Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Aisee huwezi kujikataa maana wewe ndio unaejijua kuliko mtu mwingine yeyote. Hakuna akujuae zaidi yako wewe. Wapo waliokulea,wapo waliokuzaa, wapo waliotaka upotee, wapo waliokuuliza maswali kuhusu wewe, wapo waliotaka kukutawala au wanaokutawala sasa, pia wapo wanaofatilia maisha yako.
Lakini hao wote hawakujui hata robo.
Ishi kama utakavyo... Usiishi kama watakavyo watu fulani au mtu fulani
Fulani anajitahizi ili awe Wa mwisho
 
Aibu ni pale raisi anaposhindwa kuifikisha nchi katika mafanikio kwa ahadi zisizotekelezeka.
 
Magufuli Rais anayeonyesha kuogopwa na wafanyakazi kwa kauli mbiu yake ya hapa Kazi tuu na kutumbua Majipu
 
Back
Top Bottom