Amani kwetu sote tupate na Rehma za Manani kwenye mfungo mwema nami nakupa salam Dua'a tuombeane Mola atukubalie kama ulivyo tujuza kwenye tezi yako mwananaKufeli kwangu mie nispo kupa mkono ndg. mtebetini Salaamu za Mfungo wa Ramadhani nawatakie kheri na Amani....
Manani atujazi kheri na nguvu tuwe na utaifa.......Amani kwetu sote tupate na Rehma za Manani kwenye mfungo mwema nami nakupa salam Dua'a tuombeane Mola atukubalie kama ulivyo tujuza kwenye tezi yako mwanana
Utaifa tukiuthamini ubaguzi hautatusumbua tutakuwa wamoja huruma itatawala na mapenzi kupendanaManani atujazi kheri na nguvu tuwe na utaifa.......
Kupendana tuliko usiwa na wazazi,viongozi wa dini pamoja na viongozi waliopita kama mwalimu Nyerere.. Watanzania hatuzingatii ndo maana umimi umezidi nchini.Utaifa tukiuthamini ubaguzi hautatusumbua tutakuwa wamoja huruma itatawala na mapenzi kupendana
Kupendana tuliko usiwa na wazazi,viongozi wa dini pamoja na viongozi waliopita kama mwalimu Nyerere.. Watanzania hatuzingatii ndo maana umimi umezidi nchini.
Utulivu upo ufukweni bwana!! Mtu mpaka unasahau matatizo yakoNchini Tanzania kuna amani na utulivu...
Yako binafsi yakikusibu yaweke hadharani ushauriwe,kwani mficha gonjwa kifo kitamuumbua.Utulivu upo ufukweni bwana!! Mtu mpaka unasahau matatizo yako
Yako binafsi yakikusibu yaweke hadharani ushauriwe,kwani mficha gonjwa kifo kitamuumbua.Utulivu upo ufukweni bwana!! Mtu mpaka unasahau matatizo yako
Tulishasema tatizo la sukari likiendelea waislamu watapata shida mwezi mtukufu wa ramadhaniKitamuumbua na hasa leo Mwezi umeonekana wazi wazi bila kizuizi
Sana kuadimika kwa sukari siyo big deal kwangu mimi Muislamu kwa ushauri wa kitabibu sukari nyingi ina madharaRamadhani ndyo hyo sukari si Ishu sana
Madhara ni majanga makubwaSana kuadimika kwa sukari siyo big deal kwangu mimi Muislamu kwa ushauri wa kitabibu sukari nyingi ina madhara
Madhara ni majanga makubwaSana kuadimika kwa sukari siyo big deal kwangu mimi Muislamu kwa ushauri wa kitabibu sukari nyingi ina madhara
makubwa na madogo yote ni mambo tu...Madhara ni majanga makubwa
Tu, tu tu ndio itakuwa ringtones zangu huko nakoendea nitarudi soon kuendelea hii thread.... Naenda kujenga ukakamavu na uzalendo wa nchii hiimakubwa na madogo yote ni mambo tu...
Hii yako ya leo kali kweli...Tu, tu tu ndio itakuwa ringtones zangu huko nakoendea nitarudi soon kuendelea hii thread.... Naenda kujenga ukakamavu na uzalendo wa nchii hii
Kweli ni kali lakini i have to there seriouslyHii yako ya leo kali kweli...
Seriously nakuelewa na nakutakia kila la heri...Kweli ni kali lakini i have to there seriously
Heri ya fanaka na mafanikio tele ili nirudi salama tuendelee kuijenga nchiSeriously nakuelewa na nakutakia kila la heri...