi
GHADDAF mtu anayetoboa watu
Osama Simba n.k

Fanya tafakuri, ukitaka kujua mpango wao wa MUDA Mrefu ulivyofanikiwa, Leo WATOTO WA darasa la kwanza majina yao matatu (First name, Middle name na surname)
First name: NANCY
Middle Name: JOHN
Surname DENIS

hivi kweli wizara haioni Utapeli huu dhidi ya tamaduni zetu? , imagine mtoto huyu amezaliwa ukoo wa KIMARO lakini Surname ya KIMARO imeshakwenda na maji,

Hivi hawa Registration of Insolvency & Trustee Agency (RITA) hawaoni tatizo hili Wakiwa wanasajiri vyeti ?? MAWAZIRI mwenye dhamana haoni hii? Watunga sheria hawaoni Utapeli huu ???JE tutawaweza kuyalinda majina na tunu zetu kwa vizazi vyetu vijavyo?

Au tunadhani Utamaduni ni Kuongea kiswahili na kucheza ngoma za asili????

Imagine mtoto kisukuma na sio mwarabu anasoma darasa kwanza shule Fulani anaitwa

First name: Ally
Middle name: Omary
Surname: Hussein

Na UNAAMBIWA ametoka ukoo wa Ngosha, hii ni systematic Cultural Genocide ( ukatiri wa kikabira kwa mwamvuli wa dini). Tunapaswa tuukatae kwa Nguvu zote.

Ulishawai kujiuliza kwanini watu wenye MAJINA ya Mudi, Maulidi, Zamda,Asha , Maliki, Iddi, Juma, Sudi, Omary, Asilimia 99 hawafanikiwi kimaisha na wengi wao wamekwama au wanakumbana na matatizo MAKUBWA katika uso wa Dunia?

we endelea kumpa jina mwanao kama vile unabatiza Mbuzi ...

Kwasababu Leo huko hivyo ulivyo kwasababu ya jina lako kama Umefanikiwa kimaisha basi jina lako linachangia Asilimia 81 ya mafanikio yako , na kama umekwama kimaisha ndugu yangu tatizo jina lako , na ujachelewa Sasa nenda kwa mawakili wambie wakutengenezee document inayoitwa Deed poll utaapishwa kana jina lako la KIZUNGU au la kiharabu, chagua jina la Kabira au asili yako ili upate baraka za WAZEE wako( baraka za kwenu)

(Charity Begins at home)

wakili atakutoza 10000 tu, ukimaliza nenda kwa msajili wa documents sajili jina la ASILI yako ulilochagua na kana majina ya wakoloni waliotupeleka utumwani na kututawala kwa mkono wa chuma.

Basi biashara zako zitaanza kufanikiwa , ndoto mbaya zitaacha, mikosi,nuksi, zarau , bahati mbaya, migogoro, KUKOSA ajira, vitakoma maana utakuwa umejiconnect na spiritual realms yaani spiritual blessed ancestry power.

Wewe ulishawai kumuona SHIRIMA au KIMARO Maskini ?? au kusikia mtu anaitwa Mengi asiye na pesa?

Wengi tumepoteza baraka za ukoo kwa kupokea majina yasiyo na ASILI yetu ndo maana kimaisha na KIROHO tunaangaika Kila siku ... utasikia serikali haijatangaza ajira kwani walioajiliwa wao Wana Vichwa viwili ?? .. Ni Sawa na Kufunga spare ya Toyota kwenye gari ya Nissani HUWEZI kuwa salama .... Ulishawai KUMUONA mchina ANAITWA mwakasege?

Au KUMUONA muhindi ANAITWA gwajima?

Au Mzungu ANAITWA Kanumba?

Muda umefika wa kuwambia WAZUNGU na WAARABU kuwa enough is enough kama dini zao haziwezi kutupokea jinsi tulivyo na majina yetu ya ASILI na tamaduni zetu basi dini hizo hazitufai ,mungu hakuwa MJINGA kuyaumba MAKABIRA na kuyafanya tofauti , vivyo hivyo na majina yetu lazima yawe tofauti na lazima tuyapiganie na kuyarinda kwa gharama yoyote.

Kwanini watu wenye MAJINA matatu ya kiasili wamekwisha ?? Mfano Kingunge Ngombari Mwiru, au Kambarage Nyerere Burrito ( 1942 alibatizwa Julius), Minza Bulugu Malundi, Ishengoma Rwebangira Kajuna? Tunakwama wapi AFRIKA?

Kama utabadili jina la KIZUNGU au la kiarabu au la kigeni na kujiita majina ya Kabira au asili yako yaani majina yenye maana nzuri katika Kabira lako ndani ni siku 21, utaanza kuona Nuru katika maisha yako.

Najua utashangaa Sana hili maana umeshateseka sana na kuzunguka Kila waganga na nyumba za ibada unatafuta eti kuombewa utolewe mapepo na watu mwenye matatizo kama yako

By mtumishi wa MUNGU wa kweli na MZALENDO wa united States of AFRIKA ( USA)

Tuulinde Utamaduni wetu kwa ajili ya vizazi vyetu ili tusijerudishwa utumwani Tena.
Ahsante

Source&Credit: ELIMIKA AFRICA

Sent using JamiiForums mobile app
 
Wazungu Walivyo washenzi walitudanganya kupitia dini zao kuwa ili kuepuka Laana za ukoo Kutoka kwa Babu au bibi zetu, tusiwaite watoto wetu majina yao kama SHIRIMA, MARWA, MAPUNDA,MAJURA,MUGISHA,MAZENGO, MWAIPOPO,MWINYIKONDO, FUNDIKIRA, n.k na kuwabatiza majina ya kizungu kama mbadala wa kukwepa laana kutoka kwa mababu na mabibi na kutumia majina kama PAUL, VICTOR PIERRE ( ITALY)JOHN,ZEUS,JULIUS,(GREEK) ELIZABETH,SMITH, CHARLES, MARY ( ENGLAND)PETER, FRIEDRICH, GUSTAVO, WILLIAM ( GERMANY), FRANCOIS, VOLTAIRE, MONTESQUIEU, JACQUES,LUIS (FRANCE), ..kumbe ni UPUUZI mtupu , ....mbaya zaidi majina haya walitubatiza kwa upanga ( bila ridhaa ya mababu zetu) kuanzia mnamo miaka ya wamissionari (1880-1961) , mbaya zaidi majina yao yametokana na Mizimu ya MAKABIRA Yao , mengine yametokana na mazimu ya mababu zao , mengine Yana maana za kishetani na tafsiri chafu ambazo wazazi wetu wametupatia bila kuhoji kwasababu Makanisa yanatulazimisha indirectly kuendelea na mfumo huu wa ukoloni wa fikra zidi ya tamaduni zetu.

Mfano jina DENIS tafsiri yake ni MZIMU WA DIVAI ingia google andika Denis meaning utapata MZIMU WA Pombe ,ulioitwa Dyionisus, Zeus, au bachus,au Lochus MZIMU huu una asiri ya ugreek, imagine umemuitwa mwanao Denis na Leo ni mlevi wa kupindukia bado unasema mwanao karogwa

Jina NANCY maana yake MSAGAJI * MWANAUME SHOGA imagine kwa ushawishi wa kanisa umekataa kumuita mwanao jina MANKA au jina Kokutona au Neema au Upendo na umempatia jina la NANCY alafu unalalamika mwanao Malaya Sana hajatulia mama hujui KUWA jina linaumba ?? Jina linatenda ?? Nancy temological meaning yaani denotative meaning Nancy maana yake ni SHOGA au Mfiraji ... Kwanini hujawai kujiuliza kwanini Kila watoto Kumi wenye MAJINA ya SUZY nane ni Malaya ,kwanini hujawai KUHOJI??? uanafahamu Siri na CHIMBUKO la jina Suzi?? Unadhani WAZEE wetu walikuwa WAJINGA kutumia majina ya ASILI ???

Fanya makosa yote ata kukosea kuoa lakini sio kucheza na Jina ,

Unajua nini maana ya jina JOHN ??? Jina John denotative meaning, JOHN* maana yake ni TOILET yaani sehemu unapojisaidia kinyesi na mkojo , ulishawai KUHOJI kwanini kila vijana kumi wenye MAJINA ya John , saba Wana matatizo, wengi wao hawafanikiwi au wanakuwa watu wa ovyo kama tafsiri ya jina lao, hepuka kumpa mwanao jina kama Mbuzi eti kwasababu Mchungaji au Sheikh au Padri au askofu KASEMA , siku mwanao akiharibikiwa VIONGOZI wa dini ndo watakuwa WA kwanza kumtolea mfano .... Kwani ukimuitwa mwanao jina la Kabira au asili yako Atashindwa kuwa mkristo au Muislamu ??? Au akipewa jina la kiharabu au KIZUNGU ndo atamuona mungu ?? Tufike sehemu tuache kutumia dini na MAFUNDISHO ya kigeni Kuua na kuharibu tamaduni zetu,

Kwanini wenye majina Robert wanakwama kimaisha ,WANAPATA mikosi , matatizo ,yaani ukikuta Robert kafanikiwa mafanikio yake ni ya muda 100% kama asipo kana jina hilo.

Akina Frank umaskini ni wao , na mafanikio ya muda , mikosi ni Yao , na hawanaga nyota ,

Victor wao upata mafanikio MAKUBWA Kwa muda mfupi na Kurudi katika umaskini wa kudumu ni kwasababu ya ASILI ya jina hili Italy.

Ashimu au Masudi , wengi wao uaribikiwa kimaisha , matatizo hayaishi , kibishara ufirisika ua upata UMAARUFU mbaya ,mwisho wa maisha Yao ni ufukara na majuto

Geoffrey wakimya ,uzubaa ,uonewa, wengi wao uchelewa kufanikiwa na wakifanikiwa ukutana na matatizo wengi wao Wana mwisho mbaya

Rajabu wengi wao upata UMAARUFU lakini mwisho wao hawafanikiwi kimaisha

Elizabeth upata Mimba Wakiwa mashuleni na utelekezwa na wanaume japo kimaisha ukumbana na visanga Kila siku

Ally upata UMAARUFU then ukwama kimaisha ,


Jina Peter maana yake mtu aliyefirisikia au aliyepoteza uwezo,

Jina Emilia maana yake adui au mtu mwenye wivu ,

Jina Cecily cecy* kipofu

Lea mchovu au mvivu

Kennedy misshapen

Kelvin Calvin, maana yake Kipara Cha umaskini

Diana maana yake MZIMU WA moto wa wagiriki

Sadamu mkorofi
GHADDAF mtu anayetoboa watu
Osama Simba n.k

Fanya tafakuri , ukitaka kujua mpango wao wa MUDA Mrefu ulivyofanikiwa , Leo WATOTO WA darasa la kwanza majina yao matatu ( First name, Middle name na surname)
First name: NANCY
Middle Name:JOHN
Surname:DENIS

hivi kweli wizara haioni Utapeli huu zidi ya tamaduni, imagine mtoto huyu amezaliwa ukoo wa KIMARO lakini Surname ya KIMARO imeshakwenda na maji , JE Registration of Insolvency & Trustee Agency ( RITA) awaoni tatizo hili Wakiwa wanasajiri vyeti ?? WAZIRI mwenye dhamana aoni hii, ?? Watunga sheria awaoni Utapeli huu ???JE tutawaweza kuyarida majina na tunu zetu kwa vizazi vijavyo ??

Au tunadhani Utamaduni ni Kuongea kiswahi na kucheza ngoma tu????

Imagine mtoto kisukuma na sio MUARABU Katika darasa kwanza shule Fulani anaitwa

First name:Ally
Middle name:Omary
Surname: Hussein

Na UNAAMBIWA ametoka ukoo wa MAJURA au ukoo wa Ngosha hii ni systematic Cultural Genocide ( ukatiri wa kikabira kwa mwanvuri wa dini)

Ulishawai kujiuliza kwanini watu wenye MAJINA ya Mudi, Maulidi, Zamda,Asha , Maliki, Iddi, Juma, Sudi, Omary, Asilimia 99 hawafanikiwi kimaisha na wengi wao wamekwama au wanakumbana na matatizo MAKUBWA katika uso wa Dunia ???

we endelea kumpa jina mwanao kama vile unabatiza Mbuzi ...

kwasababu Leo huko hivyo ulivyo kwasababu ya jina lako kama Umefanikiwa kimaisha basi jina lako linachangia Asilimia 81 ya mafanikio yako , na kama umekwama kimaisha ndugu yangu tatizo jina lako , na ujachelewa Sasa nenda kwa mawakili wambie wakutengenezee document inayoitwa Deed poll utaapishwa kana jina lako la KIZUNGU au la kiharabu, chagua jina la Kabira au asili yako ili upate baraka za WAZEE ( baraka za kwenu)

( Charity Begins at home)

wakili atakutoza 10000 tu, ukimaliza nenda kwa msajili wa documents sajili jina la ASILI yako ulilochagua na kana majina ya waliotupeleka utumwani na kututawala ......

Basi biashara zako zitaanza kufanikiwa , ndoto mbaya zitaacha, mikosi,nuksi, zarau , bahati mbaya, migogoro, KUKOSA ajira, vitakoma maana utakuwa umejiconnect na spiritual realms yaani spiritual blessed ancestry power.

Wewe ulishawai kumuona SHIRIMA au KIMARO Maskini ?? au kusikia mtu anaitwa Mengi asiye na pesa.. ??

Wengi tumepoteza baraka za ukoo kwa kupokea majina yasiyo na ASILI yetu ndo maana kimaisha na KIROHO tunaangaika Kila siku ... utasikia serikali haijatangaza ajira kwani walioajiliwa wao Wana Vichwa viwili ?? .. Ni Sawa na Kufunga spare ya Toyota kwenye gari ya Nissani HUWEZI kuwa salama .... Ulishawai KUMUONA mchina ANAITWA Karimanzila ???

Au KUMUONA muindi ANAITWA Kingunge ?

Au Mzungu ANAITWA Kanumba ??

muda umefika wa kuwambia WAZUNGU na WAARABU kuwa enough is enough kama dini zao haziwezi kutupokea jinsi tulivyo na majina yetu ya ASILI na tamaduni zetu basi dini hizo hazitufai ,mungu hakuwa MJINGA kuyaumba MAKABIRA na kuyafanya tofauti , vivyo hivyo na majina yetu lazima yawe tofauti na lazima tuyapiganie na kuyarinda .

Kwanini watu wenye MAJINA matatu ya kiasili wamekwisha ?? Mfano Kingunge Ngombari Mwiru, au Kambarage Nyerere Burrito ( 1942 alibatizwa Julius), Ishengoma Rwebangira Kajuna , ???? Tunakwama wapi AFRIKA ???

Kama utabadili jina la KIZUNGU au la kiharabu au la kigeni na kujiita majina ya Kabira au asili yako yaani majina yenye maana nzuri katika Kabira lako ndani ni siku 21, utaanza kuona Nuru katika maisha yako.(najua utashangaa Sana maana umeshateseka na kuzunguka Kila nyumba ya ibada unatafuta eti kuombewa na mtu mwenye matatizo kama yako )

By mtumishi wa MUNGU wa kweli na MZALENDO wa united States of AFRIKA ( USA)

Tuulinde Utamaduni wetu kwa ajili ya vizazi vyetu ili tusijerudishwa utumwani Tena.
Ahsante

Credit: ELIMIKA AFRICA

Sent using JamiiForums mobile app
Basi sawa walitudanganya, sasa tufanye yetu. badili majina yote.

wazungu hawafai, tuanze ya kwetu: Tafuta dawa ya kuua virus, siyo haya mambo madogomadogo. huwa hakuna dawa ya kuua virus. Fanya hilo ujikomboe na wazungu
 
Haya majina mbona mengi yanajulikana wako vizuri hata Ulaya na America, labda wakitolewa Africa majina ndio yanakuwa na Gundu

Nancy Reagan
Calvin Klein
Queen elizabeth

Ila black Americans ndio kabisa hao hata kujua walikotoka hawataki kusikia ingawa wanajua mpaka majina yao yalibadilishwa kwa nguvu, na hata lugha wakasahau
 
Haya majina mbona mengi yanajulikana wako vizuri hata Ulaya na America, labda wakitolewa Africa majina ndio yanakuwa na Gundu

Nancy Reagan
Calvin Klein
Queen elizabeth

Ila black Americans ndio kabisa hao hata kujua walikotoka hawataki kusikia ingawa wanajua mpaka majina yao yalibadilishwa kwa nguvu, na hata lugha wakasahau
Black amerivcan ataku shoot ukimwambia wewe by default ni mwafrika! anaukimbia weusi maana ni laana kwa matendo yetu
 
ina Peter maana yake mtu aliyefirisikia au aliyepoteza uwezo,
peter

Rock; Stone

Meaning:Rock; Stone. Peter is a masculine name originating in the Greek language meaning "rock" or "stone." This name is derived from the Greek version, Petros, which translates to "stone." This biblical name was most notably given to one of Jesus's apostles, Simon.
 
Kelvin Calvin
Kelvin is a christian boy name and it is an English originated name with multiple meanings. Kelvin name meaning is From the river c and the associated lucky number is 1. Accompanying with Kelvin meaning you can also listen here how to pronounce Kelvin name.
 

Nancy​



Origin:Hebrew. Meaning:Grace. Dating back centuries, Nancy is a classic girl's name with traditional undertones. The name is originally Hebrew, and made its way into the charts as a coined nickname for variations of the name Anne.8 Mar 2023
 
Wazungu Walivyo washenzi walitudanganya kupitia dini zao kuwa ili kuepuka Laana za ukoo Kutoka kwa Babu au bibi zetu, tusiwaite watoto wetu majina yao kama SHIRIMA, MARWA, MAPUNDA,MAJURA,MUGISHA,MAZENGO, MWAIPOPO,MWINYIKONDO, FUNDIKIRA, n.k

Wakatushawishi kuwabatiza watoto wetu majina ya kizungu kama mbadala wa kukwepa laana kutoka kwa mababu na mabibi na kutumia majina kama PAUL, VICTOR PIERRE ( ITALY)JOHN,ZEUS,JULIUS,(GREEK) ELIZABETH,SMITH, CHARLES, MARY ( ENGLAND)PETER, FRIEDRICH, GUSTAVO, WILLIAM ( GERMANY), FRANCOIS, VOLTAIRE, MONTESQUIEU, JACQUES,LUIS (FRANCE), ..kumbe ni UPUUZI mtupu ,

Mbaya zaidi majina haya walitubatiza kwa upanga ( bila ridhaa ya mababu zetu) kuanzia mnamo miaka ya wamissionari (1880-1961) , mbaya zaidi majina yao yametokana na Mizimu ya MAKABIRA Yao , mengine yametokana na mazimu ya mababu zao , mengine Yana maana za kishetani na tafsiri chafu ambazo wazazi wetu wametupatia bila kuhoji kwasababu Makanisa yanatulazimisha indirectly kuendelea na mfumo huu wa ukoloni wa fikra dhidi ya tamaduni zetu.

Mfano jina DENIS tafsiri yake ni MZIMU WA DIVAI ingia google andika Denis meaning utapata MZIMU WA Pombe ,ulioitwa Dyionisus, Zeus, au bachus,au Lochus MZIMU huu una asiri ya ugreek, imagine umemuitwa mwanao Denis na Leo ni mlevi wa kupindukia bado unasema mwanao karogwa

Jina NANCY maana yake MSAGAJI * MWANAMKE SHOGA imagine kwa ushawishi wa kanisa umekataa kumuita mwanao jina MANKA au jina Kokutona au Neema au Upendo na umempatia jina la NANCY alafu unalalamika mwanao Malaya Sana hajatulia

mama hujui KUWA jina linaumba ?? Jina linatenda ?? Nancy temological meaning yaani denotative meaning Nancy maana yake ni SHOGA au Mfiraji ...

Kwanini hujawai kujiuliza kwanini Kila watoto Kumi wenye MAJINA ya SUZY nane ni Malaya ,kwanini hujawai KUHOJI??? unafahamu Siri na CHIMBUKO la jina Suzi?? Unadhani WAZEE wetu walikuwa WAJINGA kutumia majina ya ASILI ???

Fanya makosa yote ata kukosea kuoa lakini sio kucheza na Jina la mtoto,

Unajua nini maana ya jina JOHN ??? Jina John denotative meaning, JOHN* maana yake ni TOILET yaani sehemu unapojisaidia kinyesi na mkojo , ulishawai KUHOJI kwanini kila vijana kumi wenye MAJINA ya John , saba Wana matatizo ya akili? wengi wao hawafanikiwi au wanakuwa watu wa ovyo kama tafsiri ya jina lao.

Mzazi epuka kumpa mwanao jina kama Mbuzi eti kwasababu Mchungaji au Sheikh au Padri au askofu KASEMA , siku mwanao akiharibikiwa VIONGOZI wa dini ndo watakuwa WA kwanza kumtolea mfano .... Kwani ukimuitwa mwanao jina la Kabira au asili yako Atashindwa kuwa mkristo au Muislamu ???

Au akipewa jina la kiarabu au KIZUNGU ndo atamuona mungu ?? Tufike sehemu tuache kutumia dini na MAFUNDISHO ya kigeni Kuua na kuharibu tamaduni zetu waafrica.

Kwanini wenye majina Robert wanakwama kimaisha ,WANAPATA mikosi , harakati zao hazifanikiwi,full matatizo ,yaani ukikuta Robert kafanikiwa mafanikio yake ni ya muda, kwao kufeli ni 100% kama asipo kana jina hilo.

Akina Frank umaskini ni wao , na mafanikio ya muda , mikosi ni Yao , na hawanaga nyota , kila wanalofanya hawatoboi

Victor wao upata mafanikio MAKUBWA Kwa muda mfupi na Kurudi katika umaskini wa kudumu ni kwasababu ya ASILI ya jina hili Italy.

Hashim au Masudi , wengi wao huaribikiwa kimaisha , matatizo kwao hayaishi , kibishara ufirisika,hupata UMAARUFU mbaya ,mwisho wa maisha Yao ni ufukara na majuto. Mifano IPO mingi

Geoffrey ni wakimya ,uzubaa ,uonewa, na wengi wao uchelewa kufanikiwa na wakifanikiwa ukutana na matatizo wengi kwny mafanikio yao, Na huwa Wana mwisho mbaya na kuhuzunisha.

Rajabu wengi wao upata UMAARUFU lakini mwisho wao hawafanikiwi kimaisha

Elizabeth upata Mimba Wakiwa mashuleni na utelekezwa na wanaume japo kimaisha ukumbana na visanga Kila siku

Ally upata UMAARUFU then ukwama kimaisha, ukienda selo za polisi, miongoni mwa wezi wasumbufu vituoni huwezi kukosa Jina la Ally.


Jina Peter maana yake mtu aliyefirisikia au aliyepoteza uwezo,

Jina Emilia maana yake adui au mtu mwenye wivu ,

Jina Cecily cecy* kipofu

Lea mchovu au mvivu

Kennedy misshapen

Kelvin Calvin, maana yake Kipara Cha umaskini

Diana maana yake MZIMU WA moto wa wagiriki

Sadamu mkorofi
GHADDAF mtu anayetoboa watu
Osama Simba n.k

Fanya tafakuri , ukitaka kujua mpango wao wa MUDA Mrefu ulivyofanikiwa , Leo WATOTO WA darasa la kwanza majina yao matatu ( First name, Middle name na surname)
First name: NANCY
Middle Name:JOHN
Surname:DENIS

hivi kweli wizara haioni Utapeli huu dhidi ya tamaduni zetu? , imagine mtoto huyu amezaliwa ukoo wa KIMARO lakini Surname ya KIMARO imeshakwenda na maji,

Hivi hawa Registration of Insolvency & Trustee Agency ( RITA) hawaoni tatizo hili Wakiwa wanasajiri vyeti ?? MAWAZIRI mwenye dhamana haoni hii, ?? Watunga sheria hawaoni Utapeli huu ???JE tutawaweza kuyalinda majina na tunu zetu kwa vizazi vyetu vijavyo ??

Au tunadhani Utamaduni ni Kuongea kiswahili na kucheza ngoma za asili????

Imagine mtoto kisukuma na sio mwarabu anasoma darasa kwanza shule Fulani anaitwa

First name:Ally
Middle name:Omary
Surname: Hussein

Na UNAAMBIWA ametoka ukoo wa Ngosha, hii ni systematic Cultural Genocide ( ukatiri wa kikabira kwa mwamvuli wa dini). Tunapaswa tuukatae kwa Nguvu zote.

Ulishawai kujiuliza kwanini watu wenye MAJINA ya Mudi, Maulidi, Zamda,Asha , Maliki, Iddi, Juma, Sudi, Omary, Asilimia 99 hawafanikiwi kimaisha na wengi wao wamekwama au wanakumbana na matatizo MAKUBWA katika uso wa Dunia ???

we endelea kumpa jina mwanao kama vile unabatiza Mbuzi ...

Kwasababu Leo huko hivyo ulivyo kwasababu ya jina lako kama Umefanikiwa kimaisha basi jina lako linachangia Asilimia 81 ya mafanikio yako , na kama umekwama kimaisha ndugu yangu tatizo jina lako , na ujachelewa Sasa nenda kwa mawakili wambie wakutengenezee document inayoitwa Deed poll utaapishwa kana jina lako la KIZUNGU au la kiharabu, chagua jina la Kabira au asili yako ili upate baraka za WAZEE wako( baraka za kwenu)

( Charity Begins at home)

wakili atakutoza 10000 tu, ukimaliza nenda kwa msajili wa documents sajili jina la ASILI yako ulilochagua na kana majina ya wakoloni waliotupeleka utumwani na kututawala kwa mkono wa chuma.

Basi biashara zako zitaanza kufanikiwa , ndoto mbaya zitaacha, mikosi,nuksi, zarau , bahati mbaya, migogoro, KUKOSA ajira, vitakoma maana utakuwa umejiconnect na spiritual realms yaani spiritual blessed ancestry power.

Wewe ulishawai kumuona SHIRIMA au KIMARO Maskini ?? au kusikia mtu anaitwa Mengi asiye na pesa.. ??

Wengi tumepoteza baraka za ukoo kwa kupokea majina yasiyo na ASILI yetu ndo maana kimaisha na KIROHO tunaangaika Kila siku ... utasikia serikali haijatangaza ajira kwani walioajiliwa wao Wana Vichwa viwili ?? .. Ni Sawa na Kufunga spare ya Toyota kwenye gari ya Nissani HUWEZI kuwa salama .... Ulishawai KUMUONA mchina ANAITWA mwakasege???

Au KUMUONA muhindi ANAITWA gwajima ?

Au Mzungu ANAITWA Kanumba ??

Muda umefika wa kuwambia WAZUNGU na WAARABU kuwa enough is enough kama dini zao haziwezi kutupokea jinsi tulivyo na majina yetu ya ASILI na tamaduni zetu basi dini hizo hazitufai ,mungu hakuwa MJINGA kuyaumba MAKABIRA na kuyafanya tofauti , vivyo hivyo na majina yetu lazima yawe tofauti na lazima tuyapiganie na kuyarinda kwa gharama yoyote.

Kwanini watu wenye MAJINA matatu ya kiasili wamekwisha ?? Mfano Kingunge Ngombari Mwiru, au Kambarage Nyerere Burrito ( 1942 alibatizwa Julius), Minza Bulugu Malundi, Ishengoma Rwebangira Kajuna , ???? Tunakwama wapi AFRIKA ???

Kama utabadili jina la KIZUNGU au la kiarabu au la kigeni na kujiita majina ya Kabira au asili yako yaani majina yenye maana nzuri katika Kabira lako ndani ni siku 21, utaanza kuona Nuru katika maisha yako.

Najua utashangaa Sana hili maana umeshateseka sana na kuzunguka Kila waganga na nyumba za ibada unatafuta eti kuombewa utolewe mapepo na watu mwenye matatizo kama yako

By mtumishi wa MUNGU wa kweli na MZALENDO wa united States of AFRIKA ( USA)

Tuulinde Utamaduni wetu kwa ajili ya vizazi vyetu ili tusijerudishwa utumwani Tena.
Ahsante

Source&Credit: ELIMIKA AFRICA

Sent using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo mkuu unamaanisha Robby(Robert) One Fashion na Bob(Robert) Marley hawajafanikiwa?
 
Wazungu Walivyo washenzi walitudanganya kupitia dini zao kuwa ili kuepuka Laana za ukoo Kutoka kwa Babu au bibi zetu, tusiwaite watoto wetu majina yao kama SHIRIMA, MARWA, MAPUNDA,MAJURA,MUGISHA,MAZENGO, MWAIPOPO,MWINYIKONDO, FUNDIKIRA, n.k

Wakatushawishi kuwabatiza watoto wetu majina ya kizungu kama mbadala wa kukwepa laana kutoka kwa mababu na mabibi na kutumia majina kama PAUL, VICTOR PIERRE ( ITALY)JOHN,ZEUS,JULIUS,(GREEK) ELIZABETH,SMITH, CHARLES, MARY ( ENGLAND)PETER, FRIEDRICH, GUSTAVO, WILLIAM ( GERMANY), FRANCOIS, VOLTAIRE, MONTESQUIEU, JACQUES,LUIS (FRANCE), ..kumbe ni UPUUZI mtupu ,

Mbaya zaidi majina haya walitubatiza kwa upanga ( bila ridhaa ya mababu zetu) kuanzia mnamo miaka ya wamissionari (1880-1961) , mbaya zaidi majina yao yametokana na Mizimu ya MAKABIRA Yao , mengine yametokana na mazimu ya mababu zao , mengine Yana maana za kishetani na tafsiri chafu ambazo wazazi wetu wametupatia bila kuhoji kwasababu Makanisa yanatulazimisha indirectly kuendelea na mfumo huu wa ukoloni wa fikra dhidi ya tamaduni zetu.

Mfano jina DENIS tafsiri yake ni MZIMU WA DIVAI ingia google andika Denis meaning utapata MZIMU WA Pombe ,ulioitwa Dyionisus, Zeus, au bachus,au Lochus MZIMU huu una asiri ya ugreek, imagine umemuitwa mwanao Denis na Leo ni mlevi wa kupindukia bado unasema mwanao karogwa

Jina NANCY maana yake MSAGAJI * MWANAMKE SHOGA imagine kwa ushawishi wa kanisa umekataa kumuita mwanao jina MANKA au jina Kokutona au Neema au Upendo na umempatia jina la NANCY alafu unalalamika mwanao Malaya Sana hajatulia

mama hujui KUWA jina linaumba ?? Jina linatenda ?? Nancy temological meaning yaani denotative meaning Nancy maana yake ni SHOGA au Mfiraji ...

Kwanini hujawai kujiuliza kwanini Kila watoto Kumi wenye MAJINA ya SUZY nane ni Malaya ,kwanini hujawai KUHOJI??? unafahamu Siri na CHIMBUKO la jina Suzi?? Unadhani WAZEE wetu walikuwa WAJINGA kutumia majina ya ASILI ???

Fanya makosa yote ata kukosea kuoa lakini sio kucheza na Jina la mtoto,

Unajua nini maana ya jina JOHN ??? Jina John denotative meaning, JOHN* maana yake ni TOILET yaani sehemu unapojisaidia kinyesi na mkojo , ulishawai KUHOJI kwanini kila vijana kumi wenye MAJINA ya John , saba Wana matatizo ya akili? wengi wao hawafanikiwi au wanakuwa watu wa ovyo kama tafsiri ya jina lao.

Mzazi epuka kumpa mwanao jina kama Mbuzi eti kwasababu Mchungaji au Sheikh au Padri au askofu KASEMA , siku mwanao akiharibikiwa VIONGOZI wa dini ndo watakuwa WA kwanza kumtolea mfano .... Kwani ukimuitwa mwanao jina la Kabira au asili yako Atashindwa kuwa mkristo au Muislamu ???

Au akipewa jina la kiarabu au KIZUNGU ndo atamuona mungu ?? Tufike sehemu tuache kutumia dini na MAFUNDISHO ya kigeni Kuua na kuharibu tamaduni zetu waafrica.

Kwanini wenye majina Robert wanakwama kimaisha ,WANAPATA mikosi , harakati zao hazifanikiwi,full matatizo ,yaani ukikuta Robert kafanikiwa mafanikio yake ni ya muda, kwao kufeli ni 100% kama asipo kana jina hilo.

Akina Frank umaskini ni wao , na mafanikio ya muda , mikosi ni Yao , na hawanaga nyota , kila wanalofanya hawatoboi

Victor wao upata mafanikio MAKUBWA Kwa muda mfupi na Kurudi katika umaskini wa kudumu ni kwasababu ya ASILI ya jina hili Italy.

Hashim au Masudi , wengi wao huaribikiwa kimaisha , matatizo kwao hayaishi , kibishara ufirisika,hupata UMAARUFU mbaya ,mwisho wa maisha Yao ni ufukara na majuto. Mifano IPO mingi

Geoffrey ni wakimya ,uzubaa ,uonewa, na wengi wao uchelewa kufanikiwa na wakifanikiwa ukutana na matatizo wengi kwny mafanikio yao, Na huwa Wana mwisho mbaya na kuhuzunisha.

Rajabu wengi wao upata UMAARUFU lakini mwisho wao hawafanikiwi kimaisha

Elizabeth upata Mimba Wakiwa mashuleni na utelekezwa na wanaume japo kimaisha ukumbana na visanga Kila siku

Ally upata UMAARUFU then ukwama kimaisha, ukienda selo za polisi, miongoni mwa wezi wasumbufu vituoni huwezi kukosa Jina la Ally.


Jina Peter maana yake mtu aliyefirisikia au aliyepoteza uwezo,

Jina Emilia maana yake adui au mtu mwenye wivu ,

Jina Cecily cecy* kipofu

Lea mchovu au mvivu

Kennedy misshapen

Kelvin Calvin, maana yake Kipara Cha umaskini

Diana maana yake MZIMU WA moto wa wagiriki

Sadamu mkorofi
GHADDAF mtu anayetoboa watu
Osama Simba n.k

Fanya tafakuri , ukitaka kujua mpango wao wa MUDA Mrefu ulivyofanikiwa , Leo WATOTO WA darasa la kwanza majina yao matatu ( First name, Middle name na surname)
First name: NANCY
Middle Name:JOHN
Surname:DENIS

hivi kweli wizara haioni Utapeli huu dhidi ya tamaduni zetu? , imagine mtoto huyu amezaliwa ukoo wa KIMARO lakini Surname ya KIMARO imeshakwenda na maji,

Hivi hawa Registration of Insolvency & Trustee Agency ( RITA) hawaoni tatizo hili Wakiwa wanasajiri vyeti ?? MAWAZIRI mwenye dhamana haoni hii, ?? Watunga sheria hawaoni Utapeli huu ???JE tutawaweza kuyalinda majina na tunu zetu kwa vizazi vyetu vijavyo ??

Au tunadhani Utamaduni ni Kuongea kiswahili na kucheza ngoma za asili????

Imagine mtoto kisukuma na sio mwarabu anasoma darasa kwanza shule Fulani anaitwa

First name:Ally
Middle name:Omary
Surname: Hussein

Na UNAAMBIWA ametoka ukoo wa Ngosha, hii ni systematic Cultural Genocide ( ukatiri wa kikabira kwa mwamvuli wa dini). Tunapaswa tuukatae kwa Nguvu zote.

Ulishawai kujiuliza kwanini watu wenye MAJINA ya Mudi, Maulidi, Zamda,Asha , Maliki, Iddi, Juma, Sudi, Omary, Asilimia 99 hawafanikiwi kimaisha na wengi wao wamekwama au wanakumbana na matatizo MAKUBWA katika uso wa Dunia ???

we endelea kumpa jina mwanao kama vile unabatiza Mbuzi ...

Kwasababu Leo huko hivyo ulivyo kwasababu ya jina lako kama Umefanikiwa kimaisha basi jina lako linachangia Asilimia 81 ya mafanikio yako , na kama umekwama kimaisha ndugu yangu tatizo jina lako , na ujachelewa Sasa nenda kwa mawakili wambie wakutengenezee document inayoitwa Deed poll utaapishwa kana jina lako la KIZUNGU au la kiharabu, chagua jina la Kabira au asili yako ili upate baraka za WAZEE wako( baraka za kwenu)

( Charity Begins at home)

wakili atakutoza 10000 tu, ukimaliza nenda kwa msajili wa documents sajili jina la ASILI yako ulilochagua na kana majina ya wakoloni waliotupeleka utumwani na kututawala kwa mkono wa chuma.

Basi biashara zako zitaanza kufanikiwa , ndoto mbaya zitaacha, mikosi,nuksi, zarau , bahati mbaya, migogoro, KUKOSA ajira, vitakoma maana utakuwa umejiconnect na spiritual realms yaani spiritual blessed ancestry power.

Wewe ulishawai kumuona SHIRIMA au KIMARO Maskini ?? au kusikia mtu anaitwa Mengi asiye na pesa.. ??

Wengi tumepoteza baraka za ukoo kwa kupokea majina yasiyo na ASILI yetu ndo maana kimaisha na KIROHO tunaangaika Kila siku ... utasikia serikali haijatangaza ajira kwani walioajiliwa wao Wana Vichwa viwili ?? .. Ni Sawa na Kufunga spare ya Toyota kwenye gari ya Nissani HUWEZI kuwa salama .... Ulishawai KUMUONA mchina ANAITWA mwakasege???

Au KUMUONA muhindi ANAITWA gwajima ?

Au Mzungu ANAITWA Kanumba ??

Muda umefika wa kuwambia WAZUNGU na WAARABU kuwa enough is enough kama dini zao haziwezi kutupokea jinsi tulivyo na majina yetu ya ASILI na tamaduni zetu basi dini hizo hazitufai ,mungu hakuwa MJINGA kuyaumba MAKABIRA na kuyafanya tofauti , vivyo hivyo na majina yetu lazima yawe tofauti na lazima tuyapiganie na kuyarinda kwa gharama yoyote.

Kwanini watu wenye MAJINA matatu ya kiasili wamekwisha ?? Mfano Kingunge Ngombari Mwiru, au Kambarage Nyerere Burrito ( 1942 alibatizwa Julius), Minza Bulugu Malundi, Ishengoma Rwebangira Kajuna , ???? Tunakwama wapi AFRIKA ???

Kama utabadili jina la KIZUNGU au la kiarabu au la kigeni na kujiita majina ya Kabira au asili yako yaani majina yenye maana nzuri katika Kabira lako ndani ni siku 21, utaanza kuona Nuru katika maisha yako.

Najua utashangaa Sana hili maana umeshateseka sana na kuzunguka Kila waganga na nyumba za ibada unatafuta eti kuombewa utolewe mapepo na watu mwenye matatizo kama yako

By mtumishi wa MUNGU wa kweli na MZALENDO wa united States of AFRIKA ( USA)

Tuulinde Utamaduni wetu kwa ajili ya vizazi vyetu ili tusijerudishwa utumwani Tena.
Ahsante

Source&Credit: ELIMIKA AFRICA

Sent using JamiiForums mobile app
Umenena ukweli kabisaa. Majina ya Kigeni ni Utumwa wa Kifikra kwa mtu mweusi. Imefikia hatua tunaona aibu kuitwa majina yetu ya asili tunayakataa au tunayaongezea Uzungu eti Swagga. Mfano Neema anataka aitwa Nney nk.
Wizara ya Utamaduni wana kazi ya kufanya.
Inatakiwa majina yoooote yenye asili ya Makabila yetu yaorodheshwe kwenye Tovuti ya Wizara na maaana zake. So kwa leo ningeweza pata Mtoto nikagoogle jina kwa asili ya Kimatumbi, Kiha nk nikampa mwanangu lkn sasa huo utamaduni na asili ya majina inakufa na hatujui maaana zake.
Lkn serikali hajoawahi kushindwa tupaze sauti pamoja ipo siku tutakomboa fikra za hawa wafungwa.
Lkn Mkuu kwanini nawewe ID yako imekaa kizungu ulitakiwa uitwe Mdunguaji mweusi.
 
Wazungu Walivyo washenzi walitudanganya kupitia dini zao kuwa ili kuepuka Laana za ukoo Kutoka kwa Babu au bibi zetu, tusiwaite watoto wetu majina yao kama SHIRIMA, MARWA, MAPUNDA,MAJURA,MUGISHA,MAZENGO, MWAIPOPO,MWINYIKONDO, FUNDIKIRA, n.k

Wakatushawishi kuwabatiza watoto wetu majina ya kizungu kama mbadala wa kukwepa laana kutoka kwa mababu na mabibi na kutumia majina kama PAUL, VICTOR PIERRE ( ITALY)JOHN,ZEUS,JULIUS,(GREEK) ELIZABETH,SMITH, CHARLES, MARY ( ENGLAND)PETER, FRIEDRICH, GUSTAVO, WILLIAM ( GERMANY), FRANCOIS, VOLTAIRE, MONTESQUIEU, JACQUES,LUIS (FRANCE), ..kumbe ni UPUUZI mtupu ,

Mbaya zaidi majina haya walitubatiza kwa upanga ( bila ridhaa ya mababu zetu) kuanzia mnamo miaka ya wamissionari (1880-1961) , mbaya zaidi majina yao yametokana na Mizimu ya MAKABIRA Yao , mengine yametokana na mazimu ya mababu zao , mengine Yana maana za kishetani na tafsiri chafu ambazo wazazi wetu wametupatia bila kuhoji kwasababu Makanisa yanatulazimisha indirectly kuendelea na mfumo huu wa ukoloni wa fikra dhidi ya tamaduni zetu.

Mfano jina DENIS tafsiri yake ni MZIMU WA DIVAI ingia google andika Denis meaning utapata MZIMU WA Pombe ,ulioitwa Dyionisus, Zeus, au bachus,au Lochus MZIMU huu una asiri ya ugreek, imagine umemuitwa mwanao Denis na Leo ni mlevi wa kupindukia bado unasema mwanao karogwa

Jina NANCY maana yake MSAGAJI * MWANAMKE SHOGA imagine kwa ushawishi wa kanisa umekataa kumuita mwanao jina MANKA au jina Kokutona au Neema au Upendo na umempatia jina la NANCY alafu unalalamika mwanao Malaya Sana hajatulia

mama hujui KUWA jina linaumba ?? Jina linatenda ?? Nancy temological meaning yaani denotative meaning Nancy maana yake ni SHOGA au Mfiraji ...

Kwanini hujawai kujiuliza kwanini Kila watoto Kumi wenye MAJINA ya SUZY nane ni Malaya ,kwanini hujawai KUHOJI??? unafahamu Siri na CHIMBUKO la jina Suzi?? Unadhani WAZEE wetu walikuwa WAJINGA kutumia majina ya ASILI ???

Fanya makosa yote ata kukosea kuoa lakini sio kucheza na Jina la mtoto,

Unajua nini maana ya jina JOHN ??? Jina John denotative meaning, JOHN* maana yake ni TOILET yaani sehemu unapojisaidia kinyesi na mkojo , ulishawai KUHOJI kwanini kila vijana kumi wenye MAJINA ya John , saba Wana matatizo ya akili? wengi wao hawafanikiwi au wanakuwa watu wa ovyo kama tafsiri ya jina lao.

Mzazi epuka kumpa mwanao jina kama Mbuzi eti kwasababu Mchungaji au Sheikh au Padri au askofu KASEMA , siku mwanao akiharibikiwa VIONGOZI wa dini ndo watakuwa WA kwanza kumtolea mfano .... Kwani ukimuitwa mwanao jina la Kabira au asili yako Atashindwa kuwa mkristo au Muislamu ???

Au akipewa jina la kiarabu au KIZUNGU ndo atamuona mungu ?? Tufike sehemu tuache kutumia dini na MAFUNDISHO ya kigeni Kuua na kuharibu tamaduni zetu waafrica.

Kwanini wenye majina Robert wanakwama kimaisha ,WANAPATA mikosi , harakati zao hazifanikiwi,full matatizo ,yaani ukikuta Robert kafanikiwa mafanikio yake ni ya muda, kwao kufeli ni 100% kama asipo kana jina hilo.

Akina Frank umaskini ni wao , na mafanikio ya muda , mikosi ni Yao , na hawanaga nyota , kila wanalofanya hawatoboi

Victor wao upata mafanikio MAKUBWA Kwa muda mfupi na Kurudi katika umaskini wa kudumu ni kwasababu ya ASILI ya jina hili Italy.

Hashim au Masudi , wengi wao huaribikiwa kimaisha , matatizo kwao hayaishi , kibishara ufirisika,hupata UMAARUFU mbaya ,mwisho wa maisha Yao ni ufukara na majuto. Mifano IPO mingi

Geoffrey ni wakimya ,uzubaa ,uonewa, na wengi wao uchelewa kufanikiwa na wakifanikiwa ukutana na matatizo wengi kwny mafanikio yao, Na huwa Wana mwisho mbaya na kuhuzunisha.

Rajabu wengi wao upata UMAARUFU lakini mwisho wao hawafanikiwi kimaisha

Elizabeth upata Mimba Wakiwa mashuleni na utelekezwa na wanaume japo kimaisha ukumbana na visanga Kila siku

Ally upata UMAARUFU then ukwama kimaisha, ukienda selo za polisi, miongoni mwa wezi wasumbufu vituoni huwezi kukosa Jina la Ally.


Jina Peter maana yake mtu aliyefirisikia au aliyepoteza uwezo,

Jina Emilia maana yake adui au mtu mwenye wivu ,

Jina Cecily cecy* kipofu

Lea mchovu au mvivu

Kennedy misshapen

Kelvin Calvin, maana yake Kipara Cha umaskini

Diana maana yake MZIMU WA moto wa wagiriki

Sadamu mkorofi
GHADDAF mtu anayetoboa watu
Osama Simba n.k

Fanya tafakuri , ukitaka kujua mpango wao wa MUDA Mrefu ulivyofanikiwa , Leo WATOTO WA darasa la kwanza majina yao matatu ( First name, Middle name na surname)
First name: NANCY
Middle Name:JOHN
Surname:DENIS

hivi kweli wizara haioni Utapeli huu dhidi ya tamaduni zetu? , imagine mtoto huyu amezaliwa ukoo wa KIMARO lakini Surname ya KIMARO imeshakwenda na maji,

Hivi hawa Registration of Insolvency & Trustee Agency ( RITA) hawaoni tatizo hili Wakiwa wanasajiri vyeti ?? MAWAZIRI mwenye dhamana haoni hii, ?? Watunga sheria hawaoni Utapeli huu ???JE tutawaweza kuyalinda majina na tunu zetu kwa vizazi vyetu vijavyo ??

Au tunadhani Utamaduni ni Kuongea kiswahili na kucheza ngoma za asili????

Imagine mtoto kisukuma na sio mwarabu anasoma darasa kwanza shule Fulani anaitwa

First name:Ally
Middle name:Omary
Surname: Hussein

Na UNAAMBIWA ametoka ukoo wa Ngosha, hii ni systematic Cultural Genocide ( ukatiri wa kikabira kwa mwamvuli wa dini). Tunapaswa tuukatae kwa Nguvu zote.

Ulishawai kujiuliza kwanini watu wenye MAJINA ya Mudi, Maulidi, Zamda,Asha , Maliki, Iddi, Juma, Sudi, Omary, Asilimia 99 hawafanikiwi kimaisha na wengi wao wamekwama au wanakumbana na matatizo MAKUBWA katika uso wa Dunia ???

we endelea kumpa jina mwanao kama vile unabatiza Mbuzi ...

Kwasababu Leo huko hivyo ulivyo kwasababu ya jina lako kama Umefanikiwa kimaisha basi jina lako linachangia Asilimia 81 ya mafanikio yako , na kama umekwama kimaisha ndugu yangu tatizo jina lako , na ujachelewa Sasa nenda kwa mawakili wambie wakutengenezee document inayoitwa Deed poll utaapishwa kana jina lako la KIZUNGU au la kiharabu, chagua jina la Kabira au asili yako ili upate baraka za WAZEE wako( baraka za kwenu)

( Charity Begins at home)

wakili atakutoza 10000 tu, ukimaliza nenda kwa msajili wa documents sajili jina la ASILI yako ulilochagua na kana majina ya wakoloni waliotupeleka utumwani na kututawala kwa mkono wa chuma.

Basi biashara zako zitaanza kufanikiwa , ndoto mbaya zitaacha, mikosi,nuksi, zarau , bahati mbaya, migogoro, KUKOSA ajira, vitakoma maana utakuwa umejiconnect na spiritual realms yaani spiritual blessed ancestry power.

Wewe ulishawai kumuona SHIRIMA au KIMARO Maskini ?? au kusikia mtu anaitwa Mengi asiye na pesa.. ??

Wengi tumepoteza baraka za ukoo kwa kupokea majina yasiyo na ASILI yetu ndo maana kimaisha na KIROHO tunaangaika Kila siku ... utasikia serikali haijatangaza ajira kwani walioajiliwa wao Wana Vichwa viwili ?? .. Ni Sawa na Kufunga spare ya Toyota kwenye gari ya Nissani HUWEZI kuwa salama .... Ulishawai KUMUONA mchina ANAITWA mwakasege???

Au KUMUONA muhindi ANAITWA gwajima ?

Au Mzungu ANAITWA Kanumba ??

Muda umefika wa kuwambia WAZUNGU na WAARABU kuwa enough is enough kama dini zao haziwezi kutupokea jinsi tulivyo na majina yetu ya ASILI na tamaduni zetu basi dini hizo hazitufai ,mungu hakuwa MJINGA kuyaumba MAKABIRA na kuyafanya tofauti , vivyo hivyo na majina yetu lazima yawe tofauti na lazima tuyapiganie na kuyarinda kwa gharama yoyote.

Kwanini watu wenye MAJINA matatu ya kiasili wamekwisha ?? Mfano Kingunge Ngombari Mwiru, au Kambarage Nyerere Burrito ( 1942 alibatizwa Julius), Minza Bulugu Malundi, Ishengoma Rwebangira Kajuna , ???? Tunakwama wapi AFRIKA ???

Kama utabadili jina la KIZUNGU au la kiarabu au la kigeni na kujiita majina ya Kabira au asili yako yaani majina yenye maana nzuri katika Kabira lako ndani ni siku 21, utaanza kuona Nuru katika maisha yako.

Najua utashangaa Sana hili maana umeshateseka sana na kuzunguka Kila waganga na nyumba za ibada unatafuta eti kuombewa utolewe mapepo na watu mwenye matatizo kama yako

By mtumishi wa MUNGU wa kweli na MZALENDO wa united States of AFRIKA ( USA)

Tuulinde Utamaduni wetu kwa ajili ya vizazi vyetu ili tusijerudishwa utumwani Tena.
Ahsante

Source&Credit: ELIMIKA AFRICA

Sent using JamiiForums mobile app


Mimi ni mjukuu wa Mboro.
Yaani my great grandfather alikua anaitwa Mboro, na mabinti zake walijulikana kama Mamboro yaani bintiMboro
Maana ya jina na tafsiri ya jina kwa lugha tofauti DeepPond kwenye hili swala ni gumu
😀🤔
 
Wazungu Walivyo washenzi walitudanganya kupitia dini zao kuwa ili kuepuka Laana za ukoo Kutoka kwa Babu au bibi zetu, tusiwaite watoto wetu majina yao kama SHIRIMA, MARWA, MAPUNDA,MAJURA,MUGISHA,MAZENGO, MWAIPOPO,MWINYIKONDO, FUNDIKIRA, n.k

Wakatushawishi kuwabatiza watoto wetu majina ya kizungu kama mbadala wa kukwepa laana kutoka kwa mababu na mabibi na kutumia majina kama PAUL, VICTOR PIERRE ( ITALY)JOHN,ZEUS,JULIUS,(GREEK) ELIZABETH,SMITH, CHARLES, MARY ( ENGLAND)PETER, FRIEDRICH, GUSTAVO, WILLIAM ( GERMANY), FRANCOIS, VOLTAIRE, MONTESQUIEU, JACQUES,LUIS (FRANCE), ..kumbe ni UPUUZI mtupu ,

Mbaya zaidi majina haya walitubatiza kwa upanga ( bila ridhaa ya mababu zetu) kuanzia mnamo miaka ya wamissionari (1880-1961) , mbaya zaidi majina yao yametokana na Mizimu ya MAKABIRA Yao , mengine yametokana na mazimu ya mababu zao , mengine Yana maana za kishetani na tafsiri chafu ambazo wazazi wetu wametupatia bila kuhoji kwasababu Makanisa yanatulazimisha indirectly kuendelea na mfumo huu wa ukoloni wa fikra dhidi ya tamaduni zetu.

Mfano jina DENIS tafsiri yake ni MZIMU WA DIVAI ingia google andika Denis meaning utapata MZIMU WA Pombe ,ulioitwa Dyionisus, Zeus, au bachus,au Lochus MZIMU huu una asiri ya ugreek, imagine umemuitwa mwanao Denis na Leo ni mlevi wa kupindukia bado unasema mwanao karogwa

Jina NANCY maana yake MSAGAJI * MWANAMKE SHOGA imagine kwa ushawishi wa kanisa umekataa kumuita mwanao jina MANKA au jina Kokutona au Neema au Upendo na umempatia jina la NANCY alafu unalalamika mwanao Malaya Sana hajatulia

mama hujui KUWA jina linaumba ?? Jina linatenda ?? Nancy temological meaning yaani denotative meaning Nancy maana yake ni SHOGA au Mfiraji ...

Kwanini hujawai kujiuliza kwanini Kila watoto Kumi wenye MAJINA ya SUZY nane ni Malaya ,kwanini hujawai KUHOJI??? unafahamu Siri na CHIMBUKO la jina Suzi?? Unadhani WAZEE wetu walikuwa WAJINGA kutumia majina ya ASILI ???

Fanya makosa yote ata kukosea kuoa lakini sio kucheza na Jina la mtoto,

Unajua nini maana ya jina JOHN ??? Jina John denotative meaning, JOHN* maana yake ni TOILET yaani sehemu unapojisaidia kinyesi na mkojo , ulishawai KUHOJI kwanini kila vijana kumi wenye MAJINA ya John , saba Wana matatizo ya akili? wengi wao hawafanikiwi au wanakuwa watu wa ovyo kama tafsiri ya jina lao.

Mzazi epuka kumpa mwanao jina kama Mbuzi eti kwasababu Mchungaji au Sheikh au Padri au askofu KASEMA , siku mwanao akiharibikiwa VIONGOZI wa dini ndo watakuwa WA kwanza kumtolea mfano .... Kwani ukimuitwa mwanao jina la Kabira au asili yako Atashindwa kuwa mkristo au Muislamu ???

Au akipewa jina la kiarabu au KIZUNGU ndo atamuona mungu ?? Tufike sehemu tuache kutumia dini na MAFUNDISHO ya kigeni Kuua na kuharibu tamaduni zetu waafrica.

Kwanini wenye majina Robert wanakwama kimaisha ,WANAPATA mikosi , harakati zao hazifanikiwi,full matatizo ,yaani ukikuta Robert kafanikiwa mafanikio yake ni ya muda, kwao kufeli ni 100% kama asipo kana jina hilo.

Akina Frank umaskini ni wao , na mafanikio ya muda , mikosi ni Yao , na hawanaga nyota , kila wanalofanya hawatoboi

Victor wao upata mafanikio MAKUBWA Kwa muda mfupi na Kurudi katika umaskini wa kudumu ni kwasababu ya ASILI ya jina hili Italy.

Hashim au Masudi , wengi wao huaribikiwa kimaisha , matatizo kwao hayaishi , kibishara ufirisika,hupata UMAARUFU mbaya ,mwisho wa maisha Yao ni ufukara na majuto. Mifano IPO mingi

Geoffrey ni wakimya ,uzubaa ,uonewa, na wengi wao uchelewa kufanikiwa na wakifanikiwa ukutana na matatizo wengi kwny mafanikio yao, Na huwa Wana mwisho mbaya na kuhuzunisha.

Rajabu wengi wao upata UMAARUFU lakini mwisho wao hawafanikiwi kimaisha

Elizabeth upata Mimba Wakiwa mashuleni na utelekezwa na wanaume japo kimaisha ukumbana na visanga Kila siku

Ally upata UMAARUFU then ukwama kimaisha, ukienda selo za polisi, miongoni mwa wezi wasumbufu vituoni huwezi kukosa Jina la Ally.


Jina Peter maana yake mtu aliyefirisikia au aliyepoteza uwezo,

Jina Emilia maana yake adui au mtu mwenye wivu ,

Jina Cecily cecy* kipofu

Lea mchovu au mvivu

Kennedy misshapen

Kelvin Calvin, maana yake Kipara Cha umaskini

Diana maana yake MZIMU WA moto wa wagiriki

Sadamu mkorofi
GHADDAF mtu anayetoboa watu
Osama Simba n.k

Fanya tafakuri , ukitaka kujua mpango wao wa MUDA Mrefu ulivyofanikiwa , Leo WATOTO WA darasa la kwanza majina yao matatu ( First name, Middle name na surname)
First name: NANCY
Middle Name:JOHN
Surname:DENIS

hivi kweli wizara haioni Utapeli huu dhidi ya tamaduni zetu? , imagine mtoto huyu amezaliwa ukoo wa KIMARO lakini Surname ya KIMARO imeshakwenda na maji,

Hivi hawa Registration of Insolvency & Trustee Agency ( RITA) hawaoni tatizo hili Wakiwa wanasajiri vyeti ?? MAWAZIRI mwenye dhamana haoni hii, ?? Watunga sheria hawaoni Utapeli huu ???JE tutawaweza kuyalinda majina na tunu zetu kwa vizazi vyetu vijavyo ??

Au tunadhani Utamaduni ni Kuongea kiswahili na kucheza ngoma za asili????

Imagine mtoto kisukuma na sio mwarabu anasoma darasa kwanza shule Fulani anaitwa

First name:Ally
Middle name:Omary
Surname: Hussein

Na UNAAMBIWA ametoka ukoo wa Ngosha, hii ni systematic Cultural Genocide ( ukatiri wa kikabira kwa mwamvuli wa dini). Tunapaswa tuukatae kwa Nguvu zote.

Ulishawai kujiuliza kwanini watu wenye MAJINA ya Mudi, Maulidi, Zamda,Asha , Maliki, Iddi, Juma, Sudi, Omary, Asilimia 99 hawafanikiwi kimaisha na wengi wao wamekwama au wanakumbana na matatizo MAKUBWA katika uso wa Dunia ???

we endelea kumpa jina mwanao kama vile unabatiza Mbuzi ...

Kwasababu Leo huko hivyo ulivyo kwasababu ya jina lako kama Umefanikiwa kimaisha basi jina lako linachangia Asilimia 81 ya mafanikio yako , na kama umekwama kimaisha ndugu yangu tatizo jina lako , na ujachelewa Sasa nenda kwa mawakili wambie wakutengenezee document inayoitwa Deed poll utaapishwa kana jina lako la KIZUNGU au la kiharabu, chagua jina la Kabira au asili yako ili upate baraka za WAZEE wako( baraka za kwenu)

( Charity Begins at home)

wakili atakutoza 10000 tu, ukimaliza nenda kwa msajili wa documents sajili jina la ASILI yako ulilochagua na kana majina ya wakoloni waliotupeleka utumwani na kututawala kwa mkono wa chuma.

Basi biashara zako zitaanza kufanikiwa , ndoto mbaya zitaacha, mikosi,nuksi, zarau , bahati mbaya, migogoro, KUKOSA ajira, vitakoma maana utakuwa umejiconnect na spiritual realms yaani spiritual blessed ancestry power.

Wewe ulishawai kumuona SHIRIMA au KIMARO Maskini ?? au kusikia mtu anaitwa Mengi asiye na pesa.. ??

Wengi tumepoteza baraka za ukoo kwa kupokea majina yasiyo na ASILI yetu ndo maana kimaisha na KIROHO tunaangaika Kila siku ... utasikia serikali haijatangaza ajira kwani walioajiliwa wao Wana Vichwa viwili ?? .. Ni Sawa na Kufunga spare ya Toyota kwenye gari ya Nissani HUWEZI kuwa salama .... Ulishawai KUMUONA mchina ANAITWA mwakasege???

Au KUMUONA muhindi ANAITWA gwajima ?

Au Mzungu ANAITWA Kanumba ??

Muda umefika wa kuwambia WAZUNGU na WAARABU kuwa enough is enough kama dini zao haziwezi kutupokea jinsi tulivyo na majina yetu ya ASILI na tamaduni zetu basi dini hizo hazitufai ,mungu hakuwa MJINGA kuyaumba MAKABIRA na kuyafanya tofauti , vivyo hivyo na majina yetu lazima yawe tofauti na lazima tuyapiganie na kuyarinda kwa gharama yoyote.

Kwanini watu wenye MAJINA matatu ya kiasili wamekwisha ?? Mfano Kingunge Ngombari Mwiru, au Kambarage Nyerere Burrito ( 1942 alibatizwa Julius), Minza Bulugu Malundi, Ishengoma Rwebangira Kajuna , ???? Tunakwama wapi AFRIKA ???

Kama utabadili jina la KIZUNGU au la kiarabu au la kigeni na kujiita majina ya Kabira au asili yako yaani majina yenye maana nzuri katika Kabira lako ndani ni siku 21, utaanza kuona Nuru katika maisha yako.

Najua utashangaa Sana hili maana umeshateseka sana na kuzunguka Kila waganga na nyumba za ibada unatafuta eti kuombewa utolewe mapepo na watu mwenye matatizo kama yako

By mtumishi wa MUNGU wa kweli na MZALENDO wa united States of AFRIKA ( USA)

Tuulinde Utamaduni wetu kwa ajili ya vizazi vyetu ili tusijerudishwa utumwani Tena.
Ahsante

Source&Credit: ELIMIKA AFRICA

Sent using JamiiForums mobile app
Dah! yaani umenilazimisha ni kusadiki uyasemayo kuwa ni ya kweli Kwa asilimia zilizo zidi hamsini na moja(ushindi)
Nancy, Suzzy,Ally, Hashimu ,John
Kila nikitazama haya majina hapo mtahani naona ni kweli
Mfano Nina mdogo wangu anaitwa eliya ni mtata balaah na nijasiri aogopi yaani kama eliya aliye aliye shusha moto Toka mbinguni,ila eliya mwingine ni mpole safi.
Na nina mshikaji wangu anaitwa baraka yaani huyu anaweza kuumwa ila akirudi tu mtahani mambo ni mwakemwake ila tatizo ni starehe nyingi
Kuhusu suzzy ni balaa alafu Huwa wanakua walokole ila dk za mwisho wanaharibu
Ila wengine mafanikio yao Yana Siri iliyo tofauti na majina
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom