mtebetini
JF-Expert Member
- Jul 5, 2015
- 1,924
- 2,036
Kugota hapa nao ZZ utakuwa umemuacha njiani Mgogoone mpaka utafsiriDar-es-Salaama ni jina moja la peponi lenye uwezo wakupokea wakazi bilioni tisa bila kugota.!!
Kugota hapa nao ZZ utakuwa umemuacha njiani Mgogoone mpaka utafsiriDar-es-Salaama ni jina moja la peponi lenye uwezo wakupokea wakazi bilioni tisa bila kugota.!!
Kugota hapa nao ZZ utakuwa umemuacha njiani Mgogoone mpaka utafsiriDar-es-Salaama ni jina moja la peponi lenye uwezo wakupokea wakazi bilioni tisa bila kugota.!!
Utasafiri na basi la saa ngapi? Mie namgojea mgogoone anakuja na bagei nimsaidie....Kugota hapa nao ZZ utakuwa umemuacha njiani Mgogoone mpaka utafsiri
Nimsaidie kivipi huyu mwanamke na tabia yake ya kuning'ata akitaka kukaribia kutoa wareno .Utasafiri na basi la saa ngapi? Mie namgojea mgogoone anakuja na bagei nimsaidie....
Wareno wako ulaya huuuuuuuukooooooooooNimsaidie kivipi huyu mwanamke na tabia yake ya kuning'ata akitaka kukaribia kutoa wareno .
Wareno wako ulaya huuuuuuuukoooooooooo
Kugota hapa nao ZZ utakuwa umemuacha njiani Mgogoone mpaka utafsiri
Utafsiri wa kugota ZZ kaumezea Ila Mtebetini Ni mtaalam wa kutafsiri
Soooo kabisa, yaani Ile mbaya, kupiga chabo haipendezi
Zinafanana wapi mgogoone!!? Hivi Ile lugha wanayoitumia akina "God must be crazy " (sijui kabila gani) inafananaje na kiingereza!? Sio kweliHaipendezi nini Nanoli? Kijapani Wanasema
"Soooo desnee" hivyo Ni kweli? Lugha zina fanana
Kweli muigizaji wa sinema ya the God must be crazy kabila lake ni XhosaZinafanana wapi mgogoone!!? Hivi Ile lugha wanayoitumia akina "God must be crazy " (sijui kabila gani) inafananaje na kiingereza!? Sio kweli
Kunifahamisha ni wajibu wenu wote mnaochangia humu ndani kama kuna jambo unalifahamu basi wajibu ni kuelimishaXhosa! Asante sana kwa kunifahamisha...
Kuelimisha wakulima kuhusu kilmo cha kisasa na kuelimisha jamii kupeleka watoto shuleni hayo ni majukumu ya Serikali...Kunifahamisha ni wajibu wenu wote mnaochangia humu ndani kama kuna jambo unalifahamu basi wajibu ni kuelimisha
Serikali ndiyo muhimili tunaoutegemea kulinda jamii na maslahi ya taifaKuelimisha wakulima kuhusu kilmo cha kisasa na kuelimisha jamii kupeleka watoto shuleni hayo ni majukumu ya Serikali...
Maslahi ya taifa yawekwe mbele kwenye mambo kama sanamu ya postaSerikali ndiyo muhimili tunaoutegemea kulinda jamii na maslahi ya taifa
Posta ile sanamu inafahamika kama BisminiMaslahi ya taifa yawekwe mbele kwenye mambo kama sanamu ya posta
Posta ile sanamu inafahamika kama Bismini
Kweli muigizaji wa sinema ya the God must be crazy kabila lake ni Xhosa