Ajabu ya Mtende kuota katika jangwaMakonda wa daladala na madereva wana lugha za ajabu
Tanzania bhana!Sana tu nakuwa na amani ninapokuwa Tanzania
Bhana na bana ipi sahihi?
Tafauti ya maendeleo ya Elimu ya Tz na nchi zilizoendelea Ni Sera zinazotekelezeka.Sahihi? bi Zuleykha hayo maneno yana maana tafauti.Bhana=ni kejeli ya neno Bwana
Bana=kuzui Au ubahili.
Kwa matamshi hayana tafauti.
Zinazotekelezeka ndio sera za chama cha mapinduzi ama hizo za ukuta mimi sikubariani nazo
Hasira zako za jana zilikufanya ulale bila kuaga
Nzito sana kwakweli Khalidoun kumbe umeliona hilo
Kweli kabisa ila ilishawahi kukutokea japo mara mojaHilo ni jambo lililo wazi kwa Kweli
Kweli kabisa ila ilishawahi kukutokea japo mara moja
Tena alipo ingia bungeni alikuwa amelewa pombe !!!!Vile vile ndo ilivyotokea tena