Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

mamboz yenyewe cku hizi yamerahisishwa ni mwendo wa kudonyoana
 
Nani? Mh, basi jibu sahihi nahisi mimi ni mwanadamu
Mwanadamu? hapana maana mwanadamu ni jina linalowakilisha kundi la viumbe fulani. Kama ilivyo simba, paka, mbwa n.k.
Sasa wewe ni nani?
Kumbuka ukisema ww ni binadamu unakosea maana unatuwakilisha wanadamu wote.Hii.

Wewe ni nani ndugu yangu
 
Mwanadamu? hapana maana mwanadamu ni jina linalowakilisha kundi la viumbe fulani. Kama ilivyo simba, paka, mbwa n.k.
Sasa wewe ni nani?
Kumbuka ukisema ww ni binadamu unakosea maana unatuwakilisha wanadamu wote.Hii.

Wewe ni nani ndugu yangu
Yangu akili imekua confused mkuu, ila ngoja nijaribu tena, mimi ni mwanaume
 
Yangu akili imekua confused mkuu, ila ngoja nijaribu tena, mimi ni mwanaume
Mwanaume? Hapana maana nikikuuliza huo uume ni wa nani utasema ni wako.
Nikikuuliza huo mwili uliokutambulisha ww kama mwanaume utasema pia huo mwili ni wako. Mikono yako, miguu yako, macho yako, kichwa chako, kiuno chako, kiwiliwili chako akili yako, kifua chako tumbo lako nk.

Sasa wewe unayedai vyote hivyo ni vyako wewe ni nani? Na uko wapi?
 
Back
Top Bottom