Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,324
- 5,934
Leo wahaini tunawatoa kamasiπ
Sisi wana Argentina wenye mpira wetu, leo ni leo, tuna jambo letu kuhusu Wafaransa wa asili na wahaini/Waafrika wale mahaters wa Morocco mliokua mnawatukana na kuwabagua waafrika wenzetu. Leo mtalia sana sana mbele ya wanaume wa shoka Messi na Jeshi lake.
Si mlichagua kushabikia wahaini? Eti nashabikia Ufaransa weusi wenzetu πππ! Messi na jeshi lake linaingia uwanjani, ALEYOMBA GEKKE mtalia sana.
Kwanza aliesema sioπ Wamorocco ni mchezaji mmoja fundi anaitwa Soufiane Boufal, hivyo musiwajumuishe Wamorocco wote, na hajasema kibaya, ninyi mliwatenga mwanzo, na yeye akazungumza yale.
Hata kabla hajayasema hayo hamkuwahi kuwapenda, hivyo acheni kelele bwana. Refer AFCON kati ya Senegal and Egypt n.k, hivyo msijitoe ufahamu, acheni ubaguzi.
Argentina, Messi na Jeshi lakoπpigeni hao Wafaransa na wahaini, tulipizieni kisasi dhidi ya ndugu zetu Wamorocco.
Aleyomba gekke, Argentina PIGENI hao wahaini mpaka warudi nyumbani kwao Afrika.
MOROCCO π²π¦ πͺ
ARGENTINA π¦π· πͺ
Sisi wana Argentina wenye mpira wetu, leo ni leo, tuna jambo letu kuhusu Wafaransa wa asili na wahaini/Waafrika wale mahaters wa Morocco mliokua mnawatukana na kuwabagua waafrika wenzetu. Leo mtalia sana sana mbele ya wanaume wa shoka Messi na Jeshi lake.
Si mlichagua kushabikia wahaini? Eti nashabikia Ufaransa weusi wenzetu πππ! Messi na jeshi lake linaingia uwanjani, ALEYOMBA GEKKE mtalia sana.
Kwanza aliesema sioπ Wamorocco ni mchezaji mmoja fundi anaitwa Soufiane Boufal, hivyo musiwajumuishe Wamorocco wote, na hajasema kibaya, ninyi mliwatenga mwanzo, na yeye akazungumza yale.
Hata kabla hajayasema hayo hamkuwahi kuwapenda, hivyo acheni kelele bwana. Refer AFCON kati ya Senegal and Egypt n.k, hivyo msijitoe ufahamu, acheni ubaguzi.
Argentina, Messi na Jeshi lakoπpigeni hao Wafaransa na wahaini, tulipizieni kisasi dhidi ya ndugu zetu Wamorocco.
Aleyomba gekke, Argentina PIGENI hao wahaini mpaka warudi nyumbani kwao Afrika.
MOROCCO π²π¦ πͺ
ARGENTINA π¦π· πͺ