Wapi? Duh, basi mimi ni nafsiMwanaume? Hapana maana nikikuuliza huo uume ni wa nani utasema ni wako.
Nikikuuliza huo mwili uliokutambulisha ww kama mwanaume utasema pia huo mwili ni wako. Mikono yako, miguu yako, macho yako, kichwa chako, kiuno chako, kiwiliwili chako akili yako, kifua chako tumbo lako nk.
Sasa wewe unayedai vyote hivyo ni vyako wewe ni nani? Na uko wapi?
Nafsi ni yako mkuu 😀 tuambie tu wewe ni nani.Wapi? Duh, basi mimi ni nafsi
Nani kivipi mkuu? Basi mimi ni rohoNafsi ni yako mkuu 😀 tuambie tu wewe ni nani.
Roho ni yako pia.Nani kivipi mkuu? Basi mimi ni roho
Pia inavyozungushwa ndivyo ambavyo umenizungusha mkuuRoho ni yako pia.
Mkuu, hahahahah. Kama usemavyo gari langu, ela zangu, nyumba yangu, ndivyo usemavyo roho yangu, nafsi yangu, mwili wangu akili yangu mpaka na Mungu ni wakwako. Sasa wewe utakuwa ni nani?.Pia inavyozungushwa ndivyo ambavyo umenizungusha mkuu
Mimi ni mimi ndio. Umepatia japo hata hivyo hujijui vizuriMkuu aretasludovick nshapata jibu, mimi ni mimi
Vizuri sana mkuu, umechangamsha vyema ubongo wangu mimiMimi ni mimi ndio. Umepatia japo hata hivyo hujijui vizuri
Mimi pia. Kuna siku nilijihoji haya maswali huku nikijitazama kwenye kioo nikiwa uchi, sasa kilichofuata niliianza kujiogopa mwenyewe.Vizuri sana mkuu, umechangamsha vyema ubongo wangu mimi
5 kamili asubuhi ya leo kwa saa za afrika mashariki ntaanza zoezi hilo ili nijionee mwenyeweMimi pia. Kuna siku nilijihoji haya maswali huku nikijitazama kwenye kioo nikiwa uchi, sasa kilichofuata niliianza kujiogopa mwenyewe.
Jaribu kufanya hivyo uone. Kama umezaliwa 1980, utaona kama pia unakumbuka vitu vya karne hata ya 5
Mwenyewe jitahidi kujiuliza wewe ni nani.5 kamili asubuhi ya leo kwa saa za afrika mashariki ntaanza zoezi hilo ili nijionee mwenyewe
Aisee huwezi kujikataa maana wewe ndio unaejijua kuliko mtu mwingine yeyote. Hakuna akujuae zaidi yako wewe. Wapo waliokulea,wapo waliokuzaa, wapo waliotaka upotee, wapo waliokuuliza maswali kuhusu wewe, wapo waliotaka kukutawala au wanaokutawala sasa, pia wapo wanaofatilia maisha yako.mwenyewe natafakari na kujiuliza mimi ni nani nahisi kukosa majibu kabisa unaweza kujikataa aisee
Lako linaendana na wewe kwa wale wanaokufaham kwa sehemuwalilokupa unadhani linaendana na ulivyo na je ushawahi kuhisi kulichukia jina lako?