rutabazi
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 497
- 294
Ngap ngap kwani yanga na wale waharabuWewe leo unalala saa ngapi?
Ngap ngap kwani yanga na wale waharabuWewe leo unalala saa ngapi?
wewe nawe mbishiWake tafuta wako na wewe
Waharabu wote mkalaleNgap ngap kwani yanga na wale waharabu
Mkalale nyie sisi tunakesha leoWaharabu wote mkalale
Leo ni siku ya muunganoMkalale nyie sisi tunakesha leo
Tanzania bado tunasafiri ndefuMuungano wa Tanzania
Ndefu sana lakini tutafikaTanzania bado tunasafiri ndefu
Tutafika tu hakuna namnaNdefu sana lakini tutafika
Namna ipo hakuna tatizo likakosa ufumbuziTutafika tu hakuna namna
Namna ipo hakuna tatizo likakosa ufumbuzi
Mkweli utampata wapi DUNIA hii ya leo kila mtu MagumashiUfumbunzi Ni kuawa muaminifu Na mkweli
Magumashi ndio haya yanampasua kichwa MaguMkweli utampata wapi DUNIA hii ya leo kila mtu Magumashi
Magu wala hapasuliwi kichwa akisikia kuwa wewe Magumashi anakutumbuaMagumashi ndio haya yanampasua kichwa Magu
Anakutumbua kuna kila Dalili wanajamvi mpo hoi nami ngoja nifunge virago maana Tanesco washafanza manyago yao wametuzimia umeme hivi sasa ni saa 03:30 usiku nawatakia njonzi njema mlale salamaMagu wala hapasuliwi kichwa akisikia kuwa wewe Magumashi anakutumbua
Anakutumbua kuna kila Dalili wanajamvi mpo hoi nami ngoja nifunge virago maana Tanesco washafanza manyago yao wametuzimia umeme hivi sasa ni saa 03:30 usiku nawatakia njonzi njema mlale salama
chenga ni aina ya samaki wa maji ya chumviMjini shule ukitoka kijijini mambo mengi yanakupiga chenga
Chumvi na Sukari ni vitu viwili vyenye kufanana japo ni tofauti......chenga ni aina ya samaki wa maji ya chumvi