salthanks
JF-Expert Member
- Aug 5, 2016
- 3,284
- 6,862
Kuchoma lkn lisiungueKukaanga tena ukhuty ?ma alwatan wanapenda vya kuchoma
Kuchoma lkn lisiungueKukaanga tena ukhuty ?ma alwatan wanapenda vya kuchoma
Lisiungue hata kidogoKuchoma lkn lisiungue
Kidogo sishibiLisiungue hata kidogo
Sishibi nikila na mke wanguKidogo sishibi
Hakiliki kabisa tena ukijilazimisha kula basi gonjwa la safura linakuitaChumvi ikizidi kwenye chakula hakiliki
Hakiliki kama hujui kupika ukhutyChumvi ikizidi kwenye chakula hakiliki
Mseto sio mtamu ukhutyUkhuty anapika hatari siku moja nitakualika kwangu uje ushuhudie chele la Nazi au wataka mseto
Mtamu sana labda hujapata mtu anaoujulia kuupika basi njoo kwangu siku moja nikuandalie chapati na mbaazi za kukata
Kukata chapati na mbaazi toa maelezo ukhuty!
Ukhuty umetutamanisha jamani mdomo wangu ushafurika mateKukata chapati na mbaazi toa maelezo ukhuty!