Jeshi sio mchezo lazima ugangamale mwanangubaa la njaa limeukumba mkoa wa dodoma, nasikia wanakula jeshi la viwavi
Huu ni ufala kukatiwa umeme wakati wa kula msosi wa usikuMapambazuko yatakuja kabla jerry msigwa hajaharibu mpangilio huu
vituko vya tanesco havivumilikiMzee tola nae pamoja na uzee wake hakuachaga tabia zake ba vituko
Mshindi wa nini mkuu?maana wa mwisho ni mimi.Havivumiliki vitabia vya kukomenti sana hapa,natangaza rasmi mimi ndo mshindi!
Mwisho hautafika hivi karibuniMimi ndo huwa wa mwisho
Wangu wa ubani kajilaza pembeni me nipo busy na jfKaribuni kwenye kusherehekea ushindi wangu
Hizi mambo zakujidai hamlali sio vizuriJf ni vituko siku hizi
Hizi mambo zakujidai hamlali sio vizuri