Wa mwisho ndiyo mshindi

Hii ni fadhila tosha adhimu na neema tuliyopendelewa mbele ya wengi waliyo nyimwa au hata kutofikiriwa robo yake.. Lakini ufujaji wetu umekuwa janga !!!
Janga la tetemeko lililowapata ndugu zetu wa kagera na vifo bila kutegemea ni janga kubwa na funzo ni lolote linaweza kutokea kwani hakuna anaejua kesho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…