Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,996
- 15,119
Dona Summer ni mwana muziki alomlea Micheal Jackson ktk sanaa ya Muziki...!!!Utaongezwa maradufu mchuzi wa nazi jinsi ulivyo mtamu ukiula na ugali, hakuna ugali wa nazi labda sembe na dona
Muziki wa michael jackson na uchezaji wake kwenye pop ulikuwa ni wa kipekee, uzuri zaidi mimi nimezaliwa 29augst tarehe moja na Michael JacksonDona Summer ni mwana muziki alomlea Micheal Jackson ktk sanaa ya Muziki...!!!
Michael Jackson alifanyiwa operation ya kubadili sura yake ,na ndo mana pua take ilionekana imechongoka, pia kabla ya kufa alibadili dini .......Muziki wa michael jackson na uchezaji wake kwenye pop ulikuwa ni wa kipekee, uzuri zaidi mimi nimezaliwa 29augst tarehe moja na Michael Jackson
Dini zinasaidia peace keeping 60% just imagination no factMichael Jackson alifanyiwa operation ya kubadili sura yake ,na ndo mana pua take ilionekana imechongoka, pia kabla ya kufa alibadili dini .......
Fact ni kwamba mimi na michael jackson tunafanana, yeye ni SUPERstar mimi ni SUPERmarket ni ndugu yangu wa damu[emoji23]Dini zinasaidia peace keeping 60% just imagination no fact
The winner will be supermarketNo fact that, if the last person to reply on this thread will be the winner
supermarket ni sehemu nzuri ya kupata mahitaji ya nyumbani hasa sehemu za jijini Dar es salaamThe winner will be supermarket
dar es salaam sio makao makuu kwa sasasupermarket ni sehemu nzuri ya kupata mahitaji ya nyumbani hasa sehemu za jijini Dar es salaam
Sasa hivi makao makuu yapo dodomadar es salaam sio makao makuu kwa sasa
Dodoma ni mojawapo ya mkoa ambao huko kimaendeleo nyuma sana kulinganisha na mikoa mingine hapa nchini.Sasa hivi makao makuu yapo dodoma
Nchini Tz hali ya uchumi imekuwa na utata hasa kwa raia wenye kipato cha chini kama mimiDodoma ni mojawapo ya mkoa ambao huko kimaendeleo nyuma sana kulinganisha na mikoa mingine hapa nchini.
Nchini tuna mikoa mingi, serikali iweke uwekezaji na miundombinu bora kwa mikoa yoteDodoma ni mojawapo ya mkoa ambao huko kimaendeleo nyuma sana kulinganisha na mikoa mingine hapa nchini.
Yote maisha tu uwe ulaya uwe afrika cha msingi ni kupambana tu mpaka mwisho,hakuna kukata tamaa.Nchini tuna mikoa mingi, serikali iweke uwekezaji na miundombinu bora kwa mikoa yote
Tamaa ya vijana wengi kupata utajiri kwa njia za mikato husababisha majanga kwa familia zao...Yote maisha tu uwe ulaya uwe afrika cha msingi ni kupambana tu mpaka mwisho,hakuna kukata tamaa.
Zao halali la mpunga ni mpunga tu,huwezi kupanda muwa ukategemea kuvuna mihogo.Tamaa ya vijana wengi kupata utajiri kwa njia za mikato husababisha majanga kwa familia zao...
Mihogo huwa ina viwango vikubwa vya uwanga vinavyo sababisha ugonjwa wa kisukari....!!Zao halali la mpunga ni mpunga tu,huwezi kupanda muwa ukategemea kuvuna mihogo.
...ugonjwa wa kisukari hausababishwi na sukariMihogo huwa ina viwango vikubwa vya uwanga vinavyo sababisha ugonjwa wa kisukari....!!
Sukari iliyopo ndani ya uwanga ndiyo huchochea ongezeko........ugonjwa wa kisukari hausababishwi na sukari