Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,088
- 2,705
Inakadiliwa wasomali tanzania ni 77,000 mwaka 2007 na kwasasa wanakadiriwa kua 200,000 au zaidi.
Kwa mkakati wa hawa jamaa wakuzaliana sana inakadiliwa Mwanamke mmoja wa kisomali anazaa watoto hata 6 au 7 na huamini kila wanapoenda kuwazidi wenyeji .
Pia ukabila na ubaguzi ni asili yao ukiona kwao wanavokataa huku wakiwapoteza jamii nyingine ambazo si wasomali ili kudai kwamba somalia ni 100% somalis by ethnic utashangaa . Ni wazi baadae tutakuja kupoteza uhuru wetu ni swala la muda kabla ya kuanza kujipenyeza kwene serikali na kushika dola.
Kwa bahati mbaya nchi zetu huwa hazina mtazamo wa miaka 50, au 100 mbele hivo kushituka mpaka iwe too late
UBAGUZI DHIDI YA JAMII NYINGINE
Somali bantu Vs somali
Miaka ya 1999-2000 Baada ya kuanza machafuko walianza kuwa ua wasomali bantu waliozaliwa na kuishi Somalia hata kabla ya mkoloni wakisema kwa kigezo kua waliletwa kipindi cha utumwa. Hata kama waliletwa kipindi cha utumwa na waarabu nchi inavopata uhuru raia wote walionchini wanakua raia.
Lakini ni tofauti kwa hawa watu wana chuki sana na ubaguzi waliendesha kampeni za mauaji au unyanyasaji mpaka tanzania iliamua kuwapokea wasomali bantu au jareer kama wanavowaita wao.
Mfano mzuri wa hawa jamaa ni huu uliotokea 2021 : Yule msomali aliyebeba silaha kwenda kupambana na polisi sasa hii ndio asili yao.Wanaamini katika vita na mtutu
Kenya hapo leo wanajuta na bado Hawajasema.
Inakadiriwa kati ya Bantu somali 1500 walipokelewa na tanzania na kupewa uraia. Na wengine walipewa uraia na kenya.
Pia waweza soma
Bantu somali wengi leo wapo US ambako walipewa hifadhi kwan walikua target ya makundi ya kisomali na kuwanyang’anya ardhi yao yenye rutuba ambayo walikua wanalima.
pia waweza soma
Wakimbizi wabantu wasomali
Ikumbukwe kua wasomali wao wengi ni wafugaji na bantu somali wao ni wakulima.
Bantu somali waliishi sana Jubaland ambako ndio walilima na kuzalisha mazao mengi ya chakula.
Uzi huu haufai kumuudhi yeyote waweza bisha kwa takwimu pia itapendeza.
PIA WAWEZA SOMA
Nyuzi nyingine ni kama
Sumbawanga lango la wahamiaji haramu wenye asili ya Somalia
Sumbawanga lango la wahamiaji haramu wenye asili ya Somalia
Somaliland kuipa KM 20 Ethiopia kwa makubaliano ya kuitambua kama Nchi kamili
Somaliland kuipa KM 20 Ethiopia kwa makubaliano ya kuitambua kama Nchi kamili
Somali Bantus walikataliwa Somalia, UN waliomba warudishwe kwao Tanzania
Somali Bantus walikataliwa Somalia, UN waliomba warudishwe kwao Tanzania
Kwa mkakati wa hawa jamaa wakuzaliana sana inakadiliwa Mwanamke mmoja wa kisomali anazaa watoto hata 6 au 7 na huamini kila wanapoenda kuwazidi wenyeji .
Pia ukabila na ubaguzi ni asili yao ukiona kwao wanavokataa huku wakiwapoteza jamii nyingine ambazo si wasomali ili kudai kwamba somalia ni 100% somalis by ethnic utashangaa . Ni wazi baadae tutakuja kupoteza uhuru wetu ni swala la muda kabla ya kuanza kujipenyeza kwene serikali na kushika dola.
Kwa bahati mbaya nchi zetu huwa hazina mtazamo wa miaka 50, au 100 mbele hivo kushituka mpaka iwe too late
UBAGUZI DHIDI YA JAMII NYINGINE
Somali bantu Vs somali
Miaka ya 1999-2000 Baada ya kuanza machafuko walianza kuwa ua wasomali bantu waliozaliwa na kuishi Somalia hata kabla ya mkoloni wakisema kwa kigezo kua waliletwa kipindi cha utumwa. Hata kama waliletwa kipindi cha utumwa na waarabu nchi inavopata uhuru raia wote walionchini wanakua raia.
Lakini ni tofauti kwa hawa watu wana chuki sana na ubaguzi waliendesha kampeni za mauaji au unyanyasaji mpaka tanzania iliamua kuwapokea wasomali bantu au jareer kama wanavowaita wao.
Mfano mzuri wa hawa jamaa ni huu uliotokea 2021 : Yule msomali aliyebeba silaha kwenda kupambana na polisi sasa hii ndio asili yao.Wanaamini katika vita na mtutu
Kenya hapo leo wanajuta na bado Hawajasema.
Inakadiriwa kati ya Bantu somali 1500 walipokelewa na tanzania na kupewa uraia. Na wengine walipewa uraia na kenya.
Pia waweza soma
Somali Bantu Refugees - EthnoMed
Resource providing information about Somali Bantu refugees including history and culture, traditional medicine and specific health concerns.
ethnomed.org
Bantu somali wengi leo wapo US ambako walipewa hifadhi kwan walikua target ya makundi ya kisomali na kuwanyang’anya ardhi yao yenye rutuba ambayo walikua wanalima.
pia waweza soma
Wakimbizi wabantu wasomali
Genocide in Somalia’s Jubba Valley and Somali Bantu Refugees in the U.S.
How do genocides end from the point of view of those most harmed? Often genocides only end when those targeted flee to a safe place. The best way to end...
items.ssrc.org
Ikumbukwe kua wasomali wao wengi ni wafugaji na bantu somali wao ni wakulima.
Bantu somali waliishi sana Jubaland ambako ndio walilima na kuzalisha mazao mengi ya chakula.
Uzi huu haufai kumuudhi yeyote waweza bisha kwa takwimu pia itapendeza.
PIA WAWEZA SOMA
Nyuzi nyingine ni kama
Sumbawanga lango la wahamiaji haramu wenye asili ya Somalia
Sumbawanga lango la wahamiaji haramu wenye asili ya Somalia
Somaliland kuipa KM 20 Ethiopia kwa makubaliano ya kuitambua kama Nchi kamili
Somaliland kuipa KM 20 Ethiopia kwa makubaliano ya kuitambua kama Nchi kamili
Somali Bantus walikataliwa Somalia, UN waliomba warudishwe kwao Tanzania
Somali Bantus walikataliwa Somalia, UN waliomba warudishwe kwao Tanzania